Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkuu wa maabara ya kupima wanariadha ajiuzulu

Kiongozi mkuu wa maabara inayohusika na uchunguzi wa wanariadha wanaotumia dawa za kusisimua misuli amejiuzulu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

‘Tanzania hakuna maabara kupima ebola’

Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imesema Tanzania haina maabara yenye uwezo wa kuthibitisha vipimo vya ebola hivi sasa na kwamba inapotokea mtu kudhaniwa kuathiriwa na virusi vya ugonjwa huo, vipimo vyake ni lazima vithibitishwe nje ya nchi.

 

11 years ago

Habarileo

TIRDO wamiliki maabara ya kupima ubora wa chakula

WAMILIKI wa viwanda na wafanyabiashara wa vyakula wameshauriwa kutumia maabara ya kisasa ya kupimia ubora wa chakula ya Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda (TIRDO).

 

10 years ago

Habarileo

Maabara ya kupima ubora wa bidhaa kujengwa Dar

UJENZI wa maabara kubwa ya kisasa ya kupima ubora wa bidhaa mbalimbali zinazozalishwa nchini utaanza karibuni Ubungo, Dar es Salaam, kwa msaada wa Serikali ya China. Akizungumza Dar es Salaam hivi karibuni, Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Mussa Uledi alisema, maabara hiyo itakayogharimu Sh bilioni 10, itamaliza adha mbalimbali za kimaabara zinazojitokeza, ikiwemo kuwekwa sakafuni kwa sampuli zisizostahili kuwekwa chini kama vile vyakula.

 

5 years ago

CCM Blog

TBS KUANZA KUTUMIA MAABARA YA NYEGEZI MWANZA KUPIMA SAMPULI ZA VYAKULA.

 Shirika la Viwaango Tanzania (TBS) litaanza kutumia maabara ya uvuvi ya Nyegezi  Mwanza (National Fish Quality Control Laboratory-NFQCL) katika upimaji wa sampuli za  chakula zinazochukuliwa kwenye viwanda na  masoko.

Mkurugenzi Mkuu wa TBS Dkt Athuman Ngenya ameyasema hayo leo wakati wa Ziara ya Katibu Mkuu wa WIizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe aliyeambatana na Naibu wake Mhe. Ludovick Nduhiye, katika ofisi za TBS jijini Mwanza.

Dkt. Ngenya amesema kwa sasa TBS  na NQCL zipo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkuu wa Usalama Marekani ajiuzulu.

Mkuu wa Idara ya Usalama nchini Marekani,Julia Pierson amejiuzulu kufuatia matukio yenye kuhatarisha usalama wa taifa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Waziri mkuu wa Ukraine ajiuzulu

Rais wa Ukraine, Viktor Yanu-kovich, amekubali ombi la kujiuzulu kwa waziri mkuu wa taifa hilo, Mykola Azrov, pamoja na baraza lote la mawaziri

 

10 years ago

Michuzi

MKUU WA POLISI KENYA AJIUZULU

Waziri wa Mambo ya Ndani wa Kenya, Joseph ole Lenku (kulia), na Mkuu wa Polisi, David Kimaiyo ambae  amejiuzulu  muda mfupi leo 

Kufuatia  shambulio  lililofanywa na  kundi la wanamgambo wa Al Shabaad  nchini Kenya kwa  kuwaua   watu  36 yaliyotokea  leo  ,mkuu wa polisi  nchini humu  David Kimaiyo anadaiwa  kutangaza  kujiuzulu nafasi  yake  hiyo.
Mkuu   huyo wa  polisi amelazimika  kujiwajibisha  mwenyewe kwa  kujiuzulu  kutokana na mauwaji ya mara kwa mara  yanayofanywa na kundi  hilo la Al...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanasheria Mkuu wa Tanzania ajiuzulu

Mwanasheria Mkuu wa Tanzania, Jaji Frederick Werema amejiuzulu siku ya jumanne kufuatia kashfa ya ESCROW aliyohusishwa.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mwanasheria Mkuu wa Serikali ajiuzulu

werema

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema (pichani) amejiuzulu nafasi yake hiyo kuanzia leo, Jumanne, Desemba 16, 2014 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amekubali ombi hilo la kujiuzulu.

Katika barua yake kwa Mhe. Rais Kikwete, Jaji Werema amesema kuwa ameomba kujiuzulu kwa sababu ushauri wake kuhusiana na suala ya Akaunti ya Tegeta Escrow haukueleweka na umechafua hali ya hewa.

Mhe. Rais Kikwete amemshukuru Jaji Werema kwa utumishi wake...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani