Mkuu wa maabara ya kupima wanariadha ajiuzulu
Kiongozi mkuu wa maabara inayohusika na uchunguzi wa wanariadha wanaotumia dawa za kusisimua misuli amejiuzulu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 Oct
‘Tanzania hakuna maabara kupima ebola’
11 years ago
Habarileo09 Jul
TIRDO wamiliki maabara ya kupima ubora wa chakula
WAMILIKI wa viwanda na wafanyabiashara wa vyakula wameshauriwa kutumia maabara ya kisasa ya kupimia ubora wa chakula ya Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda (TIRDO).
10 years ago
Habarileo20 Oct
Maabara ya kupima ubora wa bidhaa kujengwa Dar
UJENZI wa maabara kubwa ya kisasa ya kupima ubora wa bidhaa mbalimbali zinazozalishwa nchini utaanza karibuni Ubungo, Dar es Salaam, kwa msaada wa Serikali ya China. Akizungumza Dar es Salaam hivi karibuni, Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Mussa Uledi alisema, maabara hiyo itakayogharimu Sh bilioni 10, itamaliza adha mbalimbali za kimaabara zinazojitokeza, ikiwemo kuwekwa sakafuni kwa sampuli zisizostahili kuwekwa chini kama vile vyakula.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-bxlltlywdqA/Xtc8X-UjRVI/AAAAAAAAnug/7dVOD1_9LJ0kMySeqNRT8qtdyZ6lNnV6wCLcBGAsYHQ/s72-c/124b0cab-8967-4a24-9e61-4019b285f2c7%2B%25281%2529.jpg)
TBS KUANZA KUTUMIA MAABARA YA NYEGEZI MWANZA KUPIMA SAMPULI ZA VYAKULA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-bxlltlywdqA/Xtc8X-UjRVI/AAAAAAAAnug/7dVOD1_9LJ0kMySeqNRT8qtdyZ6lNnV6wCLcBGAsYHQ/s400/124b0cab-8967-4a24-9e61-4019b285f2c7%2B%25281%2529.jpg)
Mkurugenzi Mkuu wa TBS Dkt Athuman Ngenya ameyasema hayo leo wakati wa Ziara ya Katibu Mkuu wa WIizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe aliyeambatana na Naibu wake Mhe. Ludovick Nduhiye, katika ofisi za TBS jijini Mwanza.
Dkt. Ngenya amesema kwa sasa TBS na NQCL zipo...
10 years ago
BBCSwahili02 Oct
Mkuu wa Usalama Marekani ajiuzulu.
11 years ago
BBCSwahili29 Jan
Waziri mkuu wa Ukraine ajiuzulu
10 years ago
Michuzi02 Dec
MKUU WA POLISI KENYA AJIUZULU
![](https://1.bp.blogspot.com/-pvie68DzNxY/VH28xvnmwaI/AAAAAAABzCs/SlhWK6iqV_E/s1600/kenya-lenku-kimaiyo.jpg)
Kufuatia shambulio lililofanywa na kundi la wanamgambo wa Al Shabaad nchini Kenya kwa kuwaua watu 36 yaliyotokea leo ,mkuu wa polisi nchini humu David Kimaiyo anadaiwa kutangaza kujiuzulu nafasi yake hiyo.
Mkuu huyo wa polisi amelazimika kujiwajibisha mwenyewe kwa kujiuzulu kutokana na mauwaji ya mara kwa mara yanayofanywa na kundi hilo la Al...
10 years ago
BBCSwahili17 Dec
Mwanasheria Mkuu wa Tanzania ajiuzulu
10 years ago
Dewji Blog16 Dec
Mwanasheria Mkuu wa Serikali ajiuzulu
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema (pichani) amejiuzulu nafasi yake hiyo kuanzia leo, Jumanne, Desemba 16, 2014 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amekubali ombi hilo la kujiuzulu.
Katika barua yake kwa Mhe. Rais Kikwete, Jaji Werema amesema kuwa ameomba kujiuzulu kwa sababu ushauri wake kuhusiana na suala ya Akaunti ya Tegeta Escrow haukueleweka na umechafua hali ya hewa.
Mhe. Rais Kikwete amemshukuru Jaji Werema kwa utumishi wake...