Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TBS KUANZA KUTUMIA MAABARA YA NYEGEZI MWANZA KUPIMA SAMPULI ZA VYAKULA.

 Shirika la Viwaango Tanzania (TBS) litaanza kutumia maabara ya uvuvi ya Nyegezi  Mwanza (National Fish Quality Control Laboratory-NFQCL) katika upimaji wa sampuli za  chakula zinazochukuliwa kwenye viwanda na  masoko.

Mkurugenzi Mkuu wa TBS Dkt Athuman Ngenya ameyasema hayo leo wakati wa Ziara ya Katibu Mkuu wa WIizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe aliyeambatana na Naibu wake Mhe. Ludovick Nduhiye, katika ofisi za TBS jijini Mwanza.

Dkt. Ngenya amesema kwa sasa TBS  na NQCL zipo...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Mwinyi azindua maabara ya utafiti wa Kutambua Sampuli Ya Vinasaba

 

Rais Mstaafu wa Awamu ya pili Ali Hassan Mwinyi amezindua maabara ya utafiti wa  Vinasaba itakayoiwezesha Tanzania kubaini magonjwa na kuyatibu na hatimaye kupunguza gharama za kusafirisha sampuli kwenda nje ya nchi kwaajili ya uchunguzi.

Tanzania inakua ya pili kwenye nchi za Afrika kuwa na maabara hiyo ya kimataifa baada ya Afrika Kusini na hivyo kunufaika zaidi kupitia nchi nyingine kuleta vinasaba vyao nchini kwajili ya uchunguzi.

Vinasaba ni chembechembe zilizopo kwenye mwili wa...

 

9 years ago

MillardAyo

Kutana na pichaz 15 za ajali ya moto zilizonifikia kutoka Nyegezi Mwanza …

Mtu wangu wa nguvu imeninifikia ripoti ya ajali ya moto kutoka Nyegezi Mwanza ikiripotiwa kuwa ni tukio la ajali ya moto chanzo kikitajwa kuwa shoti ya umeme. Ripota wa millardayo.com alikuwepo kufutilia kila kitu, hizi ni pichaz za tukio lenyewe mtu wangu. Na maelezo ya mwenye nyumba Rutta ‘Tukio limetokea nikiwa sebuleni ndani ya muda […]

The post Kutana na pichaz 15 za ajali ya moto zilizonifikia kutoka Nyegezi Mwanza … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

GPL

KISA TAMKO LA SUMATRA, ABIRIA WAKWAMA STENDI YA NYEGEZI MWANZA

Baadhi ya abiria wakiwa wamekwama kwenye Stendi Kuu ya Mabasi, Nyegezi jijini Mwanza leo. ...Abiria wakijaribu kutafuta suluhisho la usafiri baada ya mabasi kuchelewa kufika eneo hilo huku idadi ya wasafiri ikiwa kubwa.…

 

9 years ago

Dewji Blog

Edith Emily Mudogo, Diwani kata ya Nyegezi jijini Mwanza ni Kazi Tu

Diwani wa Kata ya Nyegezi Jijini Mwanza kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM, Edith Emily Mudogo akiapa jana ili kuwatumikia wananchi wa Kata hiyo katika kikao cha kwanza cha baraza la Madiwani wa halmshauri ya Jiji la Mwanza.

Na:George Binagi-GB Pazzo @Binagi Media Group (BMG)

Mudogo ni miongoni mwa Madiwani wachapa kazi ambao wanaendana na Kauli Mbiu ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Magufuli ya “HAPA KAZI TU” hii ikiwa ni kutokana na utendaji wake wa kazi...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mkuu wa maabara ya kupima wanariadha ajiuzulu

Kiongozi mkuu wa maabara inayohusika na uchunguzi wa wanariadha wanaotumia dawa za kusisimua misuli amejiuzulu.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Tanzania hakuna maabara kupima ebola’

Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imesema Tanzania haina maabara yenye uwezo wa kuthibitisha vipimo vya ebola hivi sasa na kwamba inapotokea mtu kudhaniwa kuathiriwa na virusi vya ugonjwa huo, vipimo vyake ni lazima vithibitishwe nje ya nchi.

 

10 years ago

Habarileo

Maabara ya kupima ubora wa bidhaa kujengwa Dar

UJENZI wa maabara kubwa ya kisasa ya kupima ubora wa bidhaa mbalimbali zinazozalishwa nchini utaanza karibuni Ubungo, Dar es Salaam, kwa msaada wa Serikali ya China. Akizungumza Dar es Salaam hivi karibuni, Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Mussa Uledi alisema, maabara hiyo itakayogharimu Sh bilioni 10, itamaliza adha mbalimbali za kimaabara zinazojitokeza, ikiwemo kuwekwa sakafuni kwa sampuli zisizostahili kuwekwa chini kama vile vyakula.

 

11 years ago

Habarileo

TIRDO wamiliki maabara ya kupima ubora wa chakula

WAMILIKI wa viwanda na wafanyabiashara wa vyakula wameshauriwa kutumia maabara ya kisasa ya kupimia ubora wa chakula ya Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda (TIRDO).

 

10 years ago

Mwananchi

Vyakula, vinywaji unavyokatazwa kutumia mara baada ya mazoezi

Mazoezi ni miongoni mwa vitu vinavyosisitizwa na wataalamu wa afya kwa ustawi wa mwili wa binadamu huku yakiwa na mchango mkubwa katika kuukinga mwili na maradhi mbalimbali

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani