Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkuu wa Usalama Marekani ajiuzulu.

Mkuu wa Idara ya Usalama nchini Marekani,Julia Pierson amejiuzulu kufuatia matukio yenye kuhatarisha usalama wa taifa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Mkuu wa polisi wa Atlanta nchini Marekani ajiuzulu baada ya mtu mweusi kuuawa

Katika kipindi cha wiki tatu, watu kote Marekani wamekuwa wakiandamana kufuatia kifo cha George Flyod, mwanaume mweusi aliyekufa mikononi mwa polisi.

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NEWZZZZZ: MKUU WA USALAMA WA RAIS WA MAREKANI AACHIA NGAZI LEO



Na Sultani Kipingo
Habari zilizotufikia sasa hivi zinasema kuwa Bi Julia Pierson (pichani) , Mkuu wa Kikosi cha Usalama wa Rais wa Marekani maarufu kama Secret Service, amejiuzuru nafasi hiyo, Waziri wa Mambo ya Ndani wan chi hiyo  Bw. Jeh Johnson ametangaza leo. Katika taarifa yake Bw. Johnson kasema atamteua Bw. Joseph Clancy kukaimu wadhifa huo nyeti.

Afisa habari wa Ikulu ya Marekani Bw.  Josh Earnest amesema katika mkutano na wanahabari leo kuwa Rais Barack Obama alimwita Bi Pierson na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanasheria Mkuu wa Tanzania ajiuzulu

Mwanasheria Mkuu wa Tanzania, Jaji Frederick Werema amejiuzulu siku ya jumanne kufuatia kashfa ya ESCROW aliyohusishwa.

 

10 years ago

Michuzi

MKUU WA POLISI KENYA AJIUZULU

Waziri wa Mambo ya Ndani wa Kenya, Joseph ole Lenku (kulia), na Mkuu wa Polisi, David Kimaiyo ambae  amejiuzulu  muda mfupi leo 

Kufuatia  shambulio  lililofanywa na  kundi la wanamgambo wa Al Shabaad  nchini Kenya kwa  kuwaua   watu  36 yaliyotokea  leo  ,mkuu wa polisi  nchini humu  David Kimaiyo anadaiwa  kutangaza  kujiuzulu nafasi  yake  hiyo.
Mkuu   huyo wa  polisi amelazimika  kujiwajibisha  mwenyewe kwa  kujiuzulu  kutokana na mauwaji ya mara kwa mara  yanayofanywa na kundi  hilo la Al...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mwanasheria Mkuu wa Serikali ajiuzulu

werema

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema (pichani) amejiuzulu nafasi yake hiyo kuanzia leo, Jumanne, Desemba 16, 2014 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amekubali ombi hilo la kujiuzulu.

Katika barua yake kwa Mhe. Rais Kikwete, Jaji Werema amesema kuwa ameomba kujiuzulu kwa sababu ushauri wake kuhusiana na suala ya Akaunti ya Tegeta Escrow haukueleweka na umechafua hali ya hewa.

Mhe. Rais Kikwete amemshukuru Jaji Werema kwa utumishi wake...

 

11 years ago

BBCSwahili

Waziri mkuu wa Ukraine ajiuzulu

Rais wa Ukraine, Viktor Yanu-kovich, amekubali ombi la kujiuzulu kwa waziri mkuu wa taifa hilo, Mykola Azrov, pamoja na baraza lote la mawaziri

 

11 years ago

BBCSwahili

Mkuu wa Jeshi ajiuzulu Misri

Mkuu wa majeshi na waziri wa ulinzi Misri, Abdul Fattah al-Sisi, amejiuzulu kugombea katika uchaguzi wa urais mwezi ujao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkuu wa polisi Kenya Kimaiyo ajiuzulu

Mkuu wa polisi nchini Kenya inspekta generali David Kimaiyo amejiuzulu kutokana na shinikizo dhidi yake ajiuzulu kwa kushindwa kukabiliana na utovu wa usalama

 

9 years ago

BBCSwahili

Mkuu wa Volkswagen ajiuzulu kufuatia ufichuzi

Mkuu wa Volkswagen Martin Winterkorn amejiuzulu baada ya habari kutokea kuwa magari ya kampuni hiyo yamekuwa yakichafua mazingira.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani