Mkuu wa Usalama Marekani ajiuzulu.
Mkuu wa Idara ya Usalama nchini Marekani,Julia Pierson amejiuzulu kufuatia matukio yenye kuhatarisha usalama wa taifa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili14 Jun
Mkuu wa polisi wa Atlanta nchini Marekani ajiuzulu baada ya mtu mweusi kuuawa
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vpNF_qqltHw/VCxikOXmVOI/AAAAAAAGnJs/FktB8UsbXk8/s72-c/unnamed%2B(33).jpg)
BREAKING NEWZZZZZ: MKUU WA USALAMA WA RAIS WA MAREKANI AACHIA NGAZI LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-vpNF_qqltHw/VCxikOXmVOI/AAAAAAAGnJs/FktB8UsbXk8/s1600/unnamed%2B(33).jpg)
Na Sultani Kipingo
Habari zilizotufikia sasa hivi zinasema kuwa Bi Julia Pierson (pichani) , Mkuu wa Kikosi cha Usalama wa Rais wa Marekani maarufu kama Secret Service, amejiuzuru nafasi hiyo, Waziri wa Mambo ya Ndani wan chi hiyo Bw. Jeh Johnson ametangaza leo. Katika taarifa yake Bw. Johnson kasema atamteua Bw. Joseph Clancy kukaimu wadhifa huo nyeti.Afisa habari wa Ikulu ya Marekani Bw. Josh Earnest amesema katika mkutano na wanahabari leo kuwa Rais Barack Obama alimwita Bi Pierson na...
10 years ago
BBCSwahili17 Dec
Mwanasheria Mkuu wa Tanzania ajiuzulu
10 years ago
Michuzi02 Dec
MKUU WA POLISI KENYA AJIUZULU
![](https://1.bp.blogspot.com/-pvie68DzNxY/VH28xvnmwaI/AAAAAAABzCs/SlhWK6iqV_E/s1600/kenya-lenku-kimaiyo.jpg)
Kufuatia shambulio lililofanywa na kundi la wanamgambo wa Al Shabaad nchini Kenya kwa kuwaua watu 36 yaliyotokea leo ,mkuu wa polisi nchini humu David Kimaiyo anadaiwa kutangaza kujiuzulu nafasi yake hiyo.
Mkuu huyo wa polisi amelazimika kujiwajibisha mwenyewe kwa kujiuzulu kutokana na mauwaji ya mara kwa mara yanayofanywa na kundi hilo la Al...
10 years ago
Dewji Blog16 Dec
Mwanasheria Mkuu wa Serikali ajiuzulu
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema (pichani) amejiuzulu nafasi yake hiyo kuanzia leo, Jumanne, Desemba 16, 2014 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amekubali ombi hilo la kujiuzulu.
Katika barua yake kwa Mhe. Rais Kikwete, Jaji Werema amesema kuwa ameomba kujiuzulu kwa sababu ushauri wake kuhusiana na suala ya Akaunti ya Tegeta Escrow haukueleweka na umechafua hali ya hewa.
Mhe. Rais Kikwete amemshukuru Jaji Werema kwa utumishi wake...
11 years ago
BBCSwahili29 Jan
Waziri mkuu wa Ukraine ajiuzulu
11 years ago
BBCSwahili27 Mar
Mkuu wa Jeshi ajiuzulu Misri
10 years ago
BBCSwahili02 Dec
Mkuu wa polisi Kenya Kimaiyo ajiuzulu
9 years ago
BBCSwahili23 Sep
Mkuu wa Volkswagen ajiuzulu kufuatia ufichuzi