MKUU WA POLISI KENYA AJIUZULU
Waziri wa Mambo ya Ndani wa Kenya, Joseph ole Lenku (kulia), na Mkuu wa Polisi, David Kimaiyo ambae amejiuzulu muda mfupi leo
Kufuatia shambulio lililofanywa na kundi la wanamgambo wa Al Shabaad nchini Kenya kwa kuwaua watu 36 yaliyotokea leo ,mkuu wa polisi nchini humu David Kimaiyo anadaiwa kutangaza kujiuzulu nafasi yake hiyo.
Mkuu huyo wa polisi amelazimika kujiwajibisha mwenyewe kwa kujiuzulu kutokana na mauwaji ya mara kwa mara yanayofanywa na kundi hilo la Al...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili02 Dec
Mkuu wa polisi Kenya Kimaiyo ajiuzulu
5 years ago
BBCSwahili14 Jun
Mkuu wa polisi wa Atlanta nchini Marekani ajiuzulu baada ya mtu mweusi kuuawa
11 years ago
BBCSwahili23 Jan
Mkuu wa mageuzi ya polisi Kenya atishwa
10 years ago
BBCSwahili31 Dec
Rais wa Kenya amteua mkuu mpya wa Polisi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4t8Bu5s6lgS9nhL*EAvQHsp90ahv*kBdFJeQNNBQd-Oida7SsV0NdW6oGfN74HSn2ylyottl699jBDp3otuDfKsRheWEYXx1/KIMAIYO.jpg)
IGP KENYA AJIUZULU
10 years ago
BBCSwahili12 Mar
Kamanda wa polisi Ferguson ajiuzulu
10 years ago
BBCSwahili30 Nov
Polisi aliyemuua kijana mweusi ajiuzulu
9 years ago
BBCSwahili21 Nov
Waziri mashuhuri Kenya Anne Waiguru ajiuzulu
11 years ago
BBCSwahili29 Jan
Waziri mkuu wa Ukraine ajiuzulu