Polisi aliyemuua kijana mweusi ajiuzulu
Wakili wa afisa aliyempiga risasi na kumuua kijana mweusi ambaye hakuwa na silaha amesema kuwa mteja wake amejiuzulu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili14 Jun
Mkuu wa polisi wa Atlanta nchini Marekani ajiuzulu baada ya mtu mweusi kuuawa
Katika kipindi cha wiki tatu, watu kote Marekani wamekuwa wakiandamana kufuatia kifo cha George Flyod, mwanaume mweusi aliyekufa mikononi mwa polisi.
10 years ago
BBCSwahili09 Apr
Afisa aliyemuua mtu mweusi ashtakiwa US
Afisa mmoja mzungu katika jimbo la Karolina ya Kusini nchini Marekani ameshtakiwa kwa mauaji ya mtu mweusi,
10 years ago
BBCSwahili24 Dec
Kijana mwingine mweusi auawa Marekani
Maandamano makubwa yametokea nchini Marekani katika mji wa St Louis ,baada ya askari kumpiga risasi kijana mweusi .
10 years ago
BBCSwahili08 Apr
Polisi mwingine aua mtu mweusi, Marekani
Wakuu katika jimbo la South Carolina nchini Marekani wamemhukumu Afisa mmoja wa polisi mweupe, kwa kosa la mauaji.
9 years ago
BBCSwahili25 Nov
Polisi mzungu ashtakiwa kwa kuua tineja mweusi
Askari huyo alimfyatulia tineja huyo risasi 16 punde baada ya kumfumania akitoboa gurudumu la gari la polisi mjini Chicago Marekani.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-hwEeqCyyzek6j9gSPKLNPVdxhsQIbu3rUA6PS*oD2m2wd7rUKsuDQODZNo2yoJJk*J74gwPT4*Uwz206fbi1UhinbEEEDcN/polisitexas3.jpg?width=650)
POLISI ALIYENASWA AKIMNYANYASA BINTI MWEUSI TEXAS AACHIA NGAZI
Ofisa huyo wa polisi akimhenyesha binti wa miaka 15. Eric Casebolt (41)  akiwa amembana binti huyo. Video ya tukio hilo iliyowekwa Jumamosi Youtube ikiwa imetazwa na zaidi ya watu milioni 10. OFISA wa Polisi katika Jimbo la Texas,…
10 years ago
BBCSwahili12 Mar
Kamanda wa polisi Ferguson ajiuzulu
Kamanda wa polisi katika mji wa Ferguson, Marekani amejiuzulu baada ya ripoti ya shirikisho kulaumu kitengo chake kina ubaguzi.
10 years ago
Michuzi02 Dec
MKUU WA POLISI KENYA AJIUZULU
![](https://1.bp.blogspot.com/-pvie68DzNxY/VH28xvnmwaI/AAAAAAABzCs/SlhWK6iqV_E/s1600/kenya-lenku-kimaiyo.jpg)
Kufuatia shambulio lililofanywa na kundi la wanamgambo wa Al Shabaad nchini Kenya kwa kuwaua watu 36 yaliyotokea leo ,mkuu wa polisi nchini humu David Kimaiyo anadaiwa kutangaza kujiuzulu nafasi yake hiyo.
Mkuu huyo wa polisi amelazimika kujiwajibisha mwenyewe kwa kujiuzulu kutokana na mauwaji ya mara kwa mara yanayofanywa na kundi hilo la Al...
10 years ago
BBCSwahili02 Dec
Mkuu wa polisi Kenya Kimaiyo ajiuzulu
Mkuu wa polisi nchini Kenya inspekta generali David Kimaiyo amejiuzulu kutokana na shinikizo dhidi yake ajiuzulu kwa kushindwa kukabiliana na utovu wa usalama
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania