Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi aliyemuua kijana mweusi ajiuzulu

Wakili wa afisa aliyempiga risasi na kumuua kijana mweusi ambaye hakuwa na silaha amesema kuwa mteja wake amejiuzulu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Mkuu wa polisi wa Atlanta nchini Marekani ajiuzulu baada ya mtu mweusi kuuawa

Katika kipindi cha wiki tatu, watu kote Marekani wamekuwa wakiandamana kufuatia kifo cha George Flyod, mwanaume mweusi aliyekufa mikononi mwa polisi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Afisa aliyemuua mtu mweusi ashtakiwa US

Afisa mmoja mzungu katika jimbo la Karolina ya Kusini nchini Marekani ameshtakiwa kwa mauaji ya mtu mweusi,

 

10 years ago

BBCSwahili

Kijana mwingine mweusi auawa Marekani

Maandamano makubwa yametokea nchini Marekani katika mji wa St Louis ,baada ya askari kumpiga risasi kijana mweusi .

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi mwingine aua mtu mweusi, Marekani

Wakuu katika jimbo la South Carolina nchini Marekani wamemhukumu Afisa mmoja wa polisi mweupe, kwa kosa la mauaji.

 

9 years ago

BBCSwahili

Polisi mzungu ashtakiwa kwa kuua tineja mweusi

Askari huyo alimfyatulia tineja huyo risasi 16 punde baada ya kumfumania akitoboa gurudumu la gari la polisi mjini Chicago Marekani.

 

10 years ago

GPL

POLISI ALIYENASWA AKIMNYANYASA BINTI MWEUSI TEXAS AACHIA NGAZI

Ofisa huyo wa polisi akimhenyesha binti wa miaka 15. Eric Casebolt (41)  akiwa amembana binti huyo. Video ya tukio hilo iliyowekwa Jumamosi Youtube ikiwa imetazwa na zaidi ya watu milioni 10. OFISA wa Polisi katika Jimbo la Texas,…

 

10 years ago

BBCSwahili

Kamanda wa polisi Ferguson ajiuzulu

Kamanda wa polisi katika mji wa Ferguson, Marekani amejiuzulu baada ya ripoti ya shirikisho kulaumu kitengo chake kina ubaguzi.

 

10 years ago

Michuzi

MKUU WA POLISI KENYA AJIUZULU

Waziri wa Mambo ya Ndani wa Kenya, Joseph ole Lenku (kulia), na Mkuu wa Polisi, David Kimaiyo ambae  amejiuzulu  muda mfupi leo 

Kufuatia  shambulio  lililofanywa na  kundi la wanamgambo wa Al Shabaad  nchini Kenya kwa  kuwaua   watu  36 yaliyotokea  leo  ,mkuu wa polisi  nchini humu  David Kimaiyo anadaiwa  kutangaza  kujiuzulu nafasi  yake  hiyo.
Mkuu   huyo wa  polisi amelazimika  kujiwajibisha  mwenyewe kwa  kujiuzulu  kutokana na mauwaji ya mara kwa mara  yanayofanywa na kundi  hilo la Al...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkuu wa polisi Kenya Kimaiyo ajiuzulu

Mkuu wa polisi nchini Kenya inspekta generali David Kimaiyo amejiuzulu kutokana na shinikizo dhidi yake ajiuzulu kwa kushindwa kukabiliana na utovu wa usalama

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani