Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Afisa aliyemuua mtu mweusi ashtakiwa US

Afisa mmoja mzungu katika jimbo la Karolina ya Kusini nchini Marekani ameshtakiwa kwa mauaji ya mtu mweusi,

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Polisi aliyemuua kijana mweusi ajiuzulu

Wakili wa afisa aliyempiga risasi na kumuua kijana mweusi ambaye hakuwa na silaha amesema kuwa mteja wake amejiuzulu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Polisi mzungu ashtakiwa kwa kuua tineja mweusi

Askari huyo alimfyatulia tineja huyo risasi 16 punde baada ya kumfumania akitoboa gurudumu la gari la polisi mjini Chicago Marekani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanaharakati anayejifanya mtu mweusi

Wazazi wa mwanaharakati mmoja wa haki za raia nchini Marekani wamesema kuwa anajifanya kuwa mtu mweusi kwa miaka kadhaa sasa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtu mweusi aliyebaguliwa ataka haki

Mtu aliyezuiliwa kuingia Paris Metro kwa sababu za ubaguzi wa rangi alilia haki

 

10 years ago

BBCSwahili

Barua kutoka Afrika:Urembo wa Mtu Mweusi

Je,weupe ni bora zaidi kuliko weusi?

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi mwingine aua mtu mweusi, Marekani

Wakuu katika jimbo la South Carolina nchini Marekani wamemhukumu Afisa mmoja wa polisi mweupe, kwa kosa la mauaji.

 

10 years ago

GPL

MTU MWEUSI ALIYEBAGULIWA KWENYE TRENI UFARANSA ATAKA HAKI

Mtu mweusi, Souleymane S. (kushoto) akijiandaa kupanda treni la chini ya ardhi la jijini Paris, Ufaransa. Souleymane S. akisukumwa na mashabiki wa Chelsea ambao…

 

5 years ago

BBCSwahili

Mkuu wa polisi wa Atlanta nchini Marekani ajiuzulu baada ya mtu mweusi kuuawa

Katika kipindi cha wiki tatu, watu kote Marekani wamekuwa wakiandamana kufuatia kifo cha George Flyod, mwanaume mweusi aliyekufa mikononi mwa polisi.

 

10 years ago

Bongo5

Duka la London lakataa kumuuzia saa Samuel Eto’o sababu ni mtu mweusi!

Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, Samuel Eto’o amedai kuwa amewahi kuwa mhanga wa ubaguzi wa rangi pindi alipoenda kufanya shopping kwenye duka moja jijini London. Mchezaji huyo raia wa Cameroon, ambaye kwa sasa anaichezea klabu ya Italia, Sampdoria, ameiambia CNN kuwa alibaguliwa baada ya kwenda kununua saa yenye thamani ya £10,000. Eto’o — ambaye kuna […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani