IGP KENYA AJIUZULU
![](http://api.ning.com:80/files/4t8Bu5s6lgS9nhL*EAvQHsp90ahv*kBdFJeQNNBQd-Oida7SsV0NdW6oGfN74HSn2ylyottl699jBDp3otuDfKsRheWEYXx1/KIMAIYO.jpg)
IGP David Kimaiyo. Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Kenya, David Kimaiyo ametangaza kustaafu leo kutokana na shinikizo dhidi yake ajiuzulu kwa kushindwa kukabiliana na usalama nchini humo. Wakati huohuo Kenyatta amempendekeza Waziri Mkuu mpya wa usalama Joseph Nkaiseri kuchukua nafasi ya aliyekuwa Waziri wa Usalama wa nchi hiyo, Joseph Ole Lenku. Rais Kenyatta alisema kuwa baada ya mazungumzo na Bwana Kimaiyo alikubali kustaafu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi02 Dec
MKUU WA POLISI KENYA AJIUZULU
![](https://1.bp.blogspot.com/-pvie68DzNxY/VH28xvnmwaI/AAAAAAABzCs/SlhWK6iqV_E/s1600/kenya-lenku-kimaiyo.jpg)
Kufuatia shambulio lililofanywa na kundi la wanamgambo wa Al Shabaad nchini Kenya kwa kuwaua watu 36 yaliyotokea leo ,mkuu wa polisi nchini humu David Kimaiyo anadaiwa kutangaza kujiuzulu nafasi yake hiyo.
Mkuu huyo wa polisi amelazimika kujiwajibisha mwenyewe kwa kujiuzulu kutokana na mauwaji ya mara kwa mara yanayofanywa na kundi hilo la Al...
10 years ago
BBCSwahili02 Dec
Mkuu wa polisi Kenya Kimaiyo ajiuzulu
9 years ago
BBCSwahili21 Nov
Waziri mashuhuri Kenya Anne Waiguru ajiuzulu
10 years ago
Habarileo02 Dec
Waziri afukuzwa, IGP aachia ngazi Kenya
MBUNGE wa Kajiado ya Kati nchini Kenya, Joseph Nkaissery ameteuliwa kuwa Waziri wa Usalama wa Ndani wa nchi hiyo.
10 years ago
StarTV24 Jan
Prof. Muhongo ajiuzulu.
Waziri wa nishati na madini nchini Tanzania Profesa Sospeter Muhongo amejiuzulu,na kumfanya kuwa afisa wa tatu wa ngazi za juu serikalini kuathiriwa na ufisadi uliokumba sekta ya kawi katika taifa hilo la Afrika mashariki.
Professa Muhongo alitoa tanagazo hilo wakati wa mkutano na vyombo vya habari.
Kujiuzulu kwake kunajiri baada ya kufutwa kazi kwa waziri wa Ardhi na kujiuzulu kwa mwanasheria mkuu ,wote wakiwa wamehusishwa na kutolewa kwa zaidi ya dola milioni 120 kutoka kwa benki kuu...
10 years ago
BBCSwahili21 Jul
Mkurugenzi wa Toshiba ajiuzulu!
10 years ago
BBCSwahili17 Dec
Mchunguzi wa FIFA ajiuzulu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p8dNfbTfHuAmb0laZGkG4MQlYjjLfENFtvv94vtH1CV5jlOIYudSl*srVuSUhDh9RRxiZMF*aWUx40uDWP3vp19RO24rns35/sepp.jpg?width=650)
BLATTER AJIUZULU FIFA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
WAZIRI KAGASHEKI AJIUZULU