Mchunguzi wa FIFA ajiuzulu
Afisa mkuu wa maadili anayehusika na uchunguzaji katika wa shirikisho la soka duniani FIFA ,Micheal Garcia amejiuzulu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p8dNfbTfHuAmb0laZGkG4MQlYjjLfENFtvv94vtH1CV5jlOIYudSl*srVuSUhDh9RRxiZMF*aWUx40uDWP3vp19RO24rns35/sepp.jpg?width=650)
BLATTER AJIUZULU FIFA
Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), Sepp Blatter. Zurich, Uswis
RAIS wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), Sepp Blatter, jana alijiuzulu cheo chake kutokana na kashfa ya rushwa iliyolikumba shirikisho hilo.Blatter alitangaza kujiuzulu jana jioni zikiwa ni siku nne tangu alipochaguliwa kwa mara ya tano kuiongoza Fifa. Alitangaza uamuzi huo kwenye makao makuu wa Fifa mjini Zurich akiwa ametumikia cheo cha urais...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
BLATTER AJIUZULU URAIS FIFA
Rais wa FIFA, Sepp Blatter ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo. Sepp Blatter akiwapongeza wajumbe wa FIFA baada ya kushinda nafasi hiyo siku sita zilizopita. MTIKISIKO, Rais wa FIFA Sepp Blatter (79) ametangaza kujiuzulu nafasi yake ya Urais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) kufuatia kashfa ya rushwa. Taarifa iliyotolewa leo makao makuu ya FIFA mjini Zurich, Uswisi, Blatter amesema anaondoka baada ya miaka 17… ...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-5NjO-_VYVXo/VW3skJ7QijI/AAAAAAAAB4g/u7uMJuZpdSI/s72-c/CGFqQnjWMAA-3Wu.jpg)
RAISI WA FIFA SEPP BLATTER AJIUZULU KUFUATIA KASHFA YA UFISADI
![](http://1.bp.blogspot.com/-5NjO-_VYVXo/VW3skJ7QijI/AAAAAAAAB4g/u7uMJuZpdSI/s400/CGFqQnjWMAA-3Wu.jpg)
Rais wa shirikisho la soka duniani FIFA Sepp Blatter amejiuzulu kama rais wa shirikisho hilo kufuatia kashfa ya ufisadi.Akitangaza kujiuzulu,kwake Sepp Blatter mwenye umri wa miaka 79 ameitisha kikao cha dharura mara moja ili kumchagua rais mpya.Blatter alichaguliwa tena wiki iliopita licha ya maafisa wake saba wakuu kukamatwa siku mbili kabla ya uchaguzi .
![](http://1.bp.blogspot.com/-h7zsaeBgLMw/VW3retfdFmI/AAAAAAAAB4M/4VXz4CMEQe0/s640/CGGF8qHWIAAPXh4.jpg)
11 years ago
BBCSwahili28 Apr
Mchunguzi wa Umoja wa Ulaya aachiliwa
Mmoja wa wachunguzi wa muungano wa Ulaya waliokamatwa na wanamgambo wanaotaka kujitenga Sloviansk nchini Ukraine ameachiliwa huru
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fjM0Q_bMgVU/Xk_luU7dvrI/AAAAAAALesk/kPf7NRUgiDsGNE-P9MoUhP2jd3iHZ4DWQCLcBGAsYHQ/s72-c/TAKU.jpg)
MCHUNGUZI MKUU TAKUKURU AOMBA SULUHU MAHAKAMANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-fjM0Q_bMgVU/Xk_luU7dvrI/AAAAAAALesk/kPf7NRUgiDsGNE-P9MoUhP2jd3iHZ4DWQCLcBGAsYHQ/s640/TAKU.jpg)
MCHUNGUZI Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Cosmas Batanyika (44) ameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kukumkutanisha na kamati inayoshughulika na suala na kukiri na kuomba msamaha kwa makosa ya uhujumu uchumi.
Mshtakiwa Batanyika ambaye anakabiliwa na makosa ya kushawishi rushwa ya zaidi...
11 years ago
Mwananchi10 Jul
Mchunguzi wa Takukuru aeleza Badwel alivyorekodiwa bila kujua
Shahidi wa sita katika kesi ya Mbunge wa Bahi mkoani Dodoma, Omary Badwel, Emmanuel Koroso ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa ndiye aliyefanikisha mpango wa kumrekodi mshtakiwa huyo kuhusiana na tuhuma zinazomkabili bila yeye kutambua.
5 years ago
GIVEMESPORT24 Feb
Even the best FIFA player in the world knows that FIFA 20 is rubbish
Even the best FIFA player in the world knows that FIFA 20 is rubbish GIVEMESPORTFnatic Tekkz explains why “no one” is enjoying FIFA 20 DexertoWorld's Best FIFA Player Says 'No-One Enjoys Playing FIFA 20' In Brutally Honest Interview SPORTbibleView Full coverage on Google News
11 years ago
BBCSwahili24 Jan
Rais wa Barcelona ajiuzulu
Rais wa Barcelona Sandro Rosell ajiuzulu kufuatia madai ya utumizi mbaya wa fedha wakati klabu hiyo ilipomsajili Neymar kutoka Brazil
10 years ago
Habarileo25 Jan
Profesa Muhongo ajiuzulu
HATIMAYE baada ya kukabiliwa na shinikizo la muda mrefu kuanzia katika vyombo vya habari, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na baadaye katika vikao vya vyama vya siasa, Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, amejiuzulu wadhifa huo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania