Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mchunguzi wa Takukuru aeleza Badwel alivyorekodiwa bila kujua

Shahidi wa sita katika kesi ya Mbunge wa Bahi mkoani Dodoma, Omary Badwel, Emmanuel Koroso ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa ndiye aliyefanikisha mpango wa kumrekodi mshtakiwa huyo kuhusiana na tuhuma zinazomkabili bila yeye kutambua.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Shahidi aeleza Sheikh Ponda alivyorekodiwa kwa siri

>Shahidi wa saba katika kesi inayomkabili Kiongozi wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu, Sheikh Ponda Issa Ponda, Mkuu wa Kitengo cha Utambuzi, Polisi Morogoro, Inspekta Jafert Msongole, jana alitoa ushahidi wake mbele ya Mahakama ya Mkoa wa Morogoro akieleza jinsi ilivyokuwa lazima Sheikh Ponda kurekodiwa kwa siri kwenye mkanda wa video.

 

5 years ago

Michuzi

MCHUNGUZI MKUU TAKUKURU AOMBA SULUHU MAHAKAMANI

Mchunguzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Cosmas Batanyika, akitoka katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam. (Picha na Mtandao)
MCHUNGUZI Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Cosmas Batanyika (44) ameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kukumkutanisha na kamati inayoshughulika na suala na kukiri na kuomba msamaha kwa makosa ya uhujumu uchumi.
Mshtakiwa Batanyika ambaye anakabiliwa na makosa ya kushawishi rushwa ya zaidi...

 

10 years ago

Habarileo

Mbunge Badwel huru,Takukuru washindwa kuthibitisha mashitaka

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuachia huru mbunge wa Bahi (CCM), Omary Badwel aliyekuwa anakabiliwa na mashitaka ya kuomba na kupokea rushwa ya Sh milioni moja.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ashinda Scrabble bila kujua lugha

Raia wa New Zealand asiyezungumza kifaransa hata neno moja ameshinda mashindano ya dunia ya mchezo wa scrabble, kwa lugha hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tuna maiti ya muungano bila kujua

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, juzi Ijumaa mjini Dodoma, walishuhudia Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikishinikiza matakwa yake katika utungaji wa Katiba Mpya. Walimwona Rais Jakaya Kikwete ambaye ni Mwenyekiti...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakaazi wanaolala bila kujua Kazakhstan

Ugonjwa wa ajabu unaowafanya raia wa kijiji kimoja kulala kwa siku kadhaa unasababishwa na kuwepo kwa maji mengi katika ubongo

 

10 years ago

GPL

VIDONDA VYA TUMBO VINAVYOWATESA WENGI BILA KUJUA!

Vidonda vya tumbo ni ugonjwa unaowasumbua watu wengi,  wanaume na wanawake na hata watoto wadogo. Tatizo hili husumbua sana na kumfanya mgonjwa asiweze kumudu shughuli zake za kila siku.
Ugonjwa huu huathiri kwa ujumla katika suala zima la afya.
Tatizo hili huanza taratibu na dalili za awali huwa hazionyeshi kama mtu ana ugonjwa huu. Chanzo cha ugonjwa
Ugonjwa huu hutokana zaidi na maambukizi ya bakteria waitwao...

 

9 years ago

Habarileo

‘Kikwete alimnoa Magufuli kuwa Rais bila kujua’

RAIS mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Magufuli ametajwa kuwa mbegu bora ya uongozi iliyopandwa na Rais Jakaya Kikwete ndani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), bila viongozi hao wawili kujua.

 

11 years ago

Mwananchi

Wakazi wakiri kula kinyesi bila kujua wilayani Karagwe

>Baadhi ya wananchi wa  Kijiji cha Kafunjo, Kata ya Kiruruma, wilayani Karagwe, mkoani Kagera, wamesema wamekuwa wanakula kinyesi bila kujua kutokana na kutokuwa na vyoo bora.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani