Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakaazi wanaolala bila kujua Kazakhstan

Ugonjwa wa ajabu unaowafanya raia wa kijiji kimoja kulala kwa siku kadhaa unasababishwa na kuwepo kwa maji mengi katika ubongo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ashinda Scrabble bila kujua lugha

Raia wa New Zealand asiyezungumza kifaransa hata neno moja ameshinda mashindano ya dunia ya mchezo wa scrabble, kwa lugha hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tuna maiti ya muungano bila kujua

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, juzi Ijumaa mjini Dodoma, walishuhudia Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikishinikiza matakwa yake katika utungaji wa Katiba Mpya. Walimwona Rais Jakaya Kikwete ambaye ni Mwenyekiti...

 

11 years ago

Mwananchi

Mchunguzi wa Takukuru aeleza Badwel alivyorekodiwa bila kujua

Shahidi wa sita katika kesi ya Mbunge wa Bahi mkoani Dodoma, Omary Badwel, Emmanuel Koroso ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa ndiye aliyefanikisha mpango wa kumrekodi mshtakiwa huyo kuhusiana na tuhuma zinazomkabili bila yeye kutambua.

 

10 years ago

GPL

VIDONDA VYA TUMBO VINAVYOWATESA WENGI BILA KUJUA!

Vidonda vya tumbo ni ugonjwa unaowasumbua watu wengi,  wanaume na wanawake na hata watoto wadogo. Tatizo hili husumbua sana na kumfanya mgonjwa asiweze kumudu shughuli zake za kila siku.
Ugonjwa huu huathiri kwa ujumla katika suala zima la afya.
Tatizo hili huanza taratibu na dalili za awali huwa hazionyeshi kama mtu ana ugonjwa huu. Chanzo cha ugonjwa
Ugonjwa huu hutokana zaidi na maambukizi ya bakteria waitwao...

 

9 years ago

Habarileo

‘Kikwete alimnoa Magufuli kuwa Rais bila kujua’

RAIS mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Magufuli ametajwa kuwa mbegu bora ya uongozi iliyopandwa na Rais Jakaya Kikwete ndani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), bila viongozi hao wawili kujua.

 

11 years ago

Mwananchi

Wakazi wakiri kula kinyesi bila kujua wilayani Karagwe

>Baadhi ya wananchi wa  Kijiji cha Kafunjo, Kata ya Kiruruma, wilayani Karagwe, mkoani Kagera, wamesema wamekuwa wanakula kinyesi bila kujua kutokana na kutokuwa na vyoo bora.

 

11 years ago

Mwananchi

Jhikoman: Bila kujua kupiga ala, huwezi kuwa msanii kamili

>Jhikolabwino Manyika maarufu Jhikoman, ni kati ya wasanii 200 kutoka nchi tofauti, watakaotumbuiza tamasha la Sauti za Busara msimu wa 11, tamasha linalotarajiwa kufanyika Februari 13 hadi 16 mwaka huu.

 

9 years ago

Mwananchi

Ikulu kutamu kwa Nkurunziza, Kagame, Kabila bila kujua mwisho wa kivuli chao

Kuna sura inayokinzana katika eneo la Afrika Mashariki na lile la Kati. Kuna wakati wanasiasa wanabisha kwenye eneo hilo. Pia, bado kuna mwangwi unaosukuma juu ya kile kinachoitwa ‘mabadiliko ya nyakati’.

 

10 years ago

Vijimambo

UBABAISHAJI WA VIONGOZI WA TIMU ZA TANZANIA UNAWEZAJE KUMNUNUA MCHEZAJI KWA PESA NYINGI BILA KUPIMWA NA KUJUA KAMA ANATATIZO KABLA YA KUSAJILIWA?

Mchezaji wa timu ya Simba, Paul Raphael Kiongera.
Daktari huyo amesema kama Kiongera amekuwa na ugonjwa sugu wa goti, ni nadra kama atanusurika kufanyia upasuaji.
“Ugonjwa wa goti una mambo mengi, siwezi kusema kila kitu kwa kuwa majibu ya tatizo la Kiongera sijayaona.“Kama ni ugonjwa sugu, asilimia kubwa ni upasuaji na mara nyingi inakuwa ni nje ya nchi,” alisema daktari huyo bingwa.
“Lakini bado inawezekana hata hapa nyumbani ingawa mara nyingi watu hukwepa tu gharama lakini nje ni sahihi,”...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani