Jhikoman: Bila kujua kupiga ala, huwezi kuwa msanii kamili
>Jhikolabwino Manyika maarufu Jhikoman, ni kati ya wasanii 200 kutoka nchi tofauti, watakaotumbuiza tamasha la Sauti za Busara msimu wa 11, tamasha linalotarajiwa kufanyika Februari 13 hadi 16 mwaka huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania20 Oct
Diamond Platnumz: Bila Kiingereza huwezi kuwa wa kimataifa
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’, amesema kuwa lugha ya Kiingereza ni lazima kwa msanii anayetaka kuwa wa kimataifa.
Diamond alipokuwa kwenye mahafali ya darasa la saba Shule ya Rightway, Mbezi Beach jijini Dar es Salaam, alisema
lugha hiyo ilimpa hofu wakati alipokuwa akitaka kufikia soko la kimataifa.
“Mwaka jana nilipata mwaliko wa kutumbuiza kwenye jumba la Big Brother, Babu Tale, akaniambia baada ya onyesho nitafanyiwa...
9 years ago
Habarileo03 Nov
‘Kikwete alimnoa Magufuli kuwa Rais bila kujua’
RAIS mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Magufuli ametajwa kuwa mbegu bora ya uongozi iliyopandwa na Rais Jakaya Kikwete ndani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), bila viongozi hao wawili kujua.
5 years ago
BBCSwahili15 Feb
Ubaguzi kwenye soka: 'Huwezi kujua kile anachohisi muhusika wakati huo'
10 years ago
Dewji Blog29 Oct
Jhikoman, TaSUBa wapamba Siku ya Msanii
Jhikoman akitoa burudani.
Na Andrew Chale, Bagamoyo
MWANAMUZIKI nguli wa miondoko ya Afro reggae, Jhikolabwino Manyika maarufu Jhikoman pamoja na wasanii mbalimbali waliungana na wenzao kote duniani kuazimisha siku ya msanii Afrika, kwenye viunga vya chuo cha sanaa Bagamoyo.
Shoo hiyo iliyofanyika mwishoni mwa wiki, Oktoba 25 kwenye viunga vya Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) maarufu chuo cha sanaa Bagamoyo, wasanii wa sanaa tofauti walipata kuonyesha kazi zao ikiwemo...
11 years ago
GPLFURSA: MAFUNZO YA KUPIGA ALA ZA MUZIKI
10 years ago
BBCSwahili21 Jul
Ashinda Scrabble bila kujua lugha
11 years ago
Tanzania Daima23 Mar
Tuna maiti ya muungano bila kujua
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, juzi Ijumaa mjini Dodoma, walishuhudia Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikishinikiza matakwa yake katika utungaji wa Katiba Mpya. Walimwona Rais Jakaya Kikwete ambaye ni Mwenyekiti...
10 years ago
BBCSwahili17 Dec
Wakaazi wanaolala bila kujua Kazakhstan
11 years ago
MichuziFURSA: MAFUNZO YA KUPIGA ALA ZA MUZIKI KUANZA TENA MWEZI MEI
Mafunzo yanayotolewa ni pamoja na upigaji wa ala za muziki zikiwemo gita, kinanda, tarumbeta, saxophone, konga, drum set, na upigaji wa ngoma za asili. Pia yatatolewa mafunzo ya ‘body percussion’ yaani matumizi ya mwili katika kutengeneza midundo ya...