Jhikoman, TaSUBa wapamba Siku ya Msanii
Jhikoman akitoa burudani.
Na Andrew Chale, Bagamoyo
MWANAMUZIKI nguli wa miondoko ya Afro reggae, Jhikolabwino Manyika maarufu Jhikoman pamoja na wasanii mbalimbali waliungana na wenzao kote duniani kuazimisha siku ya msanii Afrika, kwenye viunga vya chuo cha sanaa Bagamoyo.
Shoo hiyo iliyofanyika mwishoni mwa wiki, Oktoba 25 kwenye viunga vya Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) maarufu chuo cha sanaa Bagamoyo, wasanii wa sanaa tofauti walipata kuonyesha kazi zao ikiwemo...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi01 Feb
Jhikoman: Bila kujua kupiga ala, huwezi kuwa msanii kamili
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-JDsTXx8Rbo4/VIMtdm-rsrI/AAAAAAADPo0/0IikB_CnXIo/s72-c/10839921_10204487924851811_1510284850_o.jpg)
JHIKOMAN & AFRIKABISA BAND KUTINGISHA JIJI LA DAR SIKU 12.12.2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-JDsTXx8Rbo4/VIMtdm-rsrI/AAAAAAADPo0/0IikB_CnXIo/s1600/10839921_10204487924851811_1510284850_o.jpg)
Mahali; Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni,mkabala na chuo cha usimamizi wa fedha (IFM).Barabara ya Samora, mtaa wa Shaabani Robert kati ya Jiji la Dar-Es-Salaam.
www.jhikoman.com
![](http://2.bp.blogspot.com/-xYd3YoiTwPk/VIMtc1EUk5I/AAAAAAADPok/bH9rpHqJTpQ/s1600/Jhikoman%2Bjukwaani%2Balipokuwa%2BEurope%2BTour%2B2014.jpeg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6_w4hokaypY/VIMtdNi7XsI/AAAAAAADPoo/YxZzjtDKwHo/s1600/Mfalme%2Bwa%2BReggae%2BJhikoma%2Bakiwa%2Bjukwaani%2Bna%2BDiva%2BTabia%2BMwanjelwa%2B%2Calipotumbuiza%2Bujerumani(picha%2Bmaktaba).jpeg)
10 years ago
Tanzania Daima16 Sep
Siku ya Msanii Okt. 25 Dar
SIKU ya Msanii Tanzania inatarajiwa kuadhimishwa Oktoba 25, katika ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam chini ya kauli ya mbiu yake ya ‘Sanaa ni Kazi.’ Maadhimisho hayo yanayofanyika...
11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
Siku ya Msanii kuadhimishwa Oktoba 25
BARAZA la Sanaa la Taifa (Basata), kwa kushirikiana na Kampuni ya Haak Neel Production ya jijini Dar es Salaam, wameanzisha Siku ya Msanii Tanzania, ikiwa ni hatua ya kutambua mchango...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5xkLuW-1tm0/U4gtKlVjoCI/AAAAAAAFmcs/1A0_Jws4L0U/s72-c/unnamed+(1).png)
10 years ago
Dewji Blog23 Sep
Tanzania kuadhimisha siku ya msanii
Kushoto ni Afisa Uhusiano Mwandamizi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Abdul Njaidi. Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, (Kulia), na Katikati ni msanii nguli wa kughani mashairi nchini Mrisho Mpoto.(Picha na Maktaba).
Na Beatrice Lyimo- MAELEZO
Mfuko wa Pensheni (PSPF) umedhamini siku ya Msanii Tanazania itayoadhimishwa Oktoba 25 mwaka huu katika ukumbi wa Mlimani City kwa dhumuni la kuwapa mafunzo wasanii ili waweze kujikwamua kiuchumi.
Akizungumza na waandishi wa...
9 years ago
Mtanzania14 Dec
Wasanii watunukiwa tuzo Siku ya Msanii
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
WASANII wanne wa sanaa mbalimbali nchini juzi wametunukiwa tuzo maalumu katika usiku wa tuzo za wasanii zilizofanyika katika ukumbi wa Nyumba ya Sanaa, Posta Dar es Salaam.
Tuzo hizo zilitolewa na Katibu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Michezo na Wasanii, Elisante Gabriel, huku ikihudhuriwa na wasanii mbalimbali.
Tuzo ya kwanza ya heshima ya sanaa za maonyesho ilikwenda kwa mwigizaji mkongwe nchini ambaye michezo yake ilikuwa ikisikika kwenye redio Tanzania...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TzObvhxOuaemLfAcvlmBtUXafhT-ElWGiTKAux0UAM0SaREj7P0cgxkSPseKHracCXH3Y*8c135d1f9RvMOJtQ5x9cjQG7nG/SYMFINALFLYER.jpg?width=650)
SEMINA SIKU YA MSANII KUFANYIKA KESHO
10 years ago
MichuziErick na Fred Omondi kutumbuiza Siku Ya Msanii
![](http://3.bp.blogspot.com/-hP1nocqZma8/VEDYHZQjAoI/AAAAAAAGrJ8/6fvu2wDUplY/s1600/Eric-Omondi.jpg)
Mratibu wa Siku Ya Msanii, Justin Jones...