Siku ya Msanii Okt. 25 Dar
SIKU ya Msanii Tanzania inatarajiwa kuadhimishwa Oktoba 25, katika ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam chini ya kauli ya mbiu yake ya ‘Sanaa ni Kazi.’ Maadhimisho hayo yanayofanyika...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLSIKU YA MSANII TANZANIA KUFANYIKA OKTOBA 25 DAR
11 years ago
MichuziUZINDUZI SIKU YA MSANII WAFANA SANA JIJINI DAR
Akizungumza katika uzinduzi huo uliofanyika Jumamosi usiku katika Hoteli ya Sea Cliff, jijini Dar es Salaam, Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukanagara, alisema Siku ya...
10 years ago
GPLDIAMOND, YAMOTO BAND KUTUMBUIZA SIKU YA MSANII DAR
10 years ago
MichuziSIKU YA MSANII KUFANYIKA OKTOBA 25 MLIMANI CITY JIJINI DAR
10 years ago
Dewji Blog20 Oct
Siku ya msanii kufanyika Jumamosi ijayo Mlimani City Jijini Dar
Ofisa Uhusiano wa Siku ya Msanii Tanzania (SYM), Bw. Peter Mwendapole akizungumza na waandishi wa habari kuhusu Siku ya Msanii Tanzania itakayofanyika katika Ukumbi wa Mlimani City siku ya tarehe 25 Oktoba, 2014 jijini Dar es Salaam.
Na Beatrice Lyimo- Maelezo.
KAMATI ya Siku ya Msanii Tanzania (SYM) imetangaza rasmi majina ya wasanii watakaotumbuiza katika maadhimisho ya siku hiyo itakayofanyika Oktoba 25 mwaka huu katika ukumbi wa Mlimani City uliopo jijini Dar Es Salaam.
Akizingumza na...
10 years ago
GPLSIKU YA MSANII YAFANA USIKU WA KUAMKIA LEO MLIMANI CITY, DAR
10 years ago
GPL27 Oct
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1sns13TIZd0/U432nUlVFbI/AAAAAAAFnbA/Oh1MWYDO-CY/s72-c/unnamed+(68).jpg)
Dk. Fenella Mukangara kuzindua Siku ya Msanii hoteli ya Sea Cliff, Dar es salaam
10 years ago
Dewji Blog23 Sep
Tanzania kuadhimisha siku ya msanii
Kushoto ni Afisa Uhusiano Mwandamizi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Abdul Njaidi. Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, (Kulia), na Katikati ni msanii nguli wa kughani mashairi nchini Mrisho Mpoto.(Picha na Maktaba).
Na Beatrice Lyimo- MAELEZO
Mfuko wa Pensheni (PSPF) umedhamini siku ya Msanii Tanazania itayoadhimishwa Oktoba 25 mwaka huu katika ukumbi wa Mlimani City kwa dhumuni la kuwapa mafunzo wasanii ili waweze kujikwamua kiuchumi.
Akizungumza na waandishi wa...