Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SIKU YA MSANII YAFANA USIKU WA KUAMKIA LEO MLIMANI CITY, DAR

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal akiongea jambo usiku wa kuamkia leo Mlimani City katika Siku ya Msanii. Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mheshimiwa Juma Nkamia akiongea na wasanii katika Siku ya Msanii.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

SIKU YA MSANII MLIMANI CITY WAFANA SANA USIKU HUU

Mgeni rasmi katika Siku ya Msanii Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal akiongea jambo katika siku ya Msanii Mlimani city.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Show ya #MBAR2015 Eleganza yafana Dar es Salaam Serena usiku wa kuamkia leo

DSC_0277

DSC_0338

Meneja Masoko wa CFAO Motors ltd. Sheikha Said (wa pili kulia) akitoa maelezo ya vijarida vya matoleo mapya ya magari aina ya Mercedes Benz kwa Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa (kushoto). Kulia ni Sales Representative wa CFAO Motors Ltd. Edwick Mwamba.

DSC_0339

Sales Representative wa Kampuni ya CFAO Motors Ltd. Edwick Mwamba akizungumza jambo na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa (kushoto) alipotembelea meza ya Mercedes Benz magari yanayouzwa na kampuni ya CFAO...

 

11 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS AHUTUBIA WASANII KWENYE MADHIMISHO YA SIKU YA MSANII MLIMANI CITY JANA USIKU OCTOBA 25-2014

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia kwenye maadhimisho ya siku ya Msanii yaliyofanyika jana usiku Octoba 25-2014 katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam.  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi tunzo Edward Said Tingatinga msanii aliyejitolea maisha yake kwa Jamii, kwenye maadhimisho ya siku ya Msanii yaliyofanyika jana usiku Octoba 25-2014 katika ukumbi wa Mlimani...

 

11 years ago

Michuzi

SIKU YA MSANII KUFANYIKA OKTOBA 25 MLIMANI CITY JIJINI DAR

Ofisa Uhusiano wa Siku Ya Msanii, Peter Mwendapole akizungumza katika mkutanoa na waandishi wa habari kuhusu wasanii watakaotumbuiza kwenye Tamasha la Siku Ya Msanii Jumamosi Ijayo Oktoba 25,2014 katika ukumbi wa Mlimani city jijini Dar. wengine Kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Chama Cha Madensa Tanzania, Super Nyamwela, Ahmed Ahmed wa Ako Mpiluka Band, Isha Ramadhan 'Mashauzi' kutoka Mashauzi Classic, Mkurugenzi wa Haak Neel Production, Godfrey Katula na Mwanamuziki John Kitime wa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Siku ya msanii kufanyika Jumamosi ijayo Mlimani City Jijini Dar

PICHA 1

Ofisa Uhusiano wa Siku ya Msanii Tanzania (SYM), Bw. Peter Mwendapole akizungumza na waandishi wa habari kuhusu Siku ya Msanii Tanzania itakayofanyika katika Ukumbi wa Mlimani City siku ya tarehe 25 Oktoba, 2014 jijini Dar es Salaam.

Na Beatrice Lyimo- Maelezo.

KAMATI ya Siku ya Msanii Tanzania (SYM) imetangaza rasmi majina ya wasanii watakaotumbuiza katika maadhimisho ya siku hiyo itakayofanyika Oktoba 25 mwaka huu katika ukumbi wa Mlimani City uliopo jijini Dar Es Salaam.

Akizingumza na...

 

11 years ago

GPL

MAFIKIZORO WAFUNIKA MLIMANI CITY JIJINI DAR USIKU HUU

Wakali wa kundi la mafikizoro usiku huu wanaendelea na kukamua na burudani ndani ya Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar, Nyomi ya watu imefurika ukumbini hapo kuwashuhudia wakali hawa wa mafikizoro.…

 

10 years ago

Vijimambo

Mugendi Zoka ameremeta na Winnie usiku Mlimani City Dar-es-Salaam.

Pichani Bw.Harusi Bw. Mugendi Zoka akiwa na Bw. Suleiman Saleh, Afisa mwenzake katika Ubalozi wa Tanzania Washington DC,Marekani, mara baada ya kumalizika kwa hafla yao iliyofanyika Mlimani City, Dar-es-Salaam,Tanzania siku ya Jumamosi Julai 4, 2015, ambapo mgeni rasmi alikuwa Mheshimiwa Frederick Sumaye,Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Katika hafla hiyo wageni wengine walikuwa ni Mama Tunu Mizengo Pinda,Mke wa Mhe.Mizengo Pinda,Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa...

 

11 years ago

GPL

YAMOTO BAND YAZINDULIWA RASMI DAR LIVE USIKU WA KUAMKIA LEO

Dogo Aslay akiwapagawisha mashabiki wakati wa uzinduzi rasmi wa Yamoto Band.
Mashabiki wakiwa…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani