MAKAMU WA RAIS AHUTUBIA WASANII KWENYE MADHIMISHO YA SIKU YA MSANII MLIMANI CITY JANA USIKU OCTOBA 25-2014
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia kwenye maadhimisho ya siku ya Msanii yaliyofanyika jana usiku Octoba 25-2014 katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi tunzo Edward Said Tingatinga msanii aliyejitolea maisha yake kwa Jamii, kwenye maadhimisho ya siku ya Msanii yaliyofanyika jana usiku Octoba 25-2014 katika ukumbi wa Mlimani...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLSIKU YA MSANII MLIMANI CITY WAFANA SANA USIKU HUU
10 years ago
GPLSIKU YA MSANII YAFANA USIKU WA KUAMKIA LEO MLIMANI CITY, DAR
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_CStoYhtrHg/U7MX3gHfsiI/AAAAAAAFuE4/J20q-M0kdsM/s72-c/unnamed+(21).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL, AIWAKILISHA TANZANIA KWENYE MADHIMISHO YA MIAKA 52 YA UHURU WA BURUNDI
![](http://3.bp.blogspot.com/-_CStoYhtrHg/U7MX3gHfsiI/AAAAAAAFuE4/J20q-M0kdsM/s1600/unnamed+(21).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-TYVAzGpq-1M/U7MX4Oood8I/AAAAAAAFuFU/hVp1pFa_V_4/s1600/unnamed+(22).jpg)
10 years ago
MichuziSIKU YA MSANII KUFANYIKA OKTOBA 25 MLIMANI CITY JIJINI DAR
10 years ago
Dewji Blog20 Oct
Siku ya msanii kufanyika Jumamosi ijayo Mlimani City Jijini Dar
Ofisa Uhusiano wa Siku ya Msanii Tanzania (SYM), Bw. Peter Mwendapole akizungumza na waandishi wa habari kuhusu Siku ya Msanii Tanzania itakayofanyika katika Ukumbi wa Mlimani City siku ya tarehe 25 Oktoba, 2014 jijini Dar es Salaam.
Na Beatrice Lyimo- Maelezo.
KAMATI ya Siku ya Msanii Tanzania (SYM) imetangaza rasmi majina ya wasanii watakaotumbuiza katika maadhimisho ya siku hiyo itakayofanyika Oktoba 25 mwaka huu katika ukumbi wa Mlimani City uliopo jijini Dar Es Salaam.
Akizingumza na...
10 years ago
GPL27 Oct
10 years ago
Bongo Movies25 Sep
PICHA: Uzinduzi wa filamu ya Mbwa Mwitu ulivyokuwa hapo jana kwenye ukumbi wa Mlimani City.
Hapo jana mwanadada Kajala alizindua rasmi filamu yake mpya ya mbwa Mwitu katika ukumbi Maarufu wa mlimani city ulipo jijini Dar es Salaam. Tukio hili liliuzuliwa na mastaa mbalimbali nchini wakiwemo wanamuziki na waigizaji. Tazama baadhi ya picha toka kwenye tukio hili. Hapo jana mwanadada Kajala alizindua rasmi filamu yake mpya ya mbwa Mwitu katika ukumbi Maarufu wa mlimani city ulipo jijini Dar es Salaam. Tukio hili liliuzuliwa na mastaa mbalimbali nchini wakiwemo wanamuziki na waigizaji....
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-k6nw7Ngk8k4/VDmbXqLNEzI/AAAAAAAGpUQ/KqZOFSsAJ5o/s72-c/2.jpg)
Redds Miss Tanzania 2014 kujulikana usiku huu Mlimani City jijini Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-k6nw7Ngk8k4/VDmbXqLNEzI/AAAAAAAGpUQ/KqZOFSsAJ5o/s1600/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-i7WHk70mTzI/VDmh95JQkOI/AAAAAAAGpVQ/cehWYiaODNY/s1600/MMGM0064.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WAegubIpTyk/VDmh-F9kpSI/AAAAAAAGpVY/AFzrCkMKo4E/s1600/MMGM0308.jpg)
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/Wasanii-JK-1.jpg)