Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


YAMOTO BAND YAZINDULIWA RASMI DAR LIVE USIKU WA KUAMKIA LEO

Dogo Aslay akiwapagawisha mashabiki wakati wa uzinduzi rasmi wa Yamoto Band.
Mashabiki wakiwa…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

YAMOTO BAND YAZINDULIWA RASMI DAR LIVE USIKU HUU

Dogo Aslay akiwapagawisha mashabiki wakati wa uzinduzi rasmi wa Yamoto Band.…

 

11 years ago

GPL

KANUMBA FOUNDATION YAZINDULIWA USIKU WA KUAMKIA LEO DAY DAR LIVE

Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF), Simon Mwakifwamba akizindua rasmi Kanumba Foundation usiku wa kuamkia leo ndani ya Dar Live. ...Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania ( TAFF), Simon  Mwakifwamba na Mama Kanumba (katikati) wakionyesha Katiba ya Kanumba…

 

10 years ago

GPL

TWANGA PEPETA WAKIWASHA MOTO KATIKA UZINDUZI WA YAMOTO BAND NDANI YA DAR LIVE USIKU HUU

Msafiri Diouf 'Lewandowsky' wa Twanga Pepeta akifanya vitu vyake jukwaani kwenye uzinduzi wa Yamoto Band ndani ya Dar Live usiku huu.…

 

9 years ago

Global Publishers

Yamoto Band Hakukaliki Dar Live Leo

YAMOTO.pngHAKAI mtu! Unaweza sema kwa maana nyingine wakati bendi inayokimbiza mjini, Yamoto leo (Desemba 19), itakapoporomosha ngoma mpya na zote zinazobamba ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala Zakhem jijini Dar.

Akizungumza na kona ya Muziki wa Dansi, Mohamed Seif ‘Mudy K’ alisema kuwa kwa mara ya kwanza baada ya kubamba na Ngoma ya Cheza kwa Madoido, Yamoto watatambulisha ngoma yao mpya ijulikanayo kama Imo.

“Mbali na Imo, Yamoto pia watatambulisha nyimbo nyingine mbili...

 

10 years ago

Vijimambo

FM ACADEMIA 'WAZEE WA NGWASUMA' YAMOTO BAND NA BARBANAS KUWASHA MOTO USIKU WA ONYESHO LA 'USIKU MWEUPE' JIJINI DAR


Na Mwandishi Wetu. FM Academia 'Wazee wa Ngwasuma' Yamoto Band na Barbanas, kesho watakuwa na onesho maalum liitwalo 'Usiku Mweupe' litakalofanyika kwenye ukumbi wa Escape One, uliopo mikocheni Dar es Salaam.Mratibu wa onesho hilo Wiliam Malecela, alisema kuwa kila kitu kipo vizuri ambapo onesho hilo litaanza saa 3, usiku.Alisema kuwa dhumuni la kufanya onesho la pamoja kwa bendi hizo na msanii huyo anayefanya vizuri katika muziki wa kizazi kipya ni kutaka kuuinua muziki wa dansi ambao...

 

11 years ago

GPL

YAMOTO NA SKYLIGHT BAND ZAFANYA KUFURU DAR LIVE

Mwanadada Aneth Kushaba wa Skylight Band akiwapagawisha mashabiki wa Dar Live. Yamoto Band chini ya Prezidaa wake, Dodo Aslay (wa pili kulia) wakifanya yao stejini.…

 

9 years ago

Global Publishers

Baby J anogesha onesho la Yamoto Band Dar Live

yamoto band (1)Baby J akiwapagawisha mashabiki.yamoto band (2)….akiwaimbisha mashabiki.yamoto band (3)Mabaunsa wakijaribu kuwatuliza vijana waliotaka kumvaa Baby J.yamoto band (4)Baby Jay akiimba sambamba na Maromboso wa Yamoto Band.yamoto band (5)Baada ya Baby Jay mwanamuziki aliyeibukia kupitia shindano la BSS, Juma Kayumba naye alivamia jukwaa na kuwapagawisha kwa ‘live band’ ambapo aligeuka koffi Olomide kwa muda na kupiga kibao cha Selfie ‘Ikotite’.yamoto band (6)Muimbaji wa Taarabu, Zena Mohammed akiimba sambamba na Yamoto Band kibao alichoshirikiana na bendi hiyo ambacho...

 

9 years ago

GPL

YAMOTO BAND KUZINDUA STAILI MPYA DAR LIVE

  Ni Uzinduzi wa Video ya Cheza kwa Madoido...  
KUNDI linalotikisa kila kona la Yamoto Band linatarajiwa kuzindua staili mpya za kucheza, Septemba 11, mwaka huu pale watakapozindua rasmi Video ya Cheza kwa Madoido ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar. Akichonga na Mikito Nusunusu, meneja wa bendi hiyo, Said Fella aliwataka mashabiki wa Yamoto kufika kwa wingi kutokana na staili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani