UZINDUZI SIKU YA MSANII WAFANA SANA JIJINI DAR
KAMPUNI ya Haak Neel Production kwa kushirikiana na Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), imezindua rasmi Siku ya Msanii Tanzania itakayoenda sambamba na utoaji tuzo kwa kwa wasanii na wadau wanaotoa mchango katika sanaa ili kuenzi, kuhamasisha, kukuza na kuendeleza vipaji vyao.
Akizungumza katika uzinduzi huo uliofanyika Jumamosi usiku katika Hoteli ya Sea Cliff, jijini Dar es Salaam, Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukanagara, alisema Siku ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLSIKU YA MSANII MLIMANI CITY WAFANA SANA USIKU HUU
10 years ago
Michuzi16 Mar
UZINDUZI WA KAMPUNI MPYA YA QUALITY SERVICE AND CATERING WAFANA SANA
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/03/1131.jpg)
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/03/264.jpg)
![3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/03/347.jpg)
BOFYA...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bh5alnVqHxo/VUTsIpnbNuI/AAAAAAAHU2o/QRZFvLT0Cbs/s72-c/DSC_0027.jpg)
UZINDUZI WA MFUKO WA UCHAGUZI MKOA MAGHARIBI KICHAMA WAFANA SANA
![](http://2.bp.blogspot.com/-bh5alnVqHxo/VUTsIpnbNuI/AAAAAAAHU2o/QRZFvLT0Cbs/s1600/DSC_0027.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AZC81xdIGBo/VUTsI--HHRI/AAAAAAAHU24/K2n0ygHPfQM/s1600/DSC_0035.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-yWZhO6eJxBU/VDK7I2t8NtI/AAAAAAABKbY/RL7osJr_-ZQ/s72-c/2.jpg)
uzinduzi wa album John Lisu wafana sana Diamond jubilee hall
![](http://2.bp.blogspot.com/-yWZhO6eJxBU/VDK7I2t8NtI/AAAAAAABKbY/RL7osJr_-ZQ/s1600/2.jpg)
10 years ago
Michuzi27 Apr
MNUSO WA UZINDUZI WA SHAMRA SHAMRA ZA MIAKA 70 YA UMOJA WA MATAIFA WAFANA JIJINI DAR
![DSC_0354](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/DSC_0354.jpg)
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/DSC_0351.jpg)
MNUSO WA UZINDUZI WA SHAMRA SHAMRA ZA MIAKA 70 YA UMOJA WA MATAIFA WAFANA JIJINI DAR
10 years ago
Dewji Blog01 Jun
Uzinduzi wa ‘Samsung Muvika 4G LTE’ wafana jijini Arusha
Nguli wa vifaa vya umeme Samsung imeendelea na juhudi za kuimarika katika nafasi ya kwanza kwa uzinduzi wa simu zake mpya na za kushangaza za 4G LTE zilizopewa jina la ‘Muvika’. Uzinduzi huu wa mara ya kwanza na wa aina yake nchini kwa upande wa simu za mkononi zenye teknolojia ya aina hii ulifanyika Hoteli ya Bay Leaf Arusha. Pamoja na utambulisho huo tukio lilikuwa kama jukwaa la usimamizi wa wazalishaji simu kukutana na wafanyabiashara wa hapa nyumbani, mawakala na wadau wengine...
10 years ago
MichuziSIKU YA MSANII KUFANYIKA OKTOBA 25 MLIMANI CITY JIJINI DAR
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/1.6.jpg)
UZINDUZI WA CHEZA KWA MADOIDO WAFANA DAR LIVE!