Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UZINDUZI WA MFUKO WA UCHAGUZI MKOA MAGHARIBI KICHAMA WAFANA SANA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Waziri Mkuu wa Tanzania Mizengo Pinda jana wakati wa Uzinduzi wa mfuko wa Uchaguzi wa Mkoa wa Magharibi Kichama uliofanyika ukumbi wa Hotel Zanzibar Beach Resort.Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) Waziri Mkuu wa Tanzania Mizengo Pinda(wa pili kushoto) Waziri Kiongozi Mstaafu...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Sherehe za uzinduzi wa mfuko wa Uchaguzi Mkoa wa Magharibi kichama zafana Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Waziri Mkuu wa Tanzania Mizengo Pinda jana wakati wa Uzinduzi wa mfuko wa Uchaguzi wa Mkoa wa Magharibi Kichama uliofanyika ukumbi wa Hotel Zanzibar Beach Resort. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) Waziri Mkuu wa Tanzania Mizengo Pinda(wa pili kushoto) Waziri Kiongozi...

 

10 years ago

Vijimambo

DKT. SHEIN AONGOZA UZINDUZI WA MFUKO WA UCHAGUZI MKOA WA MAGHARIBI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Waziri Mkuu wa Tanzania Mizengo Pinda jana wakati wa Uzinduzi wa mfuko wa Uchaguzi wa Mkoa wa Magharibi Kichama uliofanyika ukumbi wa Hotel Zanzibar Beach Resort.Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) Waziri Mkuu wa Tanzania Mizengo Pinda(wa pili kushoto) Waziri Kiongozi Mstaafu...

 

10 years ago

Michuzi

Uzinduzi wa Mfuko wa Uchaguzi wa Mkoa wa Mjini.

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar  (katikati) Makamo wa Pili wa Rais Balozi Seif ALi Iddi (kulia) na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai,Mama Mwanamwema Shein (kushoto) na Mwenyekiti wa Mkoa Mjini kichama Borafya Silima Juma (wa pili kushoto) wakiwa katika uzinduzi wa mfuko wa Maendeleo ya Mkoa wa Mjini sambamba na Chakula cha kuchangia Mfuko huo katika ukumbi wa Salama Bwawani jana.  Rais wa...

 

11 years ago

Michuzi

UZINDUZI SIKU YA MSANII WAFANA SANA JIJINI DAR

KAMPUNI ya Haak Neel Production kwa kushirikiana na Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), imezindua rasmi Siku ya Msanii Tanzania itakayoenda sambamba na utoaji tuzo kwa kwa wasanii na wadau wanaotoa mchango katika sanaa ili kuenzi, kuhamasisha, kukuza na kuendeleza vipaji vyao.
Akizungumza katika uzinduzi huo uliofanyika Jumamosi usiku katika Hoteli ya Sea Cliff, jijini Dar es Salaam, Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukanagara, alisema Siku ya...

 

10 years ago

Michuzi

UZINDUZI WA KAMPUNI MPYA YA QUALITY SERVICE AND CATERING WAFANA SANA

1Mwasibu wa Kampuni ya Nivanaa Quality service and catering, Bi.Magreth Tairo akizungumza wakati wa kuzindua kampuni hiyo,kwenye kiota cha  City Louge jijini Dar es salaam.Kampuni hiyo inajishugusha na upikaji wa vyakula katika sherehe mbalimbali yenye makao yake makuu Kinondoni Manyanya Dar es Salaam.2Wadau walioudhuria katika hafla hiyo wakifuatilia uzinduzi huo.3Timu nzima ya waanzilishi na wamiliki wa Kampuni ya Nivanaa Quality service and catering wakiwa kwenye picha ya pamoja.
BOFYA...

 

10 years ago

Michuzi

uzinduzi wa album John Lisu wafana sana Diamond jubilee hall

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, (Mahusiano na Uratibu), Stephen Wasira akionyesha album ya  ‘Uko Hapa’ yenye nyimbo 18 ya mwimbaji,  John Lisu wakati wa uzinduzi wa album hiyo uliofanyika katika Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam, mwishoni wiki. Wa pili kushoto ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama ambaye ni mdhamini wa uzinduzi huo.Mary Lisu (kushoto), akiimba sambamba na John Lisu wimbo mpya ujulikanao kwa jina la Mfalme ambao Albam yake iko jikoni wakati wa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Uzinduzi rasmi wa Faridas Foundation wafana

1

 

Mkurugenzi  Farida A. Sekimonyo wa Faridas Foundation akiomba Sala ya  uzinduzi rasmi wa Foundation hiyo.

2

Mshehereshaji wa Shughuli ya uzinduzi wa Faridas Foundation Taji Liundi.

3

Elias Masaki katibu mkuu ‘CHAWATA’ na pia mweka hazina Shirikisho la watu wenye ulemavu akichangia  mawazo kuhusiana na jinsi Farida Foundation inavyofanya kazi zake kwa jamii.

4

Baadhi ya wageni waalikwa wakifuatilia maada mbalimbali zilizokuwa zikiendelea katika uzinduzi wa Faridas Foundation.

5

Kassim  Kibwe...

 

10 years ago

GPL

SIKU YA MSANII MLIMANI CITY WAFANA SANA USIKU HUU

Mgeni rasmi katika Siku ya Msanii Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal akiongea jambo katika siku ya Msanii Mlimani city.…

 

10 years ago

Vijimambo

UZINDUZI WA 'DADDY'S WEDDING' MOVIE WAFANA HOUSTON

Jioni ya leo kwenye ukumbi wa Cinema wa AMC Dunvale katika jiji la Houston kulifanyika uzinduzi wa filamu ya Kitanzania iitwayo Daddy's Wedding iliyoongozwa na Mtanzania mwenzetu Bi. Honeymoon Mohamed. Uzinduzi huo ulishuhudiwa na idadi kubwa ya watazamaji, pata picha za tukio hilo hapo chini.

Dada Honeymoon akiwa na Rahim
Wageni waalikwaWaalikwaWageni waalikwa










































 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani