UZINDUZI WA 'DADDY'S WEDDING' MOVIE WAFANA HOUSTON
Jioni ya leo kwenye ukumbi wa Cinema wa AMC Dunvale katika jiji la Houston kulifanyika uzinduzi wa filamu ya Kitanzania iitwayo Daddy's Wedding iliyoongozwa na Mtanzania mwenzetu Bi. Honeymoon Mohamed. Uzinduzi huo ulishuhudiwa na idadi kubwa ya watazamaji, pata picha za tukio hilo hapo chini.Dada Honeymoon akiwa na Rahim
Wageni waalikwa
Waalikwa
Wageni waalikwa
Vijimambo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania