Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uzinduzi rasmi wa Faridas Foundation wafana

1

 

Mkurugenzi  Farida A. Sekimonyo wa Faridas Foundation akiomba Sala ya  uzinduzi rasmi wa Foundation hiyo.

2

Mshehereshaji wa Shughuli ya uzinduzi wa Faridas Foundation Taji Liundi.

3

Elias Masaki katibu mkuu ‘CHAWATA’ na pia mweka hazina Shirikisho la watu wenye ulemavu akichangia  mawazo kuhusiana na jinsi Farida Foundation inavyofanya kazi zake kwa jamii.

4

Baadhi ya wageni waalikwa wakifuatilia maada mbalimbali zilizokuwa zikiendelea katika uzinduzi wa Faridas Foundation.

5

Kassim  Kibwe...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

UZINDUZI RASMI WA MAISHA PLUS, MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2013 , KINGOLWIRA MOROGORO WAFANA‏

Bwana Ali Masoud au Maarufu kwa Jina la' Masoud Kipanya' na ambaye Mkurugenzi Mtendaji wa Maisha Plus, akizungumza na wananchi waliofika kushuhudia uzinduzi wa Maisha Plus/Mama Shujaa wa Chakula 2013 Kingolwira Morogoro , pia kumkaribisha Mgeni rasmi Mkuu wa Wilaya ya Mvomero Mh. Anthony Mtaka kufanya uzinduzi huo. Mkuu wa Wilaya ya Mvomero Mh. Anthony Mtaka, Akizungumza pamoja na wakazi wa eneo la Kingolwira pamoja na wageni...

 

11 years ago

GPL

FARIDA AZINDUA FARIDAS FOUNDATION KUSAIDIA WALEMAVU

Farida A. Sekimonyo akizungumza wakati wa uzinduzi wa Faridas Foundation. Keki maalum kwa tukio hilo. Sehemu…

 

11 years ago

Michuzi

Taasisi ya faridas foundation yazindua mradi mpya wa TADEPUGRA

Taasisi ya faridas foundation imezindua mradi mpya utakaojulikana kwa jina la Tanzania Development Projects for Unemployed Graduates (TADEPUGRA) lengo likiwa ni kufungua milango kwa wahitimu wa ngazi mbali mbali wasio na ajira hapa nchini, Mradi huu utanufaisha vijana zaidi ya 100 ikiwa ni kuwaajiri ndani ya taasisi na kuwawezesha kuanzisha miradi mbalimbali ya kimaendeleo, pia itatoa tuzo kwa waandishi mahiri 10 watakaoshinda kuandika muswaada (proposal) wa miradi ya kijamii. 
Form za...

 

10 years ago

Vijimambo

UZINDUZI RASMI WA KAMPENI YA WAZAZI NIPENDENI NI KESHO VIWANJA VYA MWEMBE YANGA JIJINI DAR ES SALAAM MAANDALIZI YAMEKAMILIKA WANA MUZIKI LULUKI KUTOA BURUDANI WANDUGU SAIDIA TUTANI UZINDUZI RASMI NI KESHO

 Mshauri wa masuala ya Malaria kutoka Taasisi ya Jhpiego, Jasmin Chadewa (kushoto), akitoa huduma ya kumpa dawa ya vitamini A, mtoto Rahim Simai,  viwanja vya Mwembe Yanga Dar es Salaam leo asubuhi ikiwa ni utoaji huduma wa elimu ya afya kwa wajawazito na matumizi ya dawa aina ya SP, upimaji wa malaria pamoja na matumizi ya vyandarua kama muendelezo wa huduma za afya ya mama mjamzito na mtoto kuelekea uzinduzi wa awamu ya pili wa Kampeni ya Wazazi Nipendeni utakaofanyika kesho katika viwanja...

 

10 years ago

GPL

SHEREHE ZA UZINDUZI WA SHULE YA SULLIVAN PROVOST WAFANA

Mchungaji wa Kanisa la KKKT Usharika wa Mlandizi, Mchungaji Tusimsahau Manoza (wa pili kushoto) akiwa na Mkurugenzi wa Shule ya Sekondari ya Wavulana ya Sullivan  Provost, Rachel Mwalukasa (wa tatu kushoto) wakati wa hafla ya uzinduzi rasmi wa shule hiyo mjini Kibaha Pwani juzi. Wengine kutoka kushoto ni Mwinjilisti Andrew Utoah wa Kanisa la KKKT Mtaa wa Kidugalo, Mchungaji Liston Imaniyangulu Kiongozi wa Kiroho katika shule...

 

10 years ago

Vijimambo

UZINDUZI WA 'DADDY'S WEDDING' MOVIE WAFANA HOUSTON

Jioni ya leo kwenye ukumbi wa Cinema wa AMC Dunvale katika jiji la Houston kulifanyika uzinduzi wa filamu ya Kitanzania iitwayo Daddy's Wedding iliyoongozwa na Mtanzania mwenzetu Bi. Honeymoon Mohamed. Uzinduzi huo ulishuhudiwa na idadi kubwa ya watazamaji, pata picha za tukio hilo hapo chini.

Dada Honeymoon akiwa na Rahim
Wageni waalikwaWaalikwaWageni waalikwa










































 

11 years ago

Michuzi

UZINDUZI SIKU YA MSANII WAFANA SANA JIJINI DAR

KAMPUNI ya Haak Neel Production kwa kushirikiana na Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), imezindua rasmi Siku ya Msanii Tanzania itakayoenda sambamba na utoaji tuzo kwa kwa wasanii na wadau wanaotoa mchango katika sanaa ili kuenzi, kuhamasisha, kukuza na kuendeleza vipaji vyao.
Akizungumza katika uzinduzi huo uliofanyika Jumamosi usiku katika Hoteli ya Sea Cliff, jijini Dar es Salaam, Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukanagara, alisema Siku ya...

 

9 years ago

GPL

UZINDUZI WA CHEZA KWA MADOIDO WAFANA DAR LIVE!

Yamoto Band wakizindua rasmi video yao mpya inayofahamika kwa jina la Cheza kwa Madoido katika Ukumbi wa Dar Live uliopo Mbagala, Zakhem jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo. Msanii wa Bongo Fleva, Hellen George 'Ruby' akifanya yake stejini.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani