SHEREHE ZA UZINDUZI WA SHULE YA SULLIVAN PROVOST WAFANA
![](http://api.ning.com:80/files/yIRAODsxTEzObpp6-ZkU1PsCNRfN0778nz-W0ZW1zU1JED0x1Bg5-zpHcVnSNrdGRime-Gjjn1EtRqYKrN00z549oIOVE6ok/01.jpg?width=650)
Mchungaji wa Kanisa la KKKT Usharika wa Mlandizi, Mchungaji Tusimsahau Manoza (wa pili kushoto) akiwa na Mkurugenzi wa Shule ya Sekondari ya Wavulana ya Sullivan  Provost, Rachel Mwalukasa (wa tatu kushoto) wakati wa hafla ya uzinduzi rasmi wa shule hiyo mjini Kibaha Pwani juzi. Wengine kutoka kushoto ni Mwinjilisti Andrew Utoah wa Kanisa la KKKT Mtaa wa Kidugalo, Mchungaji Liston Imaniyangulu Kiongozi wa Kiroho katika shule...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziMAHAFALI YA KWANZA YA SHULE YA SEKONDARI YA WAVULANA YA SULLIVAN PROVOST YA KIBAHA YAFANA.
11 years ago
Dewji Blog01 Jul
Uzinduzi rasmi wa Faridas Foundation wafana
Mkurugenzi Farida A. Sekimonyo wa Faridas Foundation akiomba Sala ya uzinduzi rasmi wa Foundation hiyo.
Mshehereshaji wa Shughuli ya uzinduzi wa Faridas Foundation Taji Liundi.
Elias Masaki katibu mkuu ‘CHAWATA’ na pia mweka hazina Shirikisho la watu wenye ulemavu akichangia mawazo kuhusiana na jinsi Farida Foundation inavyofanya kazi zake kwa jamii.
Baadhi ya wageni waalikwa wakifuatilia maada mbalimbali zilizokuwa zikiendelea katika uzinduzi wa Faridas Foundation.
Kassim Kibwe...
10 years ago
VijimamboUZINDUZI WA 'DADDY'S WEDDING' MOVIE WAFANA HOUSTON
10 years ago
Dewji Blog01 Jun
Uzinduzi wa ‘Samsung Muvika 4G LTE’ wafana jijini Arusha
Nguli wa vifaa vya umeme Samsung imeendelea na juhudi za kuimarika katika nafasi ya kwanza kwa uzinduzi wa simu zake mpya na za kushangaza za 4G LTE zilizopewa jina la ‘Muvika’. Uzinduzi huu wa mara ya kwanza na wa aina yake nchini kwa upande wa simu za mkononi zenye teknolojia ya aina hii ulifanyika Hoteli ya Bay Leaf Arusha. Pamoja na utambulisho huo tukio lilikuwa kama jukwaa la usimamizi wa wazalishaji simu kukutana na wafanyabiashara wa hapa nyumbani, mawakala na wadau wengine...
11 years ago
MichuziUZINDUZI SIKU YA MSANII WAFANA SANA JIJINI DAR
Akizungumza katika uzinduzi huo uliofanyika Jumamosi usiku katika Hoteli ya Sea Cliff, jijini Dar es Salaam, Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukanagara, alisema Siku ya...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/1.6.jpg)
UZINDUZI WA CHEZA KWA MADOIDO WAFANA DAR LIVE!
10 years ago
Dewji Blog16 Mar
Uzinduzi wa kampuni mpya ya Quality Service and Catering wafana
Mhasibu wa Kampuni ya Nivanaa Quality service and catering, Bi.Magreth Tairo akizindua kampuni hiyo City Lounge jijini Dar es salaam inayojishugusha na upikaji wa vyakula katika sherehe mbalimbali yenye makao yake makuu Kinondoni Manyanya Dar es Salaam.
Wadau walioudhuria katika hafla hiyo wakifuatilia uzinduzi huo.
Timu nzima ya waanzilishi na wamiliki wa Kampuni ya Nivanaa Quality service and catering wakiwa kwenye picha ya pamoja.
Mhasibu wa Kampuni ya Nivaana Quality service and...
10 years ago
Michuzi16 Mar
UZINDUZI WA KAMPUNI MPYA YA QUALITY SERVICE AND CATERING WAFANA SANA
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/03/1131.jpg)
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/03/264.jpg)
![3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/03/347.jpg)
BOFYA...