Uzinduzi wa kampuni mpya ya Quality Service and Catering wafana
Mhasibu wa Kampuni ya Nivanaa Quality service and catering, Bi.Magreth Tairo akizindua kampuni hiyo City Lounge jijini Dar es salaam inayojishugusha na upikaji wa vyakula katika sherehe mbalimbali yenye makao yake makuu Kinondoni Manyanya Dar es Salaam.
Wadau walioudhuria katika hafla hiyo wakifuatilia uzinduzi huo.
Timu nzima ya waanzilishi na wamiliki wa Kampuni ya Nivanaa Quality service and catering wakiwa kwenye picha ya pamoja.
Mhasibu wa Kampuni ya Nivaana Quality service and...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi16 Mar
UZINDUZI WA KAMPUNI MPYA YA QUALITY SERVICE AND CATERING WAFANA SANA
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/03/1131.jpg)
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/03/264.jpg)
![3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/03/347.jpg)
BOFYA...
11 years ago
GPLJAHAZI: UZINDUZI WA ALBAMU MPYA 'CHOZI LA MAMA' WAFANA DAR LIVE USIKU HUU
10 years ago
VijimamboKAMPUNI YA BIA YA SERENGETI KUDHAMINI UZINDUZI WA VIDEO MPYA YA MSANII “LINAH"
10 years ago
Daily News03 Dec
New CAG pledges quality service
Daily News
Daily News
THE newly-appointed Controller and Auditor General (CAG), Professor Mussa Juma Assad, on Tuesday 'hit the ground running' soon after being sworn in by President Jakaya Kikwete at the State House in Dar es Salaam, pledging to bring more quality to the ...
11 years ago
Dewji Blog01 Jul
Uzinduzi rasmi wa Faridas Foundation wafana
Mkurugenzi Farida A. Sekimonyo wa Faridas Foundation akiomba Sala ya uzinduzi rasmi wa Foundation hiyo.
Mshehereshaji wa Shughuli ya uzinduzi wa Faridas Foundation Taji Liundi.
Elias Masaki katibu mkuu ‘CHAWATA’ na pia mweka hazina Shirikisho la watu wenye ulemavu akichangia mawazo kuhusiana na jinsi Farida Foundation inavyofanya kazi zake kwa jamii.
Baadhi ya wageni waalikwa wakifuatilia maada mbalimbali zilizokuwa zikiendelea katika uzinduzi wa Faridas Foundation.
Kassim Kibwe...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7HckCxKdxYw/U9pfN_I4oKI/AAAAAAAF8DU/NPIuD2Gg21U/s72-c/ekerege-dini+ya+ufisadi.jpg)
Menejimenti ilikosea kutoa msamaha wa kodi kwa Kampuni ya Jaffar Mohamed Ali Garage na Kampuni Quality Motors - Charles Ekerege
![](http://4.bp.blogspot.com/-7HckCxKdxYw/U9pfN_I4oKI/AAAAAAAF8DU/NPIuD2Gg21U/s1600/ekerege-dini+ya+ufisadi.jpg)
MKURUGENZI wa Shirika la Viwango Nchini (TBS), Charles Ekerege, amekiri mahakamani kwamba Menejimenti ilikosea kutoa msamaha wa kodi kwa Kampuni ya Jaffar Mohamed Ali Garage na Kampuni Quality Motors na hivyo, na kwamba Bodi ya Wakurugenzi ilitoa onyo kali na kuitaka isirudie kosa hilo.
Aidha, ameeleza kuwa hakutoa msamaha huo yeye binafsi bali menejimenti iliyoketi chini ya wakuu wa idara sita za shirika hilo ilipitisha na kwamba kutokana na kampuni hizo mbili...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yIRAODsxTEzObpp6-ZkU1PsCNRfN0778nz-W0ZW1zU1JED0x1Bg5-zpHcVnSNrdGRime-Gjjn1EtRqYKrN00z549oIOVE6ok/01.jpg?width=650)
SHEREHE ZA UZINDUZI WA SHULE YA SULLIVAN PROVOST WAFANA
10 years ago
VijimamboUZINDUZI WA 'DADDY'S WEDDING' MOVIE WAFANA HOUSTON