Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbunge Badwel huru,Takukuru washindwa kuthibitisha mashitaka

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuachia huru mbunge wa Bahi (CCM), Omary Badwel aliyekuwa anakabiliwa na mashitaka ya kuomba na kupokea rushwa ya Sh milioni moja.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wagombea,urais,wenza washindwa kuthibitisha kushiriki mdahalo

Kamati ya maandalizi ya midahalo ya wagombea urais na wagombea wenza wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoratibiwa na Baraza la Habari Tanzania (MCT), imelazimika kuongeza muda wa uthibitisho, baada ya wagombea kushindwa kuthibitisha ushiriki wao kwa barua.

 

11 years ago

Mwananchi

Mchunguzi wa Takukuru aeleza Badwel alivyorekodiwa bila kujua

Shahidi wa sita katika kesi ya Mbunge wa Bahi mkoani Dodoma, Omary Badwel, Emmanuel Koroso ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa ndiye aliyefanikisha mpango wa kumrekodi mshtakiwa huyo kuhusiana na tuhuma zinazomkabili bila yeye kutambua.

 

10 years ago

Mwananchi

Badwel aachiwa huru, atakiwa kuwa makini

Dar es Salaam. Hakimu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jana alimuachia huru Mbunge wa Bahi (CCM), Omary Badwel aliyekuwa akikabiliwa na mashtaka mawili ya kuomba na kupokea rushwa, lakini akamtaka kurekebisha tabia yake mbele ya watu wanaomzunguka.

 

11 years ago

Michuzi

MUENDELEZO WA KESI YA MBUNGE WA BAHI, BADWEL


NA MIRIAM MOSSES MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imetupilia mbali pingamizi la awali la upande wa utetezi kuhusu kusitisha kusikiliza kesi  inayomkabili  Mbunge Omary Badwel  (pichani) ya kuomba na kupokea rushwa kutokana na kesi ya Kikatiba iliyofunguliwa na mshtakiwa huyo kutokuwa na uhusiano na tuhuma za jina zinazomkabili.
Uamuzi huo ulitolewa jana na Hakimu Mkazi Mkuu, Mhe. Hellen Riwa, kwamba kesi ya jinai inayomkabili Badwel haina uhusiano na kesi ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Takukuru yamburuza kortini mbunge wa E.A

>Waliokuwa watumishi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro akiwamo aliyekuwa Mhifadhi Mkuu wa Mamlaka hiyo ambaye kwa sasa ni Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Bernard Mrunya wamepandishwa kizimbani jana katika Mahakama ya Wilaya ya Karatu kujibu tuhuma mbalimbali zinazowakabili ikiwamo matumizi mabaya ya madaraka wakati wakiwa watumishi katika mamlaka hiyo.

 

11 years ago

Habarileo

Mbunge aachiwa huru

MBUNGE wa Ukerewe, mkoani Mwanza, Salvatory Machemli ameachiwa huru na Mahakama baada ya upande wa mashitaka kushindwa kuthibitisha mashitaka ya uchochezi yaliyokuwa yakimkabili.

 

11 years ago

Habarileo

Kesi Mbunge huru yapangiwa majaji

KESI ya kikatiba iliyofunguliwa kutaka Mahakama iruhusu mbunge aliyefukuzwa uanachama katika chama chake atambuliwe kuwa Mbunge huru au aruhusiwe kuhama na ubunge wake kwenda chama chochote, imepangiwa jopo la majaji watatu.

 

10 years ago

Vijimambo

MATOKEO YALIYOMPA USHINDI MBUNGE PROF MSOLA KATA TATU YATUPWA ,UCHAGUZI KURUDIA KESHO TAKUKURU WAANZA KUCHUNGUZA MCHAKATO MZIMA KILOLO

Na MatukiodaimaBlog
CHAMA Cha mapinduzi ( CCM) mkoa  wa Iringa  kimefuta matokeo ya kata tatu za jimbo la Kilolo matokeo yaliyokuwa yakimpa ushindi mkubwa mbunge anaemaliza muda wake Prof Peter Msola na kuagiza uchaguzi   huo  kurudiwa kesho
Matokeo hayo ambayo yamekataliwa na wagombea wote yanadaiwa kupachikwa katika  vituo vya kata hizo tatu japo hata hivyo hayana uhalisia ukilinganisha na idadi ya wanachama wa maeneo husika .
Katibu  wa CCM  mkoa  wa  Iringa Bw  Hassan Mtenga  alisema  kuwa ...

 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: MATOKEO YALIYOMPA USHINDI MBUNGE PROF MSOLA KATA TATU YATUPWA ,UCHAGUZI KURUDIA KESHO TAKUKURU WAANZA KUCHUNGUZA MCHAKATO MZIMA KILOLO

Na MatukiodaimaBlog
CHAMA Cha mapinduzi ( CCM) mkoa  wa Iringa  kimefuta matokeo ya kata tatu za jimbo la Kilolo matokeo yaliyokuwa yakimpa ushindi mkubwa mbunge anaemaliza muda wake Prof Peter Msola na kuagiza uchaguzi   huo  kurudiwa kesho
Matokeo hayo ambayo yamekataliwa na wagombea wote yanadaiwa kupachikwa katika  vituo vya kata hizo tatu japo hata hivyo hayana uhalisia ukilinganisha na idadi ya wanachama wa maeneo husika .
Katibu  wa CCM  mkoa  wa  Iringa Bw  Hassan Mtenga ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani