Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Badwel aachiwa huru, atakiwa kuwa makini

Dar es Salaam. Hakimu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jana alimuachia huru Mbunge wa Bahi (CCM), Omary Badwel aliyekuwa akikabiliwa na mashtaka mawili ya kuomba na kupokea rushwa, lakini akamtaka kurekebisha tabia yake mbele ya watu wanaomzunguka.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Mbunge Badwel huru,Takukuru washindwa kuthibitisha mashitaka

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuachia huru mbunge wa Bahi (CCM), Omary Badwel aliyekuwa anakabiliwa na mashitaka ya kuomba na kupokea rushwa ya Sh milioni moja.

 

11 years ago

Habarileo

Mbunge aachiwa huru

MBUNGE wa Ukerewe, mkoani Mwanza, Salvatory Machemli ameachiwa huru na Mahakama baada ya upande wa mashitaka kushindwa kuthibitisha mashitaka ya uchochezi yaliyokuwa yakimkabili.

 

10 years ago

Mwananchi

Mtuhumiwa aachiwa huru

Mahakama ya Wilaya ya Shinyanga imemwachia huru mshtakiwa Eugene Mwaluko (18), aliyekuwa akikabiliwa na shtaka la kumbaka mtoto mdogo mwenye umri wa miaka tisa anayesoma darasa la tatu, Manispaa ya Shinyanga.

 

11 years ago

Habarileo

Kibanda aachiwa huru

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salam imemwachia huru aliyekuwa Mhariri Mtendaji wa Gazeti la Tanzania Daima, Absalom Kibanda na wenzake baada ya kuwaona hawana hatia katika mashitaka ya uchochezi yaliyokuwa yanawakabili.

 

10 years ago

Habarileo

Shekhe Ponda aachiwa huru

Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Shekhe Issa Ponda (mwenye kanzu) akiingia Mahakama Kuu ya Tanzania, jijini Dar es Salaam jana kusikiliza kesi inayomkabili. (Picha na Yusuf Badi).MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imemwachia huru Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Shekhe Issa Ponda kutokana na upande wa mashitaka kushindwa kuthibitisha makosa dhidi yake.

 

11 years ago

Mwananchi

Kondo wa Yanga aachiwa huru

>Mshambuliaji wa Yanga, Shaaban Kondo amejiunga na kikosi cha timu hiyo baada ya kuachiwa huru na Jeshi la Polisi lililomtia nguvuni juzi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanaharakati Mpalestina aachiwa huru

Mwanaharakati wa kipalestina Khader Adnan ameachiwa kutoka gerezani na utawala wa Israel

 

9 years ago

Habarileo

Shehe Ponda aachiwa huru

KATIBU wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Shehe Ponda Issa Ponda ameachiwa huru na Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Mkoa wa Morogoro baada ya kumwona hana hatia katika kesi iliyokuwa ikimkabili. Shehe Ponda alifunguliwa kesi namba 128, Agosti 19, 2013 katika mahakama hiyo baada ya kudaiwa kutenda kosa la kuvunja sheria ya nchi Kifungu Namba 24 cha Kanuni ya Adhabu.

 

10 years ago

Habarileo

Aachiwa huru, akamatwa tena

MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala imemuachia huru, Samwel Meshack baada ya upande wa mashitaka kushindwa kuleta mashahidi kuthibitisha tuhuma za wizi zilizokuwa zikimkabili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani