Shahidi aeleza Sheikh Ponda alivyorekodiwa kwa siri
>Shahidi wa saba katika kesi inayomkabili Kiongozi wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu, Sheikh Ponda Issa Ponda, Mkuu wa Kitengo cha Utambuzi, Polisi Morogoro, Inspekta Jafert Msongole, jana alitoa ushahidi wake mbele ya Mahakama ya Mkoa wa Morogoro akieleza jinsi ilivyokuwa lazima Sheikh Ponda kurekodiwa kwa siri kwenye mkanda wa video.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi10 Jul
Mchunguzi wa Takukuru aeleza Badwel alivyorekodiwa bila kujua
10 years ago
Mwananchi02 Feb
Shahidi wa tatu kesi ya Ponda atoa ushahidi
11 years ago
Habarileo17 Jul
Shahidi aeleza watuhumiwa walivyokamatwa
SHAHIDI wa tatu wa kesi ya wizi wa simu za thamani ya Sh milioni 19.4 inayowakabili wafanyakazi sita wa Kampuni ya kupakia na kupakua mizigo ya Swissport, ameieleza Mahakama ya Wilaya ya Ilala kuwa aliwakamata watuhumiwa hao kwa nyakati tofauti.
10 years ago
Mwananchi27 Jan
Shahidi atumia saa mbili kutoa ushahidi kesi ya Ponda
11 years ago
Mwananchi02 Apr
Shahidi aeleza alivyoshuhudia uporaji Mwanga
10 years ago
Habarileo28 Aug
Shahidi aeleza alivyoingiliwa kimwili na mganga
SHAHIDI wa pili katika kesi ya kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu inayomkabili mganga wa kienyeji, Yahaya Michael (34) ameieleza Mahakama ya Wilaya ya Ilala jinsi alivyoingiliwa kimwili na mganga huyo kwa madai kwamba atampatia dawa ya kupata mtoto.
9 years ago
Habarileo10 Dec
Shahidi aeleza Mwale ‘alivyocheza’ na akaunti
SHAHIDI wa kwanza katika kesi inayomkabili wakili maarufu hapa, Median Mwale na wenzake watatu, Ofisa wa Jeshi la Polisi, Fadhili Mdem, ameieleza Mahakama Kuu Kanda ya Arusha, kuwa Mwale alipokea dola za Marekani kutoka akaunti ya Moyale Precious Gems Mineral and Enterprise Ltd iliyofunguliwa ikiwa na upungufu wa nyaraka.
10 years ago
Habarileo14 Aug
Shahidi aeleza trafiki feki alivyofukuzwa chuoni
SHAHIDI wa pili katika kesi ya aliyejifanya askari polisi wa usalama barabarani, James Hassan (45) ameileza Mahakama ya Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam kuwa mshitakiwa huyo alifukuzwa baada ya kuchelewa kuingia chuoni.
10 years ago
Mwananchi13 Feb
Shahidi aeleza walivyotekeleza agizo la Kamanda Kamuhanda