Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RC: Hakuna visingizio ujenzi wa maabara

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Evarist Ndikilo.MKUU wa mkoa wa Pwani, Evarist Ndikilo amewataka wakuu wa wilaya mkoani humo kuhakikisha wanakamilisha ujenzi wa maabara za sayansi kwenye kata ifikapo Machi mwaka huu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

UJENZI WA MAABARA: MAHIZA AWATAKA WAKUU WA IDARA WASIKAE OFISINI WAENDE KWENYE KATA,ATAKA MADIWANI WAAHIRISHE VIKAO VYAO HADI UJENZI UTAKAPOKAMILIKA

Na John Gagarini, Bagamoyo
SUALA la Maabara kwa shule za Sekondari za Kata limeingia kwenye hatua nzito baada ya mkuu wa Mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza kuiacha ofisi yake na kuhamia Wilaya ya Bagamoyo ili kuhakikisha agizo la Rais Dk Jakaya Kikwete la kila wilaya iwe imekamilisha ujenzi huo ifikapo Novemba 30 mwaka huu.
Sambamba na hilo mkuu huyo amewataka wakuu wa idara wa Wilaya hiyo kila mmoja kutokaa ofisini na kuchagua kata ya kwenda ili kusimamia ujenzi huo hadi ujenzi wa maabara...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Tanzania hakuna maabara kupima ebola’

Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imesema Tanzania haina maabara yenye uwezo wa kuthibitisha vipimo vya ebola hivi sasa na kwamba inapotokea mtu kudhaniwa kuathiriwa na virusi vya ugonjwa huo, vipimo vyake ni lazima vithibitishwe nje ya nchi.

 

10 years ago

Mtanzania

Pinda: Ujenzi wa maabara palepale

PM-PINDANa Mwandishi Wetu, Mwanza
WAZIRI MKUU, Mizengo Pinda amesema tarehe ya mwisho iliyotolewa na Serikali ya kusimamia ujenzi wa maabara kwa shule za sekondari iko palepale na amewataka watendaji wa halmashauri na mikoa kuhakikisha wanatimiza agizo hilo.

Alitoa agizo hilo Mwanza jana alipozungumza na watendaji wa Mamlaka za Serikali za Mitaa na Waratibu wa Elimu wa Wilaya na Mikoa waliohudhuria ufunguzi wa mashindano ya UMISSETA na UMITASHUMTA kwenye uwanja wa CCM Kirumba.

Waziri Mkuu ambaye...

 

10 years ago

Habarileo

Mikoa 6 taabani ujenzi wa maabara

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.MIKOA sita ‘imevurunda’ katika ujenzi wa maabara katika shule za sekondari baada ya kushindwa kufikia malengo. Ni mikoa mitatu pekee ndiyo imefanya vizuri kwa kuvuka nusu ya malengo.

 

10 years ago

Habarileo

Pwani ujenzi wa maabara asilimia 80

WILAYA ya Kibaha mkoani Pwani imefikia asilimia 80 ya ujenzi wa maabara kwenye shule za sekondari na inatarajia kukamilisha ujenzi huo mwishoni mwa mwezi huu.

 

10 years ago

Habarileo

Wagomea ujenzi wa maabara mbele ya RC

WANANCHI wa Kijiji cha Mahaha, kata ya Shishani, tarafa ya Ndagalu wilayani Magu, mkoani Mwanza wamegoma kuendelea na ujenzi wa maabara katika Sekondari ya Shishani na badala yake wanataka kuendelea na ujenzi wa sekondari ya kijiji chao.

 

10 years ago

Habarileo

DC Mpwapwa apania ujenzi wa maabara

Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa, Antony MavundeMKUU mpya wa Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma, Antony Mavunde ameapishwa jana mjini hapa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma huku akisema kipaumbele chake cha kwanza ni kuhakikisha ujenzi wa maabara unakamilika kwa wakati.

 

10 years ago

Habarileo

RC akataa taarifa ya ujenzi maabara Kilosa

MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe ameikataa taarifa ya ujenzi wa maabara ya Wilaya ya Kilosa kutokana na utekelezaji wake kusuasua na kuagiza kukamilishwa ndani ya Machi mwaka huu.

 

10 years ago

Habarileo

Mkurugenzi Masasi ahimiza ujenzi wa maabara

MKURUGENZI wa Halmashauri ya mji Masasi mkoani Mtwara, Fortunatus Kagoro amewataka wananchi mjini humo kuwa na moyo wa uzalendo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani