Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania yathibitisha hakuna Ebola

Tanzania imesema hakuna mgonjwa aliyethibitishwa kuwa na Ebola, baada ya kufanyiwa uchunguzi wagonjwa wawili walio tiliwa shaka.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

‘Tanzania hakuna maabara kupima ebola’

Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imesema Tanzania haina maabara yenye uwezo wa kuthibitisha vipimo vya ebola hivi sasa na kwamba inapotokea mtu kudhaniwa kuathiriwa na virusi vya ugonjwa huo, vipimo vyake ni lazima vithibitishwe nje ya nchi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Serikali yasema hakuna Ebola Tanzania

Tanzania imesema haina mgonjwa wa Ebola, baada ya kufanyiwa uchunguzi kwa wagonjwa wawili waliotiliwa shaka kuwa na ugonjwa huo.

 

5 years ago

CCM Blog

TANZANIA YATHIBITISHA KUPATA MGONJWA W CORONA

 WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu, amethibitisha kuwa Tanzania ina mgonjwa mmoja mwanamke (46) mwenye virusi vya Corona, aliyeingia nchini kwa ndege ya Rwandair kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) akitokea nchini Ubelgiji.
Waziri huyo ameyasema hayo leo Jumatatu Machi 16, 2020, alipokutana na waandishi wa habari katika ofisi za Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu Tafiti za Tiba (NIMRI).
Kwa mujibu wa taarifa kwa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Tanzania yathibitisha kuwa wagonjwa 13 wa corona

Waziri wa afya nchini Tanzania, bi. Ummy Mwalimu wagonjwa 12 wa ugonjwa wa corona.

 

10 years ago

Habarileo

Serikali: Msihofu, hakuna ebola nchini

SERIKALI imewataka Watanzania kutokuwa na hofu ya ugonjwa wa ebola kwani wamejipanga ipasavyo na hakuna mgonjwa aliyethibitika kuwa na ugonjwa huo. Imesisitiza hivyo baada ya kuwapo na taarifa zisizo rasmi kwamba ugonjwa huo umeshaingia nchini.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Serikali yasema hakuna mgonjwa wa ebola


NA MWANDISHI WETU
SERIKALI imekanusha kuwepo kwa ugonjwa wa ebola nchini, huku ikithibitisha kuwa mtu aliyedhaniwa kuwa na ugonjwa huo, anasumbuliwa na malaria.
Pia, wanafamilia wa karibu wa mgonjwa huyo wamechunguzwa na kuonekana  hawana dalili za ugonjwa huo au magonjwa jamii ya ebola, kama dengue na chikungunya.
Kauli hiyo ya serikali imetolewa baada ya sampuli ya damu iliyochukuliwa kutoka kwa mgonjwa huyo na kufanyiwa uchunguzi wa kimaabara, kuonyesha kuwa alikuwa akisumbuliwa na...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Tanzania yathibitisha wagonjwa 29 wapya

Wagonjwa wapya 29 wathibitishwa kuwa na virusi vya corona Tanzania

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Tanzania yathibitisha wagonjwa 19 wa virusi vya corona

Mamlaka za Tanzania zathibitisha wagonjwa wapya watano.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Tanzania yathibitisha kuwa na kisa cha kwanza

Waziri wa afya nchini Tanzania Ummy Mwalimu amesema aliingia nchini kupitia uwanja wa ndege wa kimataifa KIA.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani