Serikali: Msihofu, hakuna ebola nchini
SERIKALI imewataka Watanzania kutokuwa na hofu ya ugonjwa wa ebola kwani wamejipanga ipasavyo na hakuna mgonjwa aliyethibitika kuwa na ugonjwa huo. Imesisitiza hivyo baada ya kuwapo na taarifa zisizo rasmi kwamba ugonjwa huo umeshaingia nchini.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper27 Oct
Serikali yasema hakuna mgonjwa wa ebola
NA MWANDISHI WETU
SERIKALI imekanusha kuwepo kwa ugonjwa wa ebola nchini, huku ikithibitisha kuwa mtu aliyedhaniwa kuwa na ugonjwa huo, anasumbuliwa na malaria.
Pia, wanafamilia wa karibu wa mgonjwa huyo wamechunguzwa na kuonekana hawana dalili za ugonjwa huo au magonjwa jamii ya ebola, kama dengue na chikungunya.
Kauli hiyo ya serikali imetolewa baada ya sampuli ya damu iliyochukuliwa kutoka kwa mgonjwa huyo na kufanyiwa uchunguzi wa kimaabara, kuonyesha kuwa alikuwa akisumbuliwa na...
10 years ago
BBCSwahili15 Aug
Serikali yasema hakuna Ebola Tanzania
Tanzania imesema haina mgonjwa wa Ebola, baada ya kufanyiwa uchunguzi kwa wagonjwa wawili waliotiliwa shaka kuwa na ugonjwa huo.
10 years ago
BBCSwahili15 Aug
Tanzania yathibitisha hakuna Ebola
Tanzania imesema hakuna mgonjwa aliyethibitishwa kuwa na Ebola, baada ya kufanyiwa uchunguzi wagonjwa wawili walio tiliwa shaka.
10 years ago
Mwananchi21 Oct
‘Tanzania hakuna maabara kupima ebola’
Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imesema Tanzania haina maabara yenye uwezo wa kuthibitisha vipimo vya ebola hivi sasa na kwamba inapotokea mtu kudhaniwa kuathiriwa na virusi vya ugonjwa huo, vipimo vyake ni lazima vithibitishwe nje ya nchi.
9 years ago
Mwananchi23 Oct
Maalim Seif: Msihofu
Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF, Maalim Seif Sharif Hamad amewaambia watumishi wa umma kuwa kura watakazopiga kwenye Uchaguzi Mkuu ni za siri na hivyo Serikali haitajua wamepigia chama gani.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A8I8pebmYzpUEOvyZOHRCrAX30rQGpNUgAOCl1DxXmYoUBNcK5Rk-muiwfxGKQFEWMbkqQEhoMwuhJyVp46JIRcExuqTiA4O/kochawasimba.gif?width=640)
Loga: Dawa ya Okwi ipo wala msihofu
Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic. Na Khatimu Naheka
KOCHA Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic amewashusha presha mashabiki wa timu hiyo kuhusu makali ya mshambuliaji Emmanuel Okwi ambaye ametua Yanga kwa kusema kuwa dawa yake ipo. Akizungumza na Championi Ijumaa, Logarusic ‘Loga’, amesema anatambua kuwa Okwi raia wa Uganda ni mmoja wa washambuliaji bora katika Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati, lakini kamwe...
9 years ago
GPLLUBUVA: WANANCHI MSIHOFU UCHAGUZI UTAKUWA WA AMANI
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Mstaafu Damian Lubuva (katikati) akiwa na makamishna wa tume hiyo wakati akisisitiza jambo kwenye mkutano wake na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari. Makamishna wa Tume hiyo wakiwa bize kwenye mkutano huo.…
10 years ago
Mwananchi24 Mar
‘Hakuna mazingira yanayoiwezesha Serikali kuhamia Dodoma’
Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu Dodoma (CDA) iliundwa kwa tamko la Serikali la mwaka 1973, lengo kubwa likiwa kupanga mji, kuishauri na kuisaidia Serikali kuhamia Dodoma.
11 years ago
Mwananchi24 Mar
Askofu: Hakuna muujiza kutatua kero Serikali mbili
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini, Dk. Martin Shao amesema hatarajii kuona miujiza katika kushughulikia kero za Muungano wa serikali mbili kwa kuwa suala hilo limeshindikana kwa miaka 50.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania