TANZANIA IPO SALAMA HAKUNA UGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-vsEC-b2Dk-8/XkYhoXfIBLI/AAAAAAACykk/3PFe5nh8MXElMIUzYowi3zjtywf0IUVigCLcBGAsYHQ/s72-c/NWAMJW.png)
Na Englibert Kayombo, WAMJW, Arusha.Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile amewahakikisha Watanzania kuwa nchi bado iko salama na hakuna mgonwjwa yeyote mwenye ugonjwa wa Virusi vya Corona.
Dkt Ndugulile ametoa kauli hiyo akiwa Jijini arusha katika Ziara zake za kikazi ambapo waandishi wa habari walimuuliza juu ya tetesi za uwepo wa ugonjwa huo nchini, pamoja na kutaka kufahamu ukweli wa taarifa za mtu anayedai kuwa na dawa za ugonjwa...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-q-s3GYQZV0w/XkYwNremM6I/AAAAAAALdVQ/kjY-ZlfLpwUNYjYY80nPF3ouOCGhjN6QACLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed-1021x580.png)
TANZANIA NI SALAMA HAKUNA UGONJWA WA CORONA -DKT NDUGULILE
Na Englibert Kayombo, WAMJW, Arusha.
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile amewahakikisha Watanzania kuwa nchi bado iko salama na hakuna mgonwjwa yeyote mwenye ugonjwa wa Virusi vya Corona.
Dkt Ndugulile ametoa kauli hiyo akiwa Jijini arusha katika Ziara zake za kikazi ambapo waandishi wa habari walimuuliza juu ya tetesi za uwepo wa ugonjwa huo nchini, pamoja na kutaka kufahamu ukweli wa taarifa za mtu anayedai kuwa na dawa za ugonjwa huo....
5 years ago
BBCSwahili13 May
Virusi vya corona: Hatari ya kuambukizwa corona Dar es Salaam ipo juu yasema Marekani
5 years ago
BBCSwahili14 May
Virusi vy corona: Tanzania yasema hakuna haja ya kuwa na wasiwasi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PbYp00ppVN0/XoScBSoq_sI/AAAAAAALlyo/T6kqRfhOTTEKZUc_07f_vKoNMkv21o0MgCLcBGAsYHQ/s72-c/Umi_Mwalimu.jpg)
11 years ago
Mwananchi10 Feb
Mgeja atamba CCM ipo imara hakuna wa kuiyumbisha
5 years ago
BBCSwahili27 Jun
Virusi vya corona: Ugonjwa wa corona sasa ni tatizo kuu Marekani
5 years ago
BBCSwahili14 Jun
Virusi vya corona: Je unajua ugonjwa wa corona huenda ulianza mapema mno?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QsYVKE-pbjZ7mdOCZ8aYxhd5G1kt5bWOZnVPXRDJ*uoG4D1xxs3KWApmx8*Z1JJx5mEwT0DpTQtaDFAQSJOnUP7dsnK*rFis/couplesexbedvert.jpg?width=650)
HAKUNA HOBI YA NGONO, UGONJWA
5 years ago
MichuziWAZIRI SIMBACHAWENE AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA MAREKANI, UMOJA WA ULAYA, ASEMA NCHI IPO SALAMA, UCHAGUZI UTAKUWA HURU NA HAKI
Akizungumza na mabalozi hao waliofika kwa wakati tofauti ofisi ndogo ya Wizara, jijini Dar es Salaam, leo, Simbachawene amesema vyombo vyake vinaendelea kufanya kazi kwa weledi katika kuimarisha usalama wa raia na mali...