HAKUNA HOBI YA NGONO, UGONJWA
![](http://api.ning.com:80/files/QsYVKE-pbjZ7mdOCZ8aYxhd5G1kt5bWOZnVPXRDJ*uoG4D1xxs3KWApmx8*Z1JJx5mEwT0DpTQtaDFAQSJOnUP7dsnK*rFis/couplesexbedvert.jpg?width=650)
MARA kadhaa utakuwa umekutana na marafiki wanaozungumza maneno mengi kuhusu ngono. Baadhi wanapozungumza, wanaonyesha wazi kutopendezwa na hali yao ya kupenda ngono kupita kiasi, lakini wengine huongea kwa kujisifu kwa vile ni mahodari wa kushiriki tendo lile. Wanaojisifu, ndiyo hawa huja na kauli kuwa wao hobi yao ni mapenzi. Neno hili, hobi, ni la kiingereza linalomaanisha kitu ambacho mtu anakipenda. Mtu atasema hobi yake ni...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mL7vEimd6q25Z4Naksm7wtM7*hyDUA8PDc3hnDe2uCarYZTmQAn3UOC6s186r02Yc7lK3sKQfB78zA*L6a8LMXZPTZ9ALWCW/lundenga.jpg?width=650)
ANKO LUNDENGA: HAKUNA MISS TANZANIA ANAYESHINDA KWA KUTOA RUSHWA YA NGONO
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-vsEC-b2Dk-8/XkYhoXfIBLI/AAAAAAACykk/3PFe5nh8MXElMIUzYowi3zjtywf0IUVigCLcBGAsYHQ/s72-c/NWAMJW.png)
TANZANIA IPO SALAMA HAKUNA UGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-vsEC-b2Dk-8/XkYhoXfIBLI/AAAAAAACykk/3PFe5nh8MXElMIUzYowi3zjtywf0IUVigCLcBGAsYHQ/s640/NWAMJW.png)
Dkt Ndugulile ametoa kauli hiyo akiwa Jijini arusha katika Ziara zake za kikazi ambapo waandishi wa habari walimuuliza juu ya tetesi za uwepo wa ugonjwa huo nchini, pamoja na kutaka kufahamu ukweli wa taarifa za mtu anayedai kuwa na dawa za ugonjwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-q-s3GYQZV0w/XkYwNremM6I/AAAAAAALdVQ/kjY-ZlfLpwUNYjYY80nPF3ouOCGhjN6QACLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed-1021x580.png)
TANZANIA NI SALAMA HAKUNA UGONJWA WA CORONA -DKT NDUGULILE
Na Englibert Kayombo, WAMJW, Arusha.
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile amewahakikisha Watanzania kuwa nchi bado iko salama na hakuna mgonwjwa yeyote mwenye ugonjwa wa Virusi vya Corona.
Dkt Ndugulile ametoa kauli hiyo akiwa Jijini arusha katika Ziara zake za kikazi ambapo waandishi wa habari walimuuliza juu ya tetesi za uwepo wa ugonjwa huo nchini, pamoja na kutaka kufahamu ukweli wa taarifa za mtu anayedai kuwa na dawa za ugonjwa huo....
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/k3CULkKWsLZEPChIkvGBwoqn2kuFgWkgfy8iBdmwgU8T7X-yPxsGqpM0aJbOjTSxZK9uNCPYAANNXDx**PySqya3thSadSKZ/BABYMADAHA2.jpg?width=650)
BABY MADAHA MAPENZI NI HOBI YANGU
10 years ago
Mwananchi17 Apr
Chadema: Hakuna kulala, hakuna kula
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-T8Lo27RSiWs/VglG8ApQNaI/AAAAAAAAT_Q/KLIlOUC5xgE/s72-c/AFYA.jpg)
FAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA HUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-T8Lo27RSiWs/VglG8ApQNaI/AAAAAAAAT_Q/KLIlOUC5xgE/s640/AFYA.jpg)
~watu wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba
JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!
~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nnje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa...