Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LUNGI: NIMEFANYA SANA BIASHARA YA KUUZA UNGA

Wiki hii katika kolamu yetu hii tunaye Lungi Maulanga, msanii wa filamu Bongo ambaye pia anafanya biashara. Mwandishi Wetu Hamida Hassan alikutana naye maeneo f’lani jijini Dar na kumbana kwa maswali 10 ambayo aliyajibu kwa umakini wa hali ya juu. Tiririka naye… Mwigizaji wa Bongo Muvi, Lungi Maulanga.  Ijumaa: Hebu tuambie kuhusu maisha yako ya kimapenzi.
Lungi: Nina mpenzi wangu ambaye nampenda sana na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAINDA NIMEFANYA SANA ANASA, SASA BASI!

Stori: Mayasa Mariwata
STAA wa filamu Bongo aliyeamua kumpokea Yesu, Ruth Suka ‘Mainda’ amesema kipindi cha nyuma alipotangaza kuokoka alikuwa ni kama anamtania Mungu ila sasa ameokoka kikwelikweli. Akipiga stori na paparazi wetu, Mainda alisema awali alipofunguka kuwa ameokoka, hakuwa siriasi kwani alikuwa akiendeleza anasa za hapa na pale lakini sasa yeye na Yesu, Yesu na yeye. Staa wa filamu Bongo Ruth...

 

10 years ago

GPL

KINYAIYA AFUNGUKA MADAI YA KUUZA UNGA

Na Gladness Mallya/Ijumaa
BAADA ya tetesi kuzagaa kwamba Mtangazaji wa Clouds TV, Benny Kinyaiya anafanya biashara haramu ya kuuza madawa ya kulevya ‘unga’ ambapo husafiri mara kwa mara kinyemela kwenda Ulaya, mwenyewe amefungukia tuhuma hizo. Mtangazaji wa Clouds TV, Benny Kinyaiya. Akichati na gazeti hili juzi akiwa nchini Uingereza, Benny alisema kuwa anashangazwa na madai hayo kwani hajawahi na wala hafikirii...

 

10 years ago

Mwananchi

Wapigakura wa Tanzania na biashara ya kuuza kura

Ilani ya chama chochote cha siasa ni ahadi ya matarajio ambayo hupewa mpigakura. Pia, katika aina tatu za wapiga kura wa Tanzania, iliyo bora ni ile ya wanaopiga kura kwa kuridhishwa na ilani ya chama husika.

 

5 years ago

Michuzi

NAMNA BIASHARA YA UTUMWA ILIVYOANZA KWA KUUZA WAFUNGWA IRISH

Na Leandra Gabriel, Michuzi TVBIASHARA ya utumwa nchini Irish ilianza kwa binadamu kuuzwa, wakati wa utawala wa Mfalme James wa pili aliruhusu kuuzwa kwa wafungwa 30,000 wakiwemo wanaume, wanawake na mabinti wadogo.
Katika miaka ya 1660 Irishi ilikua kitovu cha biashara ya utumwa na wengi wao waliuzwa katika maeneo ya Antigua na Montserrat na kwa wakati huo asilimia 70 ya watu Montserrat walikuwa watumwa kutoka Irish.
Irish imeandikwa katika historia kwa kuwa kitovu  cha biashara ya wanadamu...

 

5 years ago

Michuzi

MKUU WA MKOA WA KIGOMA APIGA MARUFUKU WATOTO KUUZA BIASHARA MAENEO MBALIMBALI


Na Editha Karlo-Michuzi Blog,Kigoma.
MKUU wa mkoa Kigoma Emanuel Maganga amepiga marufuku kwa wanafunzi na watoto kutumika kuuza bidhaa kwenye masoko na maeneo ya biashara na badala yake wazazi watekeleze agizo la serikali la watoto na wanafunzi hao kukaa nyumbani.

Akizungumza leo wakati akifanya Ziara kwenye masoko ya Buzebazeba Ujiji, Mwanga na Kibirizi kukagua utekelezaji wa agizo la serikali kujilinda dhidi ya virus vya Corona alisema kuwa watoto watakaokuwepo wakiuza kwenye masoko wazazi...

 

10 years ago

Bongo Movies

Haya Ndio Madhira Aliyokumbana Nayo Faiza Akiwa ‘Air port’ Kutokana na Kushamili Kwa Biashara ya Unga

“Siku nilivyokua nasafiri katika uwanja wetu nikasimamishwa ktk chumba flani hapo air port kuhojiwa na kupewa onyo juu madawa ya kulevya na nikaambiwa kuwa siku Jack alivyo pita walimpa onyo Kama walilo nipa mim matokeo yake ndio ilikua safari yake ya mwisho ndio akakamatwa.

Na hata nilipo fika safari yangu nikahojiwia hivyo hivyo baada ya kufika HK kwa hivyo inaonekana wazi ambavyo hii biashara imekua kubwa Tanzania maana kila unapo pita wana kushuku na mm huwa inanitokea mara kwa mara na...

 

11 years ago

Bongo5

Random Thoughts: Hatuwezi kufanya biashara zingine zaidi ya kuuza t-shirt zenye maandishi ya single tunazotoa?

Unakumbuka kile kipindi kila msanii alikuwa akimiliki duka la nguo? Well, sio kila msanii alikuwa na duka lake lakini ni kweli wengi walianzisha maduka yao. Kwa sasa ni wachache waliobaki katika biashara hiyo kwakuwa wengi maduka yao yaliishia kuwapa stress tu zaidi ya neema waliyokuwa wakitegemea kuipata. Dawa ya biashara isiyokuwa na faida ni kuifunga […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani