Wapigakura wa Tanzania na biashara ya kuuza kura
Ilani ya chama chochote cha siasa ni ahadi ya matarajio ambayo hupewa mpigakura. Pia, katika aina tatu za wapiga kura wa Tanzania, iliyo bora ni ile ya wanaopiga kura kwa kuridhishwa na ilani ya chama husika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo12 May
Kura za maoni zapisha uandikishaji wapigakura
MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva amesema kwa sasa suala la kura ya maoni limesitishwa kwa muda hadi pale tume hiyo itakapokamilisha uandikishaji wa wapigakura katika daftari la kudumu la wapigakura.
10 years ago
Mwananchi10 Oct
Kura ya Maoni isubiri Daftari la Wapigakura
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hMNECPNor99j9ofY0zSy1WURRbS4dJps7HL99DB2dopkfTzglsawAjOduDoXCDBxA*28b3PQe*hs1trgk1lAUyqoAtYzRlYR/Lungi.jpg?width=650)
LUNGI: NIMEFANYA SANA BIASHARA YA KUUZA UNGA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2FiiBRag-jg/Xn7vD8puiZI/AAAAAAALlXI/XYoSohMRpes1jAHh3787DDqgFGhb_DwEQCLcBGAsYHQ/s72-c/10238663-ethanol-pure-concentrated-ethyl-alcohol-in-bottle.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AHtCAqhEx-Y/XvSfh6YnF_I/AAAAAAALvZA/GMhSF9u2y_saCX-gR-Zw2ijpolspJrvagCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200624-WA0041.jpg)
NAMNA BIASHARA YA UTUMWA ILIVYOANZA KWA KUUZA WAFUNGWA IRISH
![](https://1.bp.blogspot.com/-AHtCAqhEx-Y/XvSfh6YnF_I/AAAAAAALvZA/GMhSF9u2y_saCX-gR-Zw2ijpolspJrvagCLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200624-WA0041.jpg)
Katika miaka ya 1660 Irishi ilikua kitovu cha biashara ya utumwa na wengi wao waliuzwa katika maeneo ya Antigua na Montserrat na kwa wakati huo asilimia 70 ya watu Montserrat walikuwa watumwa kutoka Irish.
Irish imeandikwa katika historia kwa kuwa kitovu cha biashara ya wanadamu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KPucvek-SBQ/XoJDftBK65I/AAAAAAALloE/XOTv2kKRVcQz8lgeaF2sRSIsLiJlstGVACLcBGAsYHQ/s72-c/a146cae1-59a5-4c64-8e04-3ac8ab04f5fc.jpg)
MKUU WA MKOA WA KIGOMA APIGA MARUFUKU WATOTO KUUZA BIASHARA MAENEO MBALIMBALI
Na Editha Karlo-Michuzi Blog,Kigoma.
MKUU wa mkoa Kigoma Emanuel Maganga amepiga marufuku kwa wanafunzi na watoto kutumika kuuza bidhaa kwenye masoko na maeneo ya biashara na badala yake wazazi watekeleze agizo la serikali la watoto na wanafunzi hao kukaa nyumbani.
Akizungumza leo wakati akifanya Ziara kwenye masoko ya Buzebazeba Ujiji, Mwanga na Kibirizi kukagua utekelezaji wa agizo la serikali kujilinda dhidi ya virus vya Corona alisema kuwa watoto watakaokuwepo wakiuza kwenye masoko wazazi...
11 years ago
Bongo501 Aug
Random Thoughts: Hatuwezi kufanya biashara zingine zaidi ya kuuza t-shirt zenye maandishi ya single tunazotoa?
10 years ago
Dewji Blog09 Jul
Zoezi la uboreshwaji daftari la wapigakura laendelea mkoani Pwani, Rais Jakaya Kikwete ajiandikisha kupiga kura kwa kutumia BVR kijijini Msoga
![](http://1.bp.blogspot.com/-fqx6KUK-GfE/VZvay-k9RdI/AAAAAAAHnkk/mdbvjlqUoUY/s640/unnamed%2B%252884%2529.jpg)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akijiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura kwa kutumia mfumo mpya wa kielektoniki(Biometric Voters Register( BVR) katika kijiji cha Msoga,kata ya Msoga wilayani Bagamoyo jana.Kulia akiangalia kwa makini ni mwandikishaji msaidizi Bi.Happyness Thomas Misana na katikati ni Afisa TEHAMA kutoka ofisi Tume ya Taifa Uchaguzi Bi.Mariam Rajabu.Kushoto aliyesimama akishuhudia ni Mbunge wa Chalinze Ridhwani Kikwete.
![](http://4.bp.blogspot.com/-pSNrhvcekYU/VZvardPvU5I/AAAAAAAHnkI/feqVw7MiFDs/s1600/unnamed%2B%252885%2529.jpg)
Afisa TEHAMA kutoka ofisi ya Tume ya...
9 years ago
Mwananchi01 Oct
TAFAKURI YA ABDU IDD :Wapigakura wa Tanzania tunahitaji mabadiliko gani?