Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wapigakura wa Tanzania na biashara ya kuuza kura

Ilani ya chama chochote cha siasa ni ahadi ya matarajio ambayo hupewa mpigakura. Pia, katika aina tatu za wapiga kura wa Tanzania, iliyo bora ni ile ya wanaopiga kura kwa kuridhishwa na ilani ya chama husika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Kura za maoni zapisha uandikishaji wapigakura

 Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim LipumbaMWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva amesema kwa sasa suala la kura ya maoni limesitishwa kwa muda hadi pale tume hiyo itakapokamilisha uandikishaji wa wapigakura katika daftari la kudumu la wapigakura.

 

10 years ago

Mwananchi

Kura ya Maoni isubiri Daftari la Wapigakura

Leo tumechapisha habari inayomnukuu mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu Damian Lubuva akisema Tume yake haitaendesha uchaguzi wa aina yoyote pamoja na Kura ya Maoni hadi uboreshaji wa Daftari la Wapigakura utakapokuwa umekamilika.

 

10 years ago

GPL

LUNGI: NIMEFANYA SANA BIASHARA YA KUUZA UNGA

Wiki hii katika kolamu yetu hii tunaye Lungi Maulanga, msanii wa filamu Bongo ambaye pia anafanya biashara. Mwandishi Wetu Hamida Hassan alikutana naye maeneo f’lani jijini Dar na kumbana kwa maswali 10 ambayo aliyajibu kwa umakini wa hali ya juu. Tiririka naye… Mwigizaji wa Bongo Muvi, Lungi Maulanga.  Ijumaa: Hebu tuambie kuhusu maisha yako ya kimapenzi.
Lungi: Nina mpenzi wangu ambaye nampenda sana na...

 

5 years ago

Michuzi

NAMNA BIASHARA YA UTUMWA ILIVYOANZA KWA KUUZA WAFUNGWA IRISH

Na Leandra Gabriel, Michuzi TVBIASHARA ya utumwa nchini Irish ilianza kwa binadamu kuuzwa, wakati wa utawala wa Mfalme James wa pili aliruhusu kuuzwa kwa wafungwa 30,000 wakiwemo wanaume, wanawake na mabinti wadogo.
Katika miaka ya 1660 Irishi ilikua kitovu cha biashara ya utumwa na wengi wao waliuzwa katika maeneo ya Antigua na Montserrat na kwa wakati huo asilimia 70 ya watu Montserrat walikuwa watumwa kutoka Irish.
Irish imeandikwa katika historia kwa kuwa kitovu  cha biashara ya wanadamu...

 

5 years ago

Michuzi

MKUU WA MKOA WA KIGOMA APIGA MARUFUKU WATOTO KUUZA BIASHARA MAENEO MBALIMBALI


Na Editha Karlo-Michuzi Blog,Kigoma.
MKUU wa mkoa Kigoma Emanuel Maganga amepiga marufuku kwa wanafunzi na watoto kutumika kuuza bidhaa kwenye masoko na maeneo ya biashara na badala yake wazazi watekeleze agizo la serikali la watoto na wanafunzi hao kukaa nyumbani.

Akizungumza leo wakati akifanya Ziara kwenye masoko ya Buzebazeba Ujiji, Mwanga na Kibirizi kukagua utekelezaji wa agizo la serikali kujilinda dhidi ya virus vya Corona alisema kuwa watoto watakaokuwepo wakiuza kwenye masoko wazazi...

 

11 years ago

Bongo5

Random Thoughts: Hatuwezi kufanya biashara zingine zaidi ya kuuza t-shirt zenye maandishi ya single tunazotoa?

Unakumbuka kile kipindi kila msanii alikuwa akimiliki duka la nguo? Well, sio kila msanii alikuwa na duka lake lakini ni kweli wengi walianzisha maduka yao. Kwa sasa ni wachache waliobaki katika biashara hiyo kwakuwa wengi maduka yao yaliishia kuwapa stress tu zaidi ya neema waliyokuwa wakitegemea kuipata. Dawa ya biashara isiyokuwa na faida ni kuifunga […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Zoezi la uboreshwaji daftari la wapigakura laendelea mkoani Pwani, Rais Jakaya Kikwete ajiandikisha kupiga kura kwa kutumia BVR kijijini Msoga

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akijiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura kwa kutumia mfumo mpya wa kielektoniki(Biometric Voters Register( BVR) katika kijiji cha Msoga,kata ya Msoga wilayani Bagamoyo jana.Kulia akiangalia kwa makini ni mwandikishaji msaidizi Bi.Happyness Thomas Misana na katikati ni Afisa TEHAMA kutoka ofisi Tume ya Taifa Uchaguzi Bi.Mariam Rajabu.Kushoto aliyesimama akishuhudia ni Mbunge wa Chalinze Ridhwani Kikwete.

Afisa TEHAMA kutoka ofisi ya Tume ya...

 

9 years ago

Mwananchi

TAFAKURI YA ABDU IDD :Wapigakura wa Tanzania tunahitaji mabadiliko gani?

Wadau wa tafakuri, ni vizuri tukayatafakari mabadiliko, kabla ya kuingia kwenye hatua ya kupiga kura.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani