Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAFAKURI YA ABDU IDD :Wapigakura wa Tanzania tunahitaji mabadiliko gani?

Wadau wa tafakuri, ni vizuri tukayatafakari mabadiliko, kabla ya kuingia kwenye hatua ya kupiga kura.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

TAFAKURI YA ABDU IDD :Tutafakari nguvu na udhaifu wa Dk Magufuli

Wadau wa tafakuri leo nataka tutafakari juu kuhusu uwezekano wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kushinda ama kushindwa katika kinyang’anyiro cha urais mwaka huu.

 

9 years ago

Mwananchi

TAFAKURI YA ABU IDD: Tumjibu au tumpuuze Dk Wilbrod Slaa?

Tafakuri yetu leo inaangazia hoja ya kuijibu au kutojibu  hotuba iliyotolewa hivi karibuni na aliyekuwa mwanachama na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Wilbrod Peter Slaa.

 

9 years ago

Mwananchi

TAFAKURI YA ABUU IDDI: Watanzania tungojee mabadiliko au tujibadilishe?

Wadau wa tafakuri tukikubaliana kwamba tunahitaji mabadiliko, ni lazima tutafakari kwanza ni nani mwenye wajibu wa kutuletea hayo mabadiliko. Ukweli ni kwamba mabadiliko tunayoyahitaji ni kutokea kwenye mafanikio kidogo kwenda kwenye mafanikio zaidi au kutokea kwenye dhiki kwenda kwenye faraja.

 

9 years ago

Mwananchi

‘Tunahitaji mabadiliko ya muundo wa kiuchumi’

Serikali imetakiwa kufanya mabadiliko ya mfumo wa kiuchumi ili uendane na maisha halisi ya Watanzania.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tunahitaji mabadiliko kwenye elimu

MIONGONI mwa habari zilizopo kwenye gazeti hili ni kauli ya Waziri Mkuu Mstaafu, Fredrick Sumaye, kutaka elimu ipewe kipaumbele zaidi Kwa mujibu wa Sumaye, ubora wa elimu hauwezi kupatikana kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Tunahitaji mabadiliko ya mfumo haraka iwezekanavyo

Siasa nchini sasa zimefikia wakati wake, wakati huu wa kuelekea Uchaguzi Mkuu.

 

10 years ago

Mwananchi

NEC: Hakuna mabadiliko ya ratiba Daftari la Wapigakura

Wakati Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ikisisitiza kuwa ratiba ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapigakura itakuwa kama ilivyopangwa, Chadema imesema itachukua uamuzi mgumu endapo shughuli hiyo itachelewa na kuharibu mchakato wa Kura ya Maoni.

 

10 years ago

Mtanzania

Hussein Idd: Mfanyabiashara aliyekombolewa na mabadiliko ya kidigitali

Hussein Idd akiwasikiliza wateja.SI jambo rahisi kuamini ukiambiwa kuwa kuna wafanyabiashara wanaendesha maisha yao kwa kuuza bidhaa kwa njia ya mtandao.
Unaweza kujiuliza ni kwa namna gani anaweza kupata wateja, hasa ukizingatia kuwa watu wengi nchini si wafuatiliaji wa masuala ya mitandao.
Hussein Idd ni mmoja kati ya watu wanaonufaika na biashara hiyo. Kijana huyu anaiona mitandao ya kijamii kama miongoni mwa mambo yaliyomfanya afanikiwe maishani.
Idd ni muhitimu wa fani ya Teknolojia ya Mawasiliano katika chuo cha Learn...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani