Tunahitaji mabadiliko ya mfumo haraka iwezekanavyo
Siasa nchini sasa zimefikia wakati wake, wakati huu wa kuelekea Uchaguzi Mkuu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMabadiliko ya mfumo wa Serikali katika utendaji kazi kupata mafanikio haraka
Ofisi ya Rais - Ufuatiliaji wa Utekelezaji wa Miradi (OR- UUM) imetoa taarifa kwa umma kuwa utekelezaji wa mfumo wa – Big Results Now ! (BRN) unaendelea vizuri. Mfumo wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) unaweka utaratibu thabiti wa kufuatilia na kutathimini utekelezaji wa miradi katika maeneo sita ya kimkakati kitaifa (Kilimo, Elimu, Maji, Nishati , Uchukuzi na Utafutaji wa Rasilimali).
Mfumo wa BRN unaweka wazi malengo pamoja na kuainisha uwajibikaji kwa kila mshiriki mmoja au taasisi...
Mfumo wa BRN unaweka wazi malengo pamoja na kuainisha uwajibikaji kwa kila mshiriki mmoja au taasisi...
10 years ago
Tanzania Daima11 Oct
Tunahitaji mabadiliko kwenye elimu
MIONGONI mwa habari zilizopo kwenye gazeti hili ni kauli ya Waziri Mkuu Mstaafu, Fredrick Sumaye, kutaka elimu ipewe kipaumbele zaidi Kwa mujibu wa Sumaye, ubora wa elimu hauwezi kupatikana kwa...
9 years ago
Mwananchi28 Aug
‘Tunahitaji mabadiliko ya muundo wa kiuchumi’
Serikali imetakiwa kufanya mabadiliko ya mfumo wa kiuchumi ili uendane na maisha halisi ya Watanzania.
9 years ago
Mwananchi01 Oct
TAFAKURI YA ABDU IDD :Wapigakura wa Tanzania tunahitaji mabadiliko gani?
Wadau wa tafakuri, ni vizuri tukayatafakari mabadiliko, kabla ya kuingia kwenye hatua ya kupiga kura.
11 years ago
Mwananchi29 Jan
Wabunge vijana; Ni haraka ya mabadiliko au wamepotoka?
>Mwamko wa kisiasa miongoni mwa vijana, pamoja na kutaka mabadiliko kumesababisha vijana wengi kuwania nafasi mbalimbali ukiwamo ubunge.
10 years ago
Mwananchi22 Dec
Cecafa ibadili haraka mfumo wa mashindano
Baraza la Vyama vya Soka kwa Nchi za Afrika Mashariki na Kati (Cecafa), lilikutana Desemba 15, kujadili mustakabali wa mashindano ya Kombe la Chalenji na mashindano mengine yanayosimamiwa na baraza hilo.
9 years ago
MichuziKatibu Mkuu Tamisemi akagua miundombinu ya mfumo wa Mabasi yaendayo haraka
Katibu Mkuu Ofisini ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Bw. Jumanne Sagini (kushoto) akimweleza jambo Mwenyekiti wa Kampuni ya UDA-RT, Bw. Robert Kisena wakati alipofanya ziara kwenye miundombinu ya mfumo wa Mabasi yaendayo haraka kabla kipindi cha mpito hakijaanza mwezi ujao mwisho mwa wiki. UDA-RT ndiyo kampuni itayotoa huduma ya usafiri katika kipindi hicho na tayari imeshanunua mabasi 140.Katibu Mkuu Ofisini ya Waziri Mkuu anayeshughulikia...
10 years ago
Habarileo17 Sep
Kinana ataka mabadiliko mfumo utumishi wa umma
KATIBU Mkuu wa CCM Taifa, Abdulrahman Kinana amesema kuna haja ya mfumo wa utumishi wa umma kubadilishwa, ikiwa ni njia ya kuhakikisha wanawajibika kwa wananchi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania