Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wabunge vijana; Ni haraka ya mabadiliko au wamepotoka?

>Mwamko wa kisiasa miongoni mwa vijana, pamoja na kutaka mabadiliko kumesababisha vijana wengi kuwania nafasi mbalimbali ukiwamo ubunge.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Tunahitaji mabadiliko ya mfumo haraka iwezekanavyo

Siasa nchini sasa zimefikia wakati wake, wakati huu wa kuelekea Uchaguzi Mkuu.

 

11 years ago

Michuzi

Mabadiliko ya mfumo wa Serikali katika utendaji kazi kupata mafanikio haraka

Ofisi ya Rais - Ufuatiliaji wa Utekelezaji wa Miradi (OR- UUM) imetoa taarifa kwa umma kuwa utekelezaji wa mfumo wa – Big Results Now ! (BRN) unaendelea vizuri. Mfumo wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) unaweka utaratibu thabiti wa kufuatilia na kutathimini utekelezaji wa miradi katika maeneo sita ya kimkakati kitaifa (Kilimo, Elimu, Maji, Nishati , Uchukuzi na Utafutaji wa Rasilimali).
Mfumo wa BRN unaweka wazi malengo pamoja na kuainisha uwajibikaji kwa kila mshiriki mmoja au taasisi...

 

9 years ago

Mwananchi

Wabunge wataka sheria kuitambua Dodoma ijadiliwe bungeni haraka

Wabunge wa Mkoa wa Dodoma wameanza mkakati wa pamoja kuhakikisha sheria ya kuitambua Dodoma kuwa ni makao makuu ya Serikali inawasilishwa katika Bunge.

 

11 years ago

GPL

NAFASI ZA KAZI: VIJANA WAWILI WANAHITAJIKA HARAKA

Wanatakiwa vijana wawili kwa ajili ya kusambaza magazeti kwa kutumia pikipiki. Vijana hawa wanatakiwa haraka. Sifa:
1.Awe na uwezo wa kuendesha pikipiki na ni sharti awe na leseni.
2.Awe anajua hesabu,kusoma na kuandika vizuri.
3.Awe anafahamu vizuri maeneo yote ya jiji la Dar es salaam.
4.Mwaminifu,Anayejituma awe na wadhamini wawili.
5.Asiwe anakunywa pombe na awe anaishi DSM.
Sifa za ziada:Kama ana uzoefu wa biashara ya...

 

11 years ago

Michuzi

Semina ya Wabunge Marafiki wa Mazingira kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (Climate Change)

Chama cha Wabunge Marafiki wa Mazingira (TAPAFE),kwa kushirikiana na Baraza la Usimamizi wa Mazingira,na Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa(UNEP),wameandaa semina kwa ajili ya wajumbe wa chama hicho mjini Dodoma,jumamosi tarehe 14 Juni 2014 na jumapili tarehe 15 Juni 2014 kuhusu Athari za Mabadiliko ya Tabianchi katika Maendeleo ya Nchi. Waziri wa Nchi (Kazi Maalum) Ofisi ya Rais,Prof. Mark Mwandosya akitoa mada Kuhusu Changamoto za Mazingira ya Bonde la Ziwa Victoria na Bonde la...

 

9 years ago

Mwananchi

Prof Jay: Vijana ndiyo watakaoleta mabadiliko

Mbunge mteule wa Jimbo la Mikumi, Joseph Haule, maarufu Profesa Jay amesema vijana ndiyo watakaoleta mabadiliko nchini.

 

9 years ago

Mwananchi

TLP: Vijana msishabikie mabadiliko yasiyo na tija

Vijana wameshauriwa kuacha kushabikia mabadiliko yasiyokuwa na tija kwa kuamini yatawaletea maendeleo baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25.

 

9 years ago

Dewji Blog

Vijana wa Kitanzania waungana kupambana na Mabadiliko ya Tabianchi malengo ya 17 ya (SDGs)

TABIA NCHI EMkurugenzi wa Asasi ya Mazingira, Elisha Sibale amesema  kuwa vijana wanawajibu wa kuleta mabadiliko chanya katika mabadiliko ya tabianchi kutokana na kuwa sehemu ya kubwa ya kuweza kuingia katika ajenda hizo.

Na Andrew Chale, modewjiblog

[DAR ES SALAAM] Vijana nchini wametakiwa kuchukua hatua ya kupambana na Mabadiliko ya Tabianchi kwa vitendo huku wakiombwa kuungana  katika harakati za kupambana na Mabadilikio  hayo ilikufanya idadi kubwa ya watu katika utekelezaji wa malengo mbalimbali...

 

10 years ago

Dewji Blog

Taasisi za NPS na TYCEN zawakutanisha vijana kwenye mkutano wa mabadiliko ya tabianchi

00

Picha ya pamoja ya washiriki wa mkutano wa Vijana wa Mabadiliko ya Tabianchi uliofanyika kwenye ukumbi wa Eco Sanaa, Mikocheni Jijini Dar es Salaam. Mkutano huo umeandaliwa na Global Power Shift Tanzania Chapter (NPS) kwa kushirikiana na Tanzania Youth Cultural Exchange Network (TYCEN).

Afisa Mwandamizi Mazingira, Abela Muyungi kutoka Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) akifafanua jambo wakati wa mkutano huo.

Mratibu wa Mtandao wa mabadiliko ya Tabianchi CAN Tanzania,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani