NAFASI ZA KAZI: VIJANA WAWILI WANAHITAJIKA HARAKA
![](http://api.ning.com:80/files/OQbVc*b-KB-f1-KGmNFiNIyX355zZQc4DYchc9ZkWT7xw*CzYbJz5cME8N8poA65*QOI-p1-irVt7cLkLCJEFrZakpt9mIrg/GPL_Logo_FinalWEWB.gif?width=550)
Wanatakiwa vijana wawili kwa ajili ya kusambaza magazeti kwa kutumia pikipiki. Vijana hawa wanatakiwa haraka. Sifa: 1.Awe na uwezo wa kuendesha pikipiki na ni sharti awe na leseni. 2.Awe anajua hesabu,kusoma na kuandika vizuri. 3.Awe anafahamu vizuri maeneo yote ya jiji la Dar es salaam. 4.Mwaminifu,Anayejituma awe na wadhamini wawili. 5.Asiwe anakunywa pombe na awe anaishi DSM. Sifa za ziada:Kama ana uzoefu wa biashara ya...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EzW97n0q1C2VVwqM4pYBeOABRM*IcjkRe05fwaiNR80KJjrGoivjhz2uH1kGkIqvY3K1LmhQs18Vtqhl0h7X8zhLo71ldyzP/GPL_Logo_FinalWEWB.gif?width=400)
WAANDISHI MAHIRI WA HABARI WANAHITAJIKA HARAKA
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FZjUBIw6Q5Y/VfbH7s170fI/AAAAAAAH4v8/HrZlqsrgK0k/s72-c/aitv.png)
11 years ago
Mwananchi29 Jan
Wabunge vijana; Ni haraka ya mabadiliko au wamepotoka?
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-WNhsl733Xs8/VIRmmI4fkdI/AAAAAAADQvE/OE46qMTHTUU/s72-c/Sijui%2Btena%2Bkama%2Bpatakuwa%2Bna%2Bkuchekeana%2Bkama%2Bhivi.jpg)
WATANZANIA TUNAOMBA HARAKA MKONDO WA SHERIA UFANYE KAZI ZAKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-WNhsl733Xs8/VIRmmI4fkdI/AAAAAAADQvE/OE46qMTHTUU/s1600/Sijui%2Btena%2Bkama%2Bpatakuwa%2Bna%2Bkuchekeana%2Bkama%2Bhivi.jpg)
Ni mategemeo yetu watanzania wengi kuwa vigogo waliohusika kwa namna moja au nyingine katika sakata la fedha za Tageta Escrow kuwa wanajiuzulu nafasi zao
na mkondo wa sheria uwashughulikie haraka kwani hakuna aliye juu ya sheria watanzania wote tupo chini ya sheria.
Vigogo hawa wazito wanahusika kupokea mgao wa fedha za wavuja jasho wa nchi hii lazima washughulikiwe na...
11 years ago
MichuziMabadiliko ya mfumo wa Serikali katika utendaji kazi kupata mafanikio haraka
Mfumo wa BRN unaweka wazi malengo pamoja na kuainisha uwajibikaji kwa kila mshiriki mmoja au taasisi...
10 years ago
Michuzi30 Oct
NAFASI ZA KAZI
wawe na uwezo wa kuzungumza kiingereza na kiswahili fasaha. elimu kuanzia diploma.
Wasiliana nasi kwa namba zifuatazo 0756608383 na 0713608383
11 years ago
TZToday03 Aug
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI
Sekretariati ya Ajira katika Utumishi wa Umma ni chombo ambacho kimeundwa kwa mujibu wa Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka 2002 kama ilivyorekebishwa na Sheria Na. 18 ya mwaka 2007 kifungu 29(1). Kwa mujibu wa Sheria hiyo, chombo hiki, pamoja na kazi zingine kimepewa jukumu la kutangaza nafasi wazi za kazi zinazotokea katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Waajiri (Taasisi za Umma).
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma anakaribisha maombi...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Or426ANukL4/U3eFpvdzRYI/AAAAAAAFigA/jgRp4mUPzq4/s72-c/Premeier+Girls+Sec.+School.jpg)
NAFASI ZA KAZI YA UALIMU BAGAMOYO
![](http://4.bp.blogspot.com/-Or426ANukL4/U3eFpvdzRYI/AAAAAAAFigA/jgRp4mUPzq4/s1600/Premeier+Girls+Sec.+School.jpg)
Shule ya sekondari ya wasichana ya Premier iliyoko Kiromo Bagamoyo inapenda kuwatangazia nafasi za kazi ya ualimu kwa masomo yafuatayo
ENGLISH
SWAHILI
BOOKKEEPING
COMMERCE
Fika shuleni Kiromo kwa kuleta maombi yako siku ya mahojiano ni tarehe 22 na 23 May 2014 au kwa maelezo zaidi piga simu namba 0715836237
10 years ago
Michuzi02 Dec
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MADEREVA