WATANZANIA TUNAOMBA HARAKA MKONDO WA SHERIA UFANYE KAZI ZAKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-WNhsl733Xs8/VIRmmI4fkdI/AAAAAAADQvE/OE46qMTHTUU/s72-c/Sijui%2Btena%2Bkama%2Bpatakuwa%2Bna%2Bkuchekeana%2Bkama%2Bhivi.jpg)
VIGOGO WALIOPATA MGAO WA TAGETA ESCROW LINI WATAJIUZULU ?Watanzania tunaomba sherehe za vigogo watuhumiwa zifikike mwisho
Ni mategemeo yetu watanzania wengi kuwa vigogo waliohusika kwa namna moja au nyingine katika sakata la fedha za Tageta Escrow kuwa wanajiuzulu nafasi zao
na mkondo wa sheria uwashughulikie haraka kwani hakuna aliye juu ya sheria watanzania wote tupo chini ya sheria.
Vigogo hawa wazito wanahusika kupokea mgao wa fedha za wavuja jasho wa nchi hii lazima washughulikiwe na...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima24 May
Waliolipua bomu kanisani sheria ichukue mkondo wake
MEI 5 mwaka huu kulitokea mlipuko wa bomu katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Imani, Dayosisi ya Mashariki Ziwa Victoria, mkoani Mwanza. Hakika tukio hilo ni...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-T2kd8Glq57s/VX2Ym1_YckI/AAAAAAADrTY/tQQhf9Kzdis/s72-c/unnamed.jpg)
MSIBA BRONX NEW YORK NA TANZANIA NDUGU WATANZANIA TUNAOMBA MICHANGO YENU HILI TUWEZE KUMPUMZISHA BABA YETU MPENDWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-T2kd8Glq57s/VX2Ym1_YckI/AAAAAAADrTY/tQQhf9Kzdis/s320/unnamed.jpg)
Jumuiya ya Watanzania New York,New Jersey,Connecticut na Pennsylvania inaungana na Familia ya Magege kwa masikitiko kutangaza kifo cha marehemu Mzee Alfred Magege kilichotokea jumamosi June 13,2015. Marehemu Alfred Magege alisumbuliwa na Saratani ya mifupa kwa zaidi ya miaka kumi. Marehemu ameacha Mke na watoto 7. Kama kawaida yetu tunaombwa watanzania tujitokeze ili kuwafariji wafiwa.Ili tukamilishe Msiba huu kiasi cha $10,000 kinahitajika.Watanzania...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-p01x6L89i7k/VNx2DS9fmCI/AAAAAAAHDR8/WP4zQul50Gs/s72-c/images.jpeg)
MAKALA YA SHERIA: NINI UFANYE KISHERIA UNAPOHISI MWENZAKO KATIKA NDOA ANATAKA KUUZA NYUMBA/KIWANJA BILA RIDHAA YAKO
![](http://1.bp.blogspot.com/-p01x6L89i7k/VNx2DS9fmCI/AAAAAAAHDR8/WP4zQul50Gs/s1600/images.jpeg)
Upo wakati kwenye ndoa ambapo mmoja wanandoa anaweza akawa anataka kuuza au kubadili jina la nyumba/kiwanja bila ridhaa ya mwenzake ilihali nyumba hiyo ni ya familia. Lakini pia nje ya hilo kuna mazingira ambayo mtu anaweza kuwa si mwanandoa lakini ana maslahi katika nyumba au kiwanja cha mtu fulani na anataka kuzuia nyumba/ kiwanja hicho kisibadilishwe jina au kisiuzwe. Kisheria jambo hilo linaruhusiwa na huitwa zuio( Caveat).
Hili sio zuio la...
9 years ago
Habarileo01 Jan
Sheria ya wazee yatakiwa haraka
SERIKALI imeshauriwa kufanya haraka kutunga Sheria ya wazee ili kuwawezesha wazee kupata haki zao za msingi.
9 years ago
Mwananchi24 Nov
Wabunge wataka sheria kuitambua Dodoma ijadiliwe bungeni haraka
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OQbVc*b-KB-f1-KGmNFiNIyX355zZQc4DYchc9ZkWT7xw*CzYbJz5cME8N8poA65*QOI-p1-irVt7cLkLCJEFrZakpt9mIrg/GPL_Logo_FinalWEWB.gif?width=550)
NAFASI ZA KAZI: VIJANA WAWILI WANAHITAJIKA HARAKA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ZwiJttOY8Cw/VJJ9HOiFCDI/AAAAAAAG4Co/x8Lpe0OwGyE/s72-c/unnamed%2B(49).jpg)
WIZARA YA KAZI ZANZIBAR KWA KUSHIRIKIANA NA (ILO) YAZINDUA KITABU CHA SHERIA ZA KAZI KATIKA LUGHA NYEPESI
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZwiJttOY8Cw/VJJ9HOiFCDI/AAAAAAAG4Co/x8Lpe0OwGyE/s1600/unnamed%2B(49).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-VkRn0ALDvrg/VJJ9HIKGluI/AAAAAAAG4Cw/Sog9_ncjZLw/s1600/unnamed%2B(50).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-o_XNlmWrGZY/VOGCY0R-sdI/AAAAAAAHD5I/HzLPXtsupf4/s72-c/images.jpeg)
MAKALA YA SHERIA: UNATAKA KUFANYA TRANSFER (KUBADILI JINA) LA KIWANJA/NYUMBA, UTARATIBU WA HARAKA NI HUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-o_XNlmWrGZY/VOGCY0R-sdI/AAAAAAAHD5I/HzLPXtsupf4/s1600/images.jpeg)
Watu wengi wamenunua viwanja/nyumba lakini mali hizo zimeendelea kubaki katika majina ya waliowauzia. Wapo ambao imepita hata miaka kumi tangu wanunue maeneo lakini bado hawajabadili jina kuingia jina lake. Zipo sababu nyingi zinazosababisha hali hiyo lakini moja ni watu kutokujua umuhimu wa kubadili jina kwa haraka.
Hapa sizungumzii tu kubadili jina isipokuwa nazungumzia kubadili jina kwa haraka. Kupitia makala haya napenda kuwaamsha...
11 years ago
MichuziMabadiliko ya mfumo wa Serikali katika utendaji kazi kupata mafanikio haraka
Mfumo wa BRN unaweka wazi malengo pamoja na kuainisha uwajibikaji kwa kila mshiriki mmoja au taasisi...