Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wabunge wataka sheria kuitambua Dodoma ijadiliwe bungeni haraka

Wabunge wa Mkoa wa Dodoma wameanza mkakati wa pamoja kuhakikisha sheria ya kuitambua Dodoma kuwa ni makao makuu ya Serikali inawasilishwa katika Bunge.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wabunge wataka utekelezaji sheria uhalifu wa mtandao

mbunge wa Pangani, Saleh Pamba WABUNGE wamekemea vitendo vilivyokithiri vya uhalifu wa mtandao nchini, na kutaka Muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao wa mwaka 2015, uliopitishwa, Sheria yake itumike ipasavyo, ili kudhibiti uhalifu huo wa mtandao.

 

11 years ago

Michuzi

WABUNGE WA BUNGE LA EA TOKA TANZANIA WAFUATILIA BAJETI YA WIZARA YAO BUNGENI DODOMA

  Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta  akisoma Bungeni hotuba ya Bajeti ya Wizara yake kwa mwaka 2014/2015. Bajeti hiyo ilijadiliwa na kupitishwa na Bunge. Bajeti hiyo pia ilisikilizwa na Wabunge wa Tanzania katika Bunge la Afrika Mashariki waliokuwepo Bungeni siku hiyo.  Mbunge Shy-Rose Bhanji (kushoto) akiwa na wabunge wa Bunge la Muungano Mhe James Mbatia na Mhe Beatrice Shelukindo. Wabunge wakiwa viwanja vya Bunge... Naibu Waziri wa Sheria na Katiba Mhe. Angellah Kairuki...

 

10 years ago

Vijimambo

Wabunge Dk Puja na Sebba walioteuliwa na Rais Kikwete wala kiapo Bungeni Dodoma eo

Mbunge wa kuteuliwa Mhe.Dkt Grace Puja akila kiapo ndani ya Ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma,tarehe 27/03/2015. Mbunge wa kuteuliwa Mhe.Innocent Sebba akila kiapo ndani ya ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma,tarehe 27/03/2015.Mbunge wa kuteuliwa Mhe.Innocent Sebba akila kiapo ndani ya ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma,tarehe 27/03/2015.
Picha zote na Anitha Jonas - Dodoma.

 

11 years ago

Dewji Blog

Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki toka Tanzania wafuatilia Bajeti ya Wizara yao Bungeni Dodoma

6

Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta  akisoma Bungeni hotuba ya Bajeti ya Wizara yake kwa mwaka 2014/2015. Bajeti hiyo ilijadiliwa na kupitishwa na Bunge. Bajeti hiyo pia ilisikilizwa na Wabunge wa Tanzania katika Bunge la Afrika Mashariki waliokuwepo Bungeni siku hiyo.

FKB_2075

Mbunge Shy-Rose Bhanji (kushoto) akiwa na wabunge wa Bunge la Muungano.

FKB_1908

Shy-Rose Bhanji akizungumza na Mbunge Mwenzake wa Afrika Mashariki, Makongoro Nyerere.

FKB_1998

Mh. Bhanji ndani ya viwanja vya Bunge…

FKB_2015

Wabunge...

 

9 years ago

Michuzi

LIVE KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA LEO: WABUNGE WALIPIGIA KURA JINA LA WAZIRI MKUU MKUU MTEULE

Baadhi ya Maafisa wa Bunge wakiwa tayari kwa Zoezi la kupiga kura, wabunge kumthibitisha Waziri Mkuu aliyependekezwa na Rais Dk. John Magufuli, Mhe. Kassim Majaliwa, linaloendelea hivi sasa Bungeni Mjini Dodoma.Zoezi la kupiga kura likiendelea kwa Wabunge Mjini Dodoma.

 

9 years ago

BBCSwahili

Waangalizi wataka matokeo kutolewa haraka TZ

Martina Kabisama naibu mwenyekiti wa muungano wa waangalizi wa uchaguzi Tanzania CEMOTCEMOT anaitaka tume ya uchaguzi nchini Tanzania NEC kutoa matokeo kwa haraka ili kuondoa wasiwasi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wataka kashfa ya Escrow imalizwe haraka

MUUNGANO wa vyama vitano vya siasa umelitaka Bunge na serikali kutoa ufumbuzi wa haraka kuhusiana na kashfa ya uchotwaji fedha katika Akaunti Maalum ya Escrow zaidi ya sh bilioni 200...

 

11 years ago

Mwananchi

Wapinzani wataka maazimio ya OTU yatekelezwe haraka

Kambi rasmi ya upinzani bungeni, imetaka maazimio yote ya Bunge kuhusu Operesheni Tokomeza Ujangili (OTU) yatekelezwe bila visingizio.

 

11 years ago

Mwananchi

Wabunge vijana; Ni haraka ya mabadiliko au wamepotoka?

>Mwamko wa kisiasa miongoni mwa vijana, pamoja na kutaka mabadiliko kumesababisha vijana wengi kuwania nafasi mbalimbali ukiwamo ubunge.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani