Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wapinzani wataka maazimio ya OTU yatekelezwe haraka

Kambi rasmi ya upinzani bungeni, imetaka maazimio yote ya Bunge kuhusu Operesheni Tokomeza Ujangili (OTU) yatekelezwe bila visingizio.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Uzinduzi mabasi yaendayo haraka pigo kwa wapinzani

UZINDUZI wa mabasi yaendayo haraka katika Jiji la Dar es Salaam, umetibua mpango wa vyama vya upinzani kumchafua mgombea wa ubunge katika Jimbo la Ubungo kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Didas Masaburi na chama hicho, imefahamika.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wataka kashfa ya Escrow imalizwe haraka

MUUNGANO wa vyama vitano vya siasa umelitaka Bunge na serikali kutoa ufumbuzi wa haraka kuhusiana na kashfa ya uchotwaji fedha katika Akaunti Maalum ya Escrow zaidi ya sh bilioni 200...

 

9 years ago

BBCSwahili

Waangalizi wataka matokeo kutolewa haraka TZ

Martina Kabisama naibu mwenyekiti wa muungano wa waangalizi wa uchaguzi Tanzania CEMOTCEMOT anaitaka tume ya uchaguzi nchini Tanzania NEC kutoa matokeo kwa haraka ili kuondoa wasiwasi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wapinzani Syria wataka amani

Makundi ya upinzani nchini Syria wamekubaliana kuwa na tamko moja kwa serikali juu ya suala la Amani .

 

9 years ago

Mwananchi

Wabunge wataka sheria kuitambua Dodoma ijadiliwe bungeni haraka

Wabunge wa Mkoa wa Dodoma wameanza mkakati wa pamoja kuhakikisha sheria ya kuitambua Dodoma kuwa ni makao makuu ya Serikali inawasilishwa katika Bunge.

 

10 years ago

Michuzi

Makalla wataka wanasheria na watalaam wa ardhi kutoka wizara ya ardhi kufika haraka Mvomero

Naibu Waziri wa Maji na Mbunge wa Jimbo la Mvomero, Mh. Amos Makalla amewataka wanasheria na watalaam wa ardhi kutoka wizara ya ardhi kufika haraka Mvomero kukutana na wananchi wa Vijiji vyote ambao ni wadau wa bonde la Mgongolwa ili kutoa Elimu, kutoa tafsiri na kuwapa mipaka mipya kufuatia hukumu ya kesi ya muda mrefu iliyotolewa wiki iliyopita.
Makalla akiyasema hayo wakati wa Mkutano wake na wananchi hao leo kwenye kijiji cha Mkindo Bungoma ndani ya Jimbo hilo la Mvomero.Naibu Waziri wa...

 

11 years ago

Habarileo

'Maelekezo ya Mahakama yatekelezwe'

NAIBU Waziri wa Katiba na Sheria, Angellah Kairuki amesema ipo haja ya kuwepo kwa usajili wa ufuatiliaji wa matunzo ya watoto ili kwamba maelekezo yanayotolewa na mahakama yaweze kutekelezwa kama inavyostahili.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Maazimio ya mkutano wa Amani Zanzibar

Tuesday, September 22, 2015 Maazimio ya mkutano wa Amani Zanzibar MAAZIMIO YA MKUTANO WA AMANI ZANZIBAR ULIOFANYIKA KUANZIA TAREHE 19 HADI 20 SEPTEMBA 2015 KATIKA HOTELI YA ZANZIBAR BEACH RESORT –ZANZIBAR Bismillahir Rahmaanir Rahym 1. Ofisi […]

The post Maazimio ya mkutano wa Amani Zanzibar appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Mtanzania

Tanzania yatekeleza maazimio ya SADC

mungiNa Ruth Mnkeni, Dar es Salaam

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema Tanzania imekuwa nchi ya kwanza kutekeleza maazimio ya nchini wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) pamoja na ya Jumuiya ya   Afrika Mashariki(EAC) katika kutumia mfumo wa matangazo wa dijiti.

Akizungumza na waandishi wa habari  Dar es Salaam jana, Meneja Mawasiliano TCRA, Innocent Mungi alisema nchi wanachama wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Mawasiliano ya Simu Dunia (ITU) kwa pamoja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani