Wapinzani wataka maazimio ya OTU yatekelezwe haraka
Kambi rasmi ya upinzani bungeni, imetaka maazimio yote ya Bunge kuhusu Operesheni Tokomeza Ujangili (OTU) yatekelezwe bila visingizio.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo18 Aug
Uzinduzi mabasi yaendayo haraka pigo kwa wapinzani
UZINDUZI wa mabasi yaendayo haraka katika Jiji la Dar es Salaam, umetibua mpango wa vyama vya upinzani kumchafua mgombea wa ubunge katika Jimbo la Ubungo kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Didas Masaburi na chama hicho, imefahamika.
10 years ago
Tanzania Daima15 Nov
Wataka kashfa ya Escrow imalizwe haraka
MUUNGANO wa vyama vitano vya siasa umelitaka Bunge na serikali kutoa ufumbuzi wa haraka kuhusiana na kashfa ya uchotwaji fedha katika Akaunti Maalum ya Escrow zaidi ya sh bilioni 200...
9 years ago
BBCSwahili27 Oct
Waangalizi wataka matokeo kutolewa haraka TZ
9 years ago
BBCSwahili11 Dec
Wapinzani Syria wataka amani
9 years ago
Mwananchi24 Nov
Wabunge wataka sheria kuitambua Dodoma ijadiliwe bungeni haraka
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-V6eb6zHvn3Q/VXcpDpSddjI/AAAAAAAHdcU/qlfmsP6FN7Q/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
Makalla wataka wanasheria na watalaam wa ardhi kutoka wizara ya ardhi kufika haraka Mvomero
Makalla akiyasema hayo wakati wa Mkutano wake na wananchi hao leo kwenye kijiji cha Mkindo Bungoma ndani ya Jimbo hilo la Mvomero.
![](http://4.bp.blogspot.com/-V6eb6zHvn3Q/VXcpDpSddjI/AAAAAAAHdcU/qlfmsP6FN7Q/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
11 years ago
Habarileo17 Jul
'Maelekezo ya Mahakama yatekelezwe'
NAIBU Waziri wa Katiba na Sheria, Angellah Kairuki amesema ipo haja ya kuwepo kwa usajili wa ufuatiliaji wa matunzo ya watoto ili kwamba maelekezo yanayotolewa na mahakama yaweze kutekelezwa kama inavyostahili.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar22 Sep
Maazimio ya mkutano wa Amani Zanzibar
Tuesday, September 22, 2015 Maazimio ya mkutano wa Amani Zanzibar MAAZIMIO YA MKUTANO WA AMANI ZANZIBAR ULIOFANYIKA KUANZIA TAREHE 19 HADI 20 SEPTEMBA 2015 KATIKA HOTELI YA ZANZIBAR BEACH RESORT –ZANZIBAR Bismillahir Rahmaanir Rahym 1. Ofisi […]
The post Maazimio ya mkutano wa Amani Zanzibar appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Mtanzania03 Apr
Tanzania yatekeleza maazimio ya SADC
Na Ruth Mnkeni, Dar es Salaam
MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema Tanzania imekuwa nchi ya kwanza kutekeleza maazimio ya nchini wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) pamoja na ya Jumuiya ya Afrika Mashariki(EAC) katika kutumia mfumo wa matangazo wa dijiti.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Meneja Mawasiliano TCRA, Innocent Mungi alisema nchi wanachama wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Mawasiliano ya Simu Dunia (ITU) kwa pamoja...