Uzinduzi mabasi yaendayo haraka pigo kwa wapinzani
UZINDUZI wa mabasi yaendayo haraka katika Jiji la Dar es Salaam, umetibua mpango wa vyama vya upinzani kumchafua mgombea wa ubunge katika Jimbo la Ubungo kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Didas Masaburi na chama hicho, imefahamika.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-yJAGhtU4gAs/Vf6bOiCejDI/AAAAAAAH6Rk/QXlbDbF8TM8/s72-c/unnamed%2B%252812%2529.jpg)
Mabasi 138 ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) yawasili bandarini Dar es salaam
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HmXdoCCQSJY/VdTiT7yJnqI/AAAAAAAHyVM/X1ENKV_jyRM/s72-c/unnamed%2B%252827%2529.jpg)
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA DART.
![](http://1.bp.blogspot.com/-HmXdoCCQSJY/VdTiT7yJnqI/AAAAAAAHyVM/X1ENKV_jyRM/s640/unnamed%2B%252827%2529.jpg)
1. Ati ni ya Kichina
2. Milango ya kushukia na kupandia Abiria Iko kushoto hivyo hayaendani na Miundombinu iliyojengwa.
HUO NI UZUSHI WENYE LENGO LA KUWAPOTOSHA WATANZANI WALIOCHOSHWA NA MSONGAMANO UNAOONGEZEKA SIKU HADI SIKU
TAARIFA SAHIHI KUTOKA KWENYE MAMLAKA HUSIKA HII HAPA:
1. Kiwanda Kilicho Assemble (Kuunganisha) Mabasi haya kinaitwa Golden Dragon cha China.
2. Aina ya...
9 years ago
Dewji Blog17 Aug
Mabasi yaendayo haraka kuanza kujaribiwa leo Agosti 17 jijini Dar kwa vituo 10
Mabasi mawili yaliyoletwa nchini kwa ajili ya mradi wa mabasi yaendayo haraka kama yanavyoonekana ambapo leo yanatarajia kuanza kwa safari ya majaribio katika baadhi ya vituo ikianzia Kimara mwisho hadi Posta. Wakazi wa jiji la Dar es Salaam wanatarajia kuonja usafiri huo ambao ni majaribio huku wahusika wakieleza kuwa watakuwa na muda muafaka wa kutoa elimu kwa watumiaji wa usafiri huo mpaka hapo watakapouzoea.
Na Andrew Chale, modewjiblog
(Dar es Salaam). Asubuhi ya leo mabasi yaendayo...
9 years ago
Mwananchi21 Sep
Mabasi 138 yaendayo haraka yatua Dar
10 years ago
MichuziDART YARIDHISHWA MAENDELEO YA MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA
9 years ago
Mwananchi02 Jan
Siku nane pasua kichwa za mabasi yaendayo haraka
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yqQX05h_6q8/U_4Km5tRw_I/AAAAAAAGCrc/51fs44ZtkNM/s72-c/GHASIA.jpg)
Serikali yalidhishwa na maendelea ya mradi wa mabasi yaendayo haraka
![](http://1.bp.blogspot.com/-yqQX05h_6q8/U_4Km5tRw_I/AAAAAAAGCrc/51fs44ZtkNM/s1600/GHASIA.jpg)
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam hivi...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vLCpxRBQ5XE/VnVFu7HMa_I/AAAAAAAINYo/vgUXJFmOqOQ/s72-c/IMG_8767.jpg)
MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (DART) KUANZA JANUARI 10, 2016.
Pia Majaliwa amewaagiza watendaji wizara ya Tamisemi ambao ni wamiliki wa mradi huo kusimamia vyema ili uanze kufanya kazi kama ilivyo pangwa kwa kuwa mabasi 120 yalishawasili jijini Dar es Salaam.
Waziri Mkuu ameanza kwa kukagua vituo vya mradi huo kuanzia cha Feri, Jangwani,...
9 years ago
Michuzisehemu ya mradi wa mabasi yaendayo haraka Dar es salaam - UDART
Picha zote na Abraham Nyantori - MAELEZO