Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wataka kashfa ya Escrow imalizwe haraka

MUUNGANO wa vyama vitano vya siasa umelitaka Bunge na serikali kutoa ufumbuzi wa haraka kuhusiana na kashfa ya uchotwaji fedha katika Akaunti Maalum ya Escrow zaidi ya sh bilioni 200...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Waangalizi wataka matokeo kutolewa haraka TZ

Martina Kabisama naibu mwenyekiti wa muungano wa waangalizi wa uchaguzi Tanzania CEMOTCEMOT anaitaka tume ya uchaguzi nchini Tanzania NEC kutoa matokeo kwa haraka ili kuondoa wasiwasi.

 

11 years ago

Mwananchi

Wapinzani wataka maazimio ya OTU yatekelezwe haraka

Kambi rasmi ya upinzani bungeni, imetaka maazimio yote ya Bunge kuhusu Operesheni Tokomeza Ujangili (OTU) yatekelezwe bila visingizio.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kashfa ya ESCROW vigogo watajwa TZ

Kamati ya bunge ya hesabu za serikali Tanzania imebainisha majina ya wahusika wa kashfa na IPTL ,waziri mkuu nae atajwa

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maswali magumu kashfa ya Escrow

WAKATI kashfa ya ufisadi wa dola za Marekani milioni 122 (sawa na sh bilioni 200) katika akaunti ya Baraza la Usuluhishi la Migogoro ya Kibiashara (Escrow)  ya Benki Kuu ya...

 

10 years ago

Vijimambo

Kashfa Escrow imeharibu nchi



Dotto MwaibaleKITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimetoa ripoti ya mwaka 2015, inayoonesha kuwa kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow iliyohusisha idara mbalimbali za Serikali imeharibu sifa ya nchi.Imesema Tegeta Escrow imekuwa ni mojawapo ya matukio makubwa ya kashfa za rushwa kupata kutokea nchini, ambapo inahusisha watu kutoka kada mbalimbali za jamii kuanzia Serikali Kuu, Idara ikiwamo Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na pia Rita.Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC, Dk. Helen...

 

10 years ago

Mtanzania

Kashfa ya Escrow, Jk kuzima au kuchochea moto

 

Rais Jakaya Kikwete

Rais Jakaya Kikwete

FREDY AZZAH na SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
IKIWA leo ni siku ya 23, tangu Novemba 29,mwaka huu Bunge lilipopitisha maazimio nane juu ya kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 306 katika Akaunti ya Tegeta Escrow, Rais Jakaya Kikwete anatazamiwa kuuzima ama kuchochea moto wa sakata hilo atakapozungumza na wazee wa Jiji la Dar es Saalam.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu, Rais Kikwete leo atazungumza na wazee hao katika...

 

10 years ago

Vijimambo

KASHFA YA ESCROW:Ripoti ya CAG yaiva

 Sasa itawasilishwa Bungeni wiki ijayoRipoti ya uchunguzi uliofanywa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuhusu kashfa ya kuchota fedha kwenye Akaunti Maalumu ya Tegeta Escrow Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imekamilika na sasa itawasilishwa bungeni wiki ijayo.

Wakati ripoti hiyo ikisubiriwa, wabunge wameitaka serikali kufunga akaunti za kampuni ya VIP Engineering zilizopo katika Benki ya Mkombozi ili kupisha uchunguzi kwa kuwa kwenye akaunti hiyo kuna baadhi ya wabunge,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kafulila apeleka kashfa ya Escrow Kigoma

MBUNGE wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR Mageuzi), ameanza ziara ya wiki mbili mkoani Kigoma, akiambatana na Katibu Mkuu wa chama hicho, Mosena Nyambabe wakipeleka kwa wananchi sakata la ufisadi...

 

10 years ago

Vijimambo

Chadema waibua mapya kashfa ya Escrow

Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Chadema, Arcado Ntagazwa.
Wakati Rais Jakaya Kikwete akitarajia kutoa maamuzi ya maazimio yaliyotolewa na Bunge kuhusiana na sakata la uchotwaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 katika akaunti Tegeta Escrow, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeibua mapya kwa kutaja orodha mpya ya viongozi wanaopaswa kuwajibishwa kutokana na kashfa hiyo.

Aidha, Chadema kimesema Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdrahaman Kinana, anafahamu jinsi uchotwaji fedha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani