Wataka kashfa ya Escrow imalizwe haraka
MUUNGANO wa vyama vitano vya siasa umelitaka Bunge na serikali kutoa ufumbuzi wa haraka kuhusiana na kashfa ya uchotwaji fedha katika Akaunti Maalum ya Escrow zaidi ya sh bilioni 200...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili27 Oct
Waangalizi wataka matokeo kutolewa haraka TZ
11 years ago
Mwananchi24 May
Wapinzani wataka maazimio ya OTU yatekelezwe haraka
10 years ago
BBCSwahili26 Nov
Kashfa ya ESCROW vigogo watajwa TZ
11 years ago
Tanzania Daima24 May
Maswali magumu kashfa ya Escrow
WAKATI kashfa ya ufisadi wa dola za Marekani milioni 122 (sawa na sh bilioni 200) katika akaunti ya Baraza la Usuluhishi la Migogoro ya Kibiashara (Escrow) ya Benki Kuu ya...
10 years ago
Vijimambo29 May
Kashfa Escrow imeharibu nchi
![](http://jamboleo.co.tz/wp-content/uploads/2015/05/dampo.png)
Dotto MwaibaleKITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimetoa ripoti ya mwaka 2015, inayoonesha kuwa kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow iliyohusisha idara mbalimbali za Serikali imeharibu sifa ya nchi.Imesema Tegeta Escrow imekuwa ni mojawapo ya matukio makubwa ya kashfa za rushwa kupata kutokea nchini, ambapo inahusisha watu kutoka kada mbalimbali za jamii kuanzia Serikali Kuu, Idara ikiwamo Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na pia Rita.Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC, Dk. Helen...
10 years ago
Mtanzania22 Dec
Kashfa ya Escrow, Jk kuzima au kuchochea moto
![Rais Jakaya Kikwete](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Jakaya-Kikwete1.jpg)
Rais Jakaya Kikwete
FREDY AZZAH na SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
IKIWA leo ni siku ya 23, tangu Novemba 29,mwaka huu Bunge lilipopitisha maazimio nane juu ya kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 306 katika Akaunti ya Tegeta Escrow, Rais Jakaya Kikwete anatazamiwa kuuzima ama kuchochea moto wa sakata hilo atakapozungumza na wazee wa Jiji la Dar es Saalam.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu, Rais Kikwete leo atazungumza na wazee hao katika...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-N5ZMy_wRkWs/VF0uACxdawI/AAAAAAADMlY/WkWVpxvSJuM/s72-c/zzk.jpg)
KASHFA YA ESCROW:Ripoti ya CAG yaiva
![](http://1.bp.blogspot.com/-N5ZMy_wRkWs/VF0uACxdawI/AAAAAAADMlY/WkWVpxvSJuM/s1600/zzk.jpg)
Wakati ripoti hiyo ikisubiriwa, wabunge wameitaka serikali kufunga akaunti za kampuni ya VIP Engineering zilizopo katika Benki ya Mkombozi ili kupisha uchunguzi kwa kuwa kwenye akaunti hiyo kuna baadhi ya wabunge,...
11 years ago
Tanzania Daima13 Jul
Kafulila apeleka kashfa ya Escrow Kigoma
MBUNGE wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR Mageuzi), ameanza ziara ya wiki mbili mkoani Kigoma, akiambatana na Katibu Mkuu wa chama hicho, Mosena Nyambabe wakipeleka kwa wananchi sakata la ufisadi...
10 years ago
Vijimambo22 Dec
Chadema waibua mapya kashfa ya Escrow
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Ntagazwa-22Dec2014.jpg)
Wakati Rais Jakaya Kikwete akitarajia kutoa maamuzi ya maazimio yaliyotolewa na Bunge kuhusiana na sakata la uchotwaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 katika akaunti Tegeta Escrow, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeibua mapya kwa kutaja orodha mpya ya viongozi wanaopaswa kuwajibishwa kutokana na kashfa hiyo.
Aidha, Chadema kimesema Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdrahaman Kinana, anafahamu jinsi uchotwaji fedha...