KASHFA YA ESCROW:Ripoti ya CAG yaiva
![](http://1.bp.blogspot.com/-N5ZMy_wRkWs/VF0uACxdawI/AAAAAAADMlY/WkWVpxvSJuM/s72-c/zzk.jpg)
Sasa itawasilishwa Bungeni wiki ijayoRipoti ya uchunguzi uliofanywa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuhusu kashfa ya kuchota fedha kwenye Akaunti Maalumu ya Tegeta Escrow Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imekamilika na sasa itawasilishwa bungeni wiki ijayo.
Wakati ripoti hiyo ikisubiriwa, wabunge wameitaka serikali kufunga akaunti za kampuni ya VIP Engineering zilizopo katika Benki ya Mkombozi ili kupisha uchunguzi kwa kuwa kwenye akaunti hiyo kuna baadhi ya wabunge,...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi26 Oct
CAG aagizwa kuwasilisha ripoti ya Escrow
10 years ago
Habarileo03 Dec
CAG mpya aapishwa, asubiri ripoti Escrow
RAIS Jakaya Kikwete amemwapisha rasmi Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Juma Assad. Ameapishwa baada ya aliyekuwepo, Ludovick Utouh, kustaafu kwa mujibu wa Sheria na Katiba.
10 years ago
KwanzaJamii17 Sep
KAFULILA AMVAA TENA CAG UTOUH KUHUSU RIPOTI AKAUNTI YA ESCROW
10 years ago
Dewji Blog27 Nov
Ripoti ya CAG kuhusu akauti ya ESCROW yawasilishwa bungeni isome humu
Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali Mhe Zitto Kabwe akisoma Ripoti ya Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) kuhusu akauti ya ESCROW Bungeni Mjini Dodoma jana.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe. Anne Makinda akifafanua jambo wakati akiendesha Bunge hilo mjini Dodoma.
Baadhi ya wahudumu wa Bunge wakigawa Ripoti ya CAG kuhusu akauti ya ESCROW kwa Wabunge.
Waheshimiwa Wabunge wakipitia ripoti ya CAG kwa makini wakati ikisomwa na Mwenyekiti wa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8_F_vzxVqNg/VGnz9WLPkPI/AAAAAAAGx1g/u3cEQNMzUQM/s72-c/IMG-20141117-WA0000.jpg)
Ripoti maalumu ya CAG Kuhusu akaunti ya ESCROW yakabidhiwa kwa Mwenyekiti wa PAC leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-8_F_vzxVqNg/VGnz9WLPkPI/AAAAAAAGx1g/u3cEQNMzUQM/s1600/IMG-20141117-WA0000.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-PY5391PvJIc/VGnz-hlifZI/AAAAAAAGx1o/adRTSUd9zJM/s1600/IMG-20141117-WA0002.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xRut2wxrNTE/VGn0AMlmbXI/AAAAAAAGx1w/tJ859WE8bGk/s1600/IMG-20141117-WA0003.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m3kRA-aqkq9IGKHkIkFIzueEpEx-Wxyty6RhSSb2Y0D1IPnCCmasjS10tfL9WApzGBaxIN8tDgBdRntp2KIXXBjm15ydWOzh/IMG20141117WA0000.jpg?width=650)
RIPOTI MAALUMU YA CAG KUHUSU AKAUNTI YA ESCROW YAKABIDHIWA KWA MWENYEKITI WA PAC LEO
10 years ago
Tanzania Daima04 Dec
‘Operesheni Delete’ wabunge waliotetea Escrow bungeni yaiva
DHAMBI ya uchotaji mabilioni ya pesa katika akaunti ya Tegeta Escrow bado inaendelea kuwatafuna wanasiasa nchini. wakati umma wa Watanzania ukisubiri hukumu ya mwisho itakayotolewa na Rais Jakaya Kikwete dhidi...
10 years ago
Tanzania Daima17 Nov
Ripoti CAG balaa
RIPOTI ya uchunguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG), kuhusu kashfa ya kuchota fedha zaidi ya sh bilioni 200, kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow zilizohifadhiwa katika Benki Kuu...
11 years ago
Mwananchi18 Jan
Ripoti ya CAG yamng’oa meya