CAG aagizwa kuwasilisha ripoti ya Escrow
 Sakata la fedha zilizochotwa kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow katika Benki Kuu (BoT), limechukua sura mpya baada ya Kamati ya Bunge ya Fedha za Mashirika ya Umma (PAC) kumwagiza Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Fedha za Serikali(CAG) kuwasilisha taarifa ya uchunguzi wa akaunti hiyo mbele ya PAC ifikapo Oktoba 31.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-N5ZMy_wRkWs/VF0uACxdawI/AAAAAAADMlY/WkWVpxvSJuM/s72-c/zzk.jpg)
KASHFA YA ESCROW:Ripoti ya CAG yaiva
![](http://1.bp.blogspot.com/-N5ZMy_wRkWs/VF0uACxdawI/AAAAAAADMlY/WkWVpxvSJuM/s1600/zzk.jpg)
Wakati ripoti hiyo ikisubiriwa, wabunge wameitaka serikali kufunga akaunti za kampuni ya VIP Engineering zilizopo katika Benki ya Mkombozi ili kupisha uchunguzi kwa kuwa kwenye akaunti hiyo kuna baadhi ya wabunge,...
10 years ago
Habarileo03 Dec
CAG mpya aapishwa, asubiri ripoti Escrow
RAIS Jakaya Kikwete amemwapisha rasmi Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Juma Assad. Ameapishwa baada ya aliyekuwepo, Ludovick Utouh, kustaafu kwa mujibu wa Sheria na Katiba.
10 years ago
Dewji Blog27 Nov
Ripoti ya CAG kuhusu akauti ya ESCROW yawasilishwa bungeni isome humu
Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali Mhe Zitto Kabwe akisoma Ripoti ya Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) kuhusu akauti ya ESCROW Bungeni Mjini Dodoma jana.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe. Anne Makinda akifafanua jambo wakati akiendesha Bunge hilo mjini Dodoma.
Baadhi ya wahudumu wa Bunge wakigawa Ripoti ya CAG kuhusu akauti ya ESCROW kwa Wabunge.
Waheshimiwa Wabunge wakipitia ripoti ya CAG kwa makini wakati ikisomwa na Mwenyekiti wa...
10 years ago
KwanzaJamii17 Sep
KAFULILA AMVAA TENA CAG UTOUH KUHUSU RIPOTI AKAUNTI YA ESCROW
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8_F_vzxVqNg/VGnz9WLPkPI/AAAAAAAGx1g/u3cEQNMzUQM/s72-c/IMG-20141117-WA0000.jpg)
Ripoti maalumu ya CAG Kuhusu akaunti ya ESCROW yakabidhiwa kwa Mwenyekiti wa PAC leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-8_F_vzxVqNg/VGnz9WLPkPI/AAAAAAAGx1g/u3cEQNMzUQM/s1600/IMG-20141117-WA0000.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-PY5391PvJIc/VGnz-hlifZI/AAAAAAAGx1o/adRTSUd9zJM/s1600/IMG-20141117-WA0002.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xRut2wxrNTE/VGn0AMlmbXI/AAAAAAAGx1w/tJ859WE8bGk/s1600/IMG-20141117-WA0003.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m3kRA-aqkq9IGKHkIkFIzueEpEx-Wxyty6RhSSb2Y0D1IPnCCmasjS10tfL9WApzGBaxIN8tDgBdRntp2KIXXBjm15ydWOzh/IMG20141117WA0000.jpg?width=650)
RIPOTI MAALUMU YA CAG KUHUSU AKAUNTI YA ESCROW YAKABIDHIWA KWA MWENYEKITI WA PAC LEO
10 years ago
Mtanzania10 Apr
Kigogo Escrow kuwasilisha pingamizi mahakamani
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), imekwama kumsomea maelezo ya awali Ofisa
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini Tanzania (RITA), Philip Saliboko kwa sababu inadai kuna ukiukwaji wa kikatiba.
Wakili wa Takukuru, Leonard Swai alitakiwa kumsomea maelezo ya awali mshtakiwa huyo jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mjini Dar es Salaam mbele ya Hakimu Mkazi Thomas Simba.
Swai, alidai walikuwa tayari kumsomea mshtakiwa...
10 years ago
Tanzania Daima17 Nov
Ripoti CAG balaa
RIPOTI ya uchunguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG), kuhusu kashfa ya kuchota fedha zaidi ya sh bilioni 200, kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow zilizohifadhiwa katika Benki Kuu...
10 years ago
Habarileo20 May
Ripoti ya CAG yaanika madudu
RIPOTI ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad, imetolewa na kuwasilishwa bungeni jana huku ikiendelea kuibua madudu katika matumizi ya fedha.