Kashfa ya Escrow, Jk kuzima au kuchochea moto
![Rais Jakaya Kikwete](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Jakaya-Kikwete1.jpg)
Rais Jakaya Kikwete
FREDY AZZAH na SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
IKIWA leo ni siku ya 23, tangu Novemba 29,mwaka huu Bunge lilipopitisha maazimio nane juu ya kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 306 katika Akaunti ya Tegeta Escrow, Rais Jakaya Kikwete anatazamiwa kuuzima ama kuchochea moto wa sakata hilo atakapozungumza na wazee wa Jiji la Dar es Saalam.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu, Rais Kikwete leo atazungumza na wazee hao katika...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili28 Jul
Libya yaomba msaada kuzima moto
10 years ago
Mwananchi15 May
AU, mataifa yasaidie kuzima moto Burundi
9 years ago
VijimamboWANAFUNZI SECONDARY YA AZANIA WAFUNDISHWA JINSI YA KUZIMA MOTO
‘’Tayari tumeuzima’’...
11 years ago
Habarileo16 Jul
Vifaa vya kuzima moto bila maji vyagharimu mil. 200/-
KIKOSI cha Zimamoto na uokoaji nchini, kimenunua vifaa 100 vitakavyosaidia kuzima moto bila kutumia maji vyenye thamani ya Sh milioni 200.
10 years ago
Vijimambo29 May
Kashfa Escrow imeharibu nchi
![](http://jamboleo.co.tz/wp-content/uploads/2015/05/dampo.png)
Dotto MwaibaleKITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimetoa ripoti ya mwaka 2015, inayoonesha kuwa kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow iliyohusisha idara mbalimbali za Serikali imeharibu sifa ya nchi.Imesema Tegeta Escrow imekuwa ni mojawapo ya matukio makubwa ya kashfa za rushwa kupata kutokea nchini, ambapo inahusisha watu kutoka kada mbalimbali za jamii kuanzia Serikali Kuu, Idara ikiwamo Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na pia Rita.Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC, Dk. Helen...
10 years ago
BBCSwahili26 Nov
Kashfa ya ESCROW vigogo watajwa TZ
11 years ago
Tanzania Daima24 May
Maswali magumu kashfa ya Escrow
WAKATI kashfa ya ufisadi wa dola za Marekani milioni 122 (sawa na sh bilioni 200) katika akaunti ya Baraza la Usuluhishi la Migogoro ya Kibiashara (Escrow) ya Benki Kuu ya...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yKYlneVvKX8/ViFndv1KMnI/AAAAAAAIAfI/6ULxz9VEyRU/s72-c/unnamed%2B%252863%2529.jpg)
Wanafunzi wa shule ya Sekondari Azania ya jijini Dar-es-Salaam wajifunza mbinu za kuzima moto
![](http://1.bp.blogspot.com/-yKYlneVvKX8/ViFndv1KMnI/AAAAAAAIAfI/6ULxz9VEyRU/s640/unnamed%2B%252863%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-UrrqnVlKl8A/ViFndvqIN_I/AAAAAAAIAfA/986W8ycdQ7g/s640/unnamed%2B%252864%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-gOkx_yVp2e4/ViFndjviO4I/AAAAAAAIAfE/s2LVsNRNS6Y/s640/unnamed%2B%252865%2529.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-yKYlneVvKX8/ViFndv1KMnI/AAAAAAAIAfI/6ULxz9VEyRU/s72-c/unnamed%2B%252863%2529.jpg)
WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI AZANIA YA JIJINI DAR-ES-SALAAM WAJIFUNZA MBINU ZA KUZIMA MOTO
![](http://1.bp.blogspot.com/-yKYlneVvKX8/ViFndv1KMnI/AAAAAAAIAfI/6ULxz9VEyRU/s640/unnamed%2B%252863%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-UrrqnVlKl8A/ViFndvqIN_I/AAAAAAAIAfA/986W8ycdQ7g/s640/unnamed%2B%252864%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-gOkx_yVp2e4/ViFndjviO4I/AAAAAAAIAfE/s2LVsNRNS6Y/s640/unnamed%2B%252865%2529.jpg)