AU, mataifa yasaidie kuzima moto Burundi
Tumepokea kwa masikitiko habari kwamba Serikali ya Burundi nusura ipinduliwe na nchi inawaka moto kwa risasi. Waliosababisha hali hiyo ni baadhi ya askari wa Jeshi la Wananchi wa Burundi walioamua kuchafua hali ya hewa ya nchi hiyo kipindi ambacho uongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) uliamua kuupatia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa wa nchi hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili28 Jul
Libya yaomba msaada kuzima moto
10 years ago
Mtanzania22 Dec
Kashfa ya Escrow, Jk kuzima au kuchochea moto

Rais Jakaya Kikwete
FREDY AZZAH na SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
IKIWA leo ni siku ya 23, tangu Novemba 29,mwaka huu Bunge lilipopitisha maazimio nane juu ya kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 306 katika Akaunti ya Tegeta Escrow, Rais Jakaya Kikwete anatazamiwa kuuzima ama kuchochea moto wa sakata hilo atakapozungumza na wazee wa Jiji la Dar es Saalam.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu, Rais Kikwete leo atazungumza na wazee hao katika...
10 years ago
VijimamboWANAFUNZI SECONDARY YA AZANIA WAFUNDISHWA JINSI YA KUZIMA MOTO
‘’Tayari tumeuzima’’...
11 years ago
Habarileo16 Jul
Vifaa vya kuzima moto bila maji vyagharimu mil. 200/-
KIKOSI cha Zimamoto na uokoaji nchini, kimenunua vifaa 100 vitakavyosaidia kuzima moto bila kutumia maji vyenye thamani ya Sh milioni 200.
10 years ago
Vijimambo
WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI AZANIA YA JIJINI DAR-ES-SALAAM WAJIFUNZA MBINU ZA KUZIMA MOTO



10 years ago
Michuzi
Wanafunzi wa shule ya Sekondari Azania ya jijini Dar-es-Salaam wajifunza mbinu za kuzima moto



10 years ago
Michuzi
watoto wa shule ya awali ya Genesisi wapata mafunzo ya awali ya kuzima moto


10 years ago
Mwananchi26 May
MAONI: Mataifa yashughulikie changamoto za Burundi
9 years ago
Michuzi
BARAZA KUU LA USALAMA LA UMOJA WA MATAIFA LAIJADILI BURUNDI
