Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania yatekeleza maazimio ya SADC

mungiNa Ruth Mnkeni, Dar es Salaam

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema Tanzania imekuwa nchi ya kwanza kutekeleza maazimio ya nchini wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) pamoja na ya Jumuiya ya   Afrika Mashariki(EAC) katika kutumia mfumo wa matangazo wa dijiti.

Akizungumza na waandishi wa habari  Dar es Salaam jana, Meneja Mawasiliano TCRA, Innocent Mungi alisema nchi wanachama wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Mawasiliano ya Simu Dunia (ITU) kwa pamoja...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Tanzania yatekeleza maazimio ya elimu kwa wote

TANZANIA imekuwa ya mfano miongoni mwa nchi za kusini mwa Jangwa la Sahara katika kutekeleza maazimio ya Mpango wa Elimu kwa Wote (EFA).

 

9 years ago

Michuzi

SADC-PF TO OBSERVE GENERAL ELECTIONS IN TANZANIA

 Clerk of the National Assembly of Tanzania Dr. Thomas Kashilillah shares experience with the delegation of the leaders of the Southern Africa Development Community –Parliamentary Forum (SADC-PF) when it paid him a courtesy in his Office today. The delegation of five members led by the SADC-PF Secretary General Dr. Esau Chiviya arrived in the country on 22nd of August 2015 to carry out the pre-election observation towards the forth coming general election in Tanzania which is due next...

 

11 years ago

IPPmedia

Open University Tanzania commends SADC's support


IPPmedia
Open University Tanzania commends SADC's support
IPPmedia
The Open University of Tanzania (OUT) has applauded the Southern African Development Community (SADC) for its support in enabling the varsity deliver a cross section of specialized courses. The commendation was made yesterday at the Dar es ...

 

10 years ago

Michuzi

tanzania yashiriki mkutano wa sadc nchini zimbabwe

Baadhi ya Mawaziri na Manaibu Waziri kutoka wizara za Viwanda na Biashara, Fedha, Miundombinu na Uchukuzi wa Serikali ya Tanzania wakishiriki Mkutano wa Mawaziri wa Kamati Ndogo ya Mtangamano wa Kikanda wa Masuala ya uchumi unaojadili hatua ya utekelezaji wa mpango wa Maendeleo ya Viwanda kwa ajili ya Kanda ya SADC.Mkutano huo umefanyika leo katika hoteli ya Cresta Lodge mjini Harare nchini Zimbabwe. Baadhi ya Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu kutoka wizara ya Viwanda na Biashara,...

 

10 years ago

GPL

MWANAFUNZI WA TANZANIA ATWAA TUZO YA INSHA NCHI ZA SADC

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza mwanafunzi wa kidato cha nne Neema Steven Mtwanga (16) anayesoma katika Shule ya Sekondari Naboti Makambako, Njombe baada ya kuibuka mshindi wa kwanza katika utunzi wa insha katika shindano lililoandaliwa na Jumuiya ya uchumi ya maendeleo kusini mwa Afrika(SADC).…

 

10 years ago

Michuzi

Tanzania Urges SADC Countries to fight firmly Ebola Pandemic

By Owen Mwandumbya, Victoria Falls, Zimbabwe
Tanzania has urged SADC member countries to effectively strategize the bitter war against Ebola pandemic which has so far claimed lives of more than four thousand people in at least five countries in Africa.
The call was made by Hon. Mohamed Habib Mnyaa while moving motion at the 36th Plenary Assembly of the SADC Parliamentary Forum being held in Victoria Falls, Zimbabwe.
Hon. Mnyaa said, the Ebola Virus Disease (EVD) is not only a deadly health...

 

11 years ago

BBCSwahili

Israel yatekeleza mashambulizi Ghaza

Israel inasema kuwa imetekeleza mashambulizi ya roketi katika eneo la Ghaza ili kulipiza kisasi.

 

9 years ago

Michuzi

HIF YATEKELEZA AGIZO LA RAIS JK

   Msanii John Kitime akipokea kadi ya matibabu itakayomwezesha kupata huduma kote nchini.  Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti Rehani Athumani akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari (hawako pichani) kuhusiana na utaratibu wa kujiunga na Mfuko huo    Baadhi ya wasanii waliohudhuria hafla hiyo pamoja na waandishi wa habari.KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

 

10 years ago

Habarileo

Dar yatekeleza agizo la maabara za JK

WAKATI Rais Jakaya Kikwete akisubiria kupatiwa majibu juu ya ujenzi wa maabara katika shule za sekondari, kwa mujibu wa agizo lake kwa kila halmashauri za wilaya na manispaa nchini, manispaa za Dar es Salaam zimebainisha kuwa zinaendelea kufanya vizuri katika utekelezaji wa agizo hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani