Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HIF YATEKELEZA AGIZO LA RAIS JK

   Msanii John Kitime akipokea kadi ya matibabu itakayomwezesha kupata huduma kote nchini.  Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti Rehani Athumani akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari (hawako pichani) kuhusiana na utaratibu wa kujiunga na Mfuko huo    Baadhi ya wasanii waliohudhuria hafla hiyo pamoja na waandishi wa habari.KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

NHIF YATEKELEZA AGIZO LA RAIS DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE

1 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NHIF, Michael Mhando akiangalia kadi za matibabu ambazo alizikabidhi kwa wasanii ambao wametimiza taratibu za kujiunga na Mfuko huo.4Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti Rehani Athumani akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari (hawako pichani) kuhusiana na utaratibu wa kujiunga na Mfuko huo.
6Bw. John Kitime akielezea jambo kwa waandishi wa habari muda mfupi baada ya kupokea kadi yake ya matibabu. 2Msanii Aisha Salvador akipokea kadi ya matibabu kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi...

 

10 years ago

Habarileo

Dar yatekeleza agizo la maabara za JK

WAKATI Rais Jakaya Kikwete akisubiria kupatiwa majibu juu ya ujenzi wa maabara katika shule za sekondari, kwa mujibu wa agizo lake kwa kila halmashauri za wilaya na manispaa nchini, manispaa za Dar es Salaam zimebainisha kuwa zinaendelea kufanya vizuri katika utekelezaji wa agizo hilo.

 

9 years ago

Mtanzania

Azam FC watekeleza agizo la Rais

picha pg 32NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

TIMU ya Azam FC jana ilitekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli la kufanya usafi wakati wa maadhimisho ya miaka 54 ya Uhuru wa Tanganyika.

Katika kutekeleza agizo hilo, Azam saa 12.30 asubuhi ilitembelea Zahanati ya Chamazi na kufanya usafi kwa muda wa takribani saa mbili na nusu.

Wachezaji wa Azam kwa kushirikiana na wafanyakazi na viongozi walishiriki zoezi hilo, ambapo watu mbalimbali wanaoishi maeneo ya karibu na...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Korogwe watekeleza agizo la Rais

MKUU wa Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga, Mrisho Gambo, amesema wilaya yake imetekeleza agizo la Rais la ujenzi wa maabara kwa asilimia 65. Gambo aliyasema hayo hivi karibuni katika ya...

 

9 years ago

Michuzi

NHC WATEKELEZA AGIZO LA RAIS MAGUFULI

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akiongoza kwa vitendo zoezi la kufanya usafi katika majengo ya NHC na maeneo yanayozunguka barabara za Ali Hassan Mwinyi, Alikhan, Barak Obama na Magore UPANGA jijini Dar es Salaam leo. Menejimenti ya NHC imeamua kuwa kufanya usafi kwenye majengo ya Shirika ili kuonyesha kwa vitendo utekelezaji wa agizo la Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli wa kuitumia Sikukuu ya Uhuru na Jamhuri...

 

10 years ago

Habarileo

RC Dar atekeleza agizo la Rais Kikwete

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki kwa kushirikiana na uongozi wa Manispaa ya Kinondoni, ameanza kutekeleza agizo lililotolewa na Rais Jakaya Kikwete la kuondoa maji katika makazi ya watu kwenye maeneo mbalimbali ya Manispaa hiyo yaliyosababishwa na mvua zilizokuwa zikinyesha jijini hivi karibuni.

 

9 years ago

Mtanzania

CAG akiuka agizo la Rais Magufuli

cag-mussa*Adaiwa kutumia Sh milioni 15 kwa siku tatu

Na Masyaga Matinyi

MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Juma Assad, amekiuka agizo la Rais Dk. John Magufuli, baada kusafiri nje ya nchi bila kibali cha Ikulu.

Vyanzo vya habari kutoka ofisini kwake, vimedai kuwa CAG aliondoka nchini Jumamosi (Desemba 12, 2015) kwenda jijini Nairobi, Kenya na kurejea nchini Jumanne wiki hii.

Taarifa hizo, zimesema CAG alikwenda kutoa mhadhara katika Chuo Kikuu cha Nairobi, kazi ambayo...

 

9 years ago

Mwananchi

Agizo la Rais laponyesha mashine ya MRI Muhimbili

Agizo la Rais John Magufuli la kutaka mashine za uchunguzi wa magonjwa za CT Scan na MRI za Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, limetekelezwa baada ya mashine moja ya MRI kuanza kufanya kazi saa tisa alasili jana.

 

9 years ago

Mwananchi

Mambo ya nje kutekeleza agizo la Rais ‘kijeshi’

Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa imesema imeanza kutekeleza agizo la Rais John Magufuli kwa haraka kama jeshi juu ya kuiwakilisha Serikali katika masuala mbalimbali nje ya nchi baada ya kusitishwa safari za nje kwa maofisa wote wa ndani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani