HIF YATEKELEZA AGIZO LA RAIS JK
Msanii John Kitime akipokea kadi ya matibabu itakayomwezesha kupata huduma kote nchini.
Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti Rehani Athumani akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari (hawako pichani) kuhusiana na utaratibu wa kujiunga na Mfuko huo
Baadhi ya wasanii waliohudhuria hafla hiyo pamoja na waandishi wa habari.KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo07 Sep
NHIF YATEKELEZA AGIZO LA RAIS DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/138.jpg)
![4](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/419.jpg)
![6](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/614.jpg)
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/228.jpg)
10 years ago
Habarileo02 Dec
Dar yatekeleza agizo la maabara za JK
WAKATI Rais Jakaya Kikwete akisubiria kupatiwa majibu juu ya ujenzi wa maabara katika shule za sekondari, kwa mujibu wa agizo lake kwa kila halmashauri za wilaya na manispaa nchini, manispaa za Dar es Salaam zimebainisha kuwa zinaendelea kufanya vizuri katika utekelezaji wa agizo hilo.
9 years ago
Mtanzania10 Dec
Azam FC watekeleza agizo la Rais
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
TIMU ya Azam FC jana ilitekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli la kufanya usafi wakati wa maadhimisho ya miaka 54 ya Uhuru wa Tanganyika.
Katika kutekeleza agizo hilo, Azam saa 12.30 asubuhi ilitembelea Zahanati ya Chamazi na kufanya usafi kwa muda wa takribani saa mbili na nusu.
Wachezaji wa Azam kwa kushirikiana na wafanyakazi na viongozi walishiriki zoezi hilo, ambapo watu mbalimbali wanaoishi maeneo ya karibu na...
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Korogwe watekeleza agizo la Rais
MKUU wa Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga, Mrisho Gambo, amesema wilaya yake imetekeleza agizo la Rais la ujenzi wa maabara kwa asilimia 65. Gambo aliyasema hayo hivi karibuni katika ya...
9 years ago
MichuziNHC WATEKELEZA AGIZO LA RAIS MAGUFULI
10 years ago
Habarileo18 May
RC Dar atekeleza agizo la Rais Kikwete
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki kwa kushirikiana na uongozi wa Manispaa ya Kinondoni, ameanza kutekeleza agizo lililotolewa na Rais Jakaya Kikwete la kuondoa maji katika makazi ya watu kwenye maeneo mbalimbali ya Manispaa hiyo yaliyosababishwa na mvua zilizokuwa zikinyesha jijini hivi karibuni.
9 years ago
Mtanzania18 Dec
CAG akiuka agizo la Rais Magufuli
*Adaiwa kutumia Sh milioni 15 kwa siku tatu
Na Masyaga Matinyi
MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Juma Assad, amekiuka agizo la Rais Dk. John Magufuli, baada kusafiri nje ya nchi bila kibali cha Ikulu.
Vyanzo vya habari kutoka ofisini kwake, vimedai kuwa CAG aliondoka nchini Jumamosi (Desemba 12, 2015) kwenda jijini Nairobi, Kenya na kurejea nchini Jumanne wiki hii.
Taarifa hizo, zimesema CAG alikwenda kutoa mhadhara katika Chuo Kikuu cha Nairobi, kazi ambayo...
9 years ago
Mwananchi12 Nov
Agizo la Rais laponyesha mashine ya MRI Muhimbili
9 years ago
Mwananchi11 Nov
Mambo ya nje kutekeleza agizo la Rais ‘kijeshi’