Wapinzani Syria wataka amani
Makundi ya upinzani nchini Syria wamekubaliana kuwa na tamko moja kwa serikali juu ya suala la Amani .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili30 Jan
'Wapinzani' wabomolewa nyumba Syria
Human Rights Watch limeituhumu serikali ya Syria kwa kubomoa maelfu ya nyumba za watu kama njia ya kuadhibu wananchi wanaoshukiwa kuunga mkono waasi
11 years ago
Mwananchi24 May
Wapinzani wataka maazimio ya OTU yatekelezwe haraka
Kambi rasmi ya upinzani bungeni, imetaka maazimio yote ya Bunge kuhusu Operesheni Tokomeza Ujangili (OTU) yatekelezwe bila visingizio.
10 years ago
BBCSwahili16 Sep
Walinda amani wasambazwa-Syria
Umoja wa mataifa imesambaza maelfu ya walinda amani huko Syria katika eneo la Golan ambalo linamilikiwa na Israel.
10 years ago
BBCSwahili12 Aug
Syria:Makubaliano ya amani yatekelezwa
Makubaliano ya kusitisha mapigano kwa saa 48 yameanza kufanya kazi kati ya muungano wa waasi Syria na vikosi vinavyoiunga serikali mkono katika miji mitatu.
11 years ago
BBCSwahili13 Feb
Syria:Hali yatokota amani ikisubiriwa
Wajumbe wa Marekani na Urusi wanatarajiwa kujiunga na mazungumzo ya amani yanayolenga kusitisha vita huku mapigano yakichacha
9 years ago
BBCSwahili25 Dec
Papa Francis aombea amani Syria na Libya
Papa Francis ameombea kufanikiwa kwa juhudi za Umoja wa Mataifa za kutafuta amani nchini Syria na Libya kwenye ujumbe wake wa Krismasi.
10 years ago
MichuziWANAZUONI WA KIISLAAM WATAKA AMANI KATIKA UCHAGUZI MKUU
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.Umoja wa Wanazuoni wa Kiislaam nchini umetaka kuwepo kwa amani katika uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25 mwaka huu.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam,Mwenyekiti wa Umoja huo , Mwenyekiti wa Kamati ya Usuluhishi,Suleiman Kilemile amesema nchi nyingi zimeingia katika machafuko kutokana na uchaguzi hivyo nchi yetu isiingie huku.
Amesema kauli za viongozi wa siasa za hivi karibu katika michakato ya kuelekea uchaguzi zinaweza...
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam,Mwenyekiti wa Umoja huo , Mwenyekiti wa Kamati ya Usuluhishi,Suleiman Kilemile amesema nchi nyingi zimeingia katika machafuko kutokana na uchaguzi hivyo nchi yetu isiingie huku.
Amesema kauli za viongozi wa siasa za hivi karibu katika michakato ya kuelekea uchaguzi zinaweza...
10 years ago
VijimamboMDAHALO WA TAASISI YA MWALIMU NYERERE WATAKA AMANI, WAPINGA RUSHWA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 2015.
Mtoa mada Awadh Ali Said, akitoa mada kuhusu muungano na umuhimu wa kuzingatia misingi ya amani katika mdahalo huo ulioandaliwa na Taasisi ya Mwalimu Nyerere ambao ulifanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam leo. Mtoa mada Dk. Humphrey Polepole akitoa mada kuhusu kuzingatia misingi ya amani na umoja wa taifa letu kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba 2015.
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku akitoa majumuisho ya jumla juu ya dhima ya mdahalo...
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku akitoa majumuisho ya jumla juu ya dhima ya mdahalo...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania