Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Syria:Makubaliano ya amani yatekelezwa

Makubaliano ya kusitisha mapigano kwa saa 48 yameanza kufanya kazi kati ya muungano wa waasi Syria na vikosi vinavyoiunga serikali mkono katika miji mitatu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Makubaliano ya amani yakiukwa Ukraine.

Milipuko mikali imesikika katika mji wa Bandari wa Mariupol mashariki mwa Ukraine.

 

10 years ago

BBCSwahili

Makubaliano ya amani yaheshimiwa Ukraine

Baada ya miezi kadhaa ya mapigano nchini Ukraine,Serikali na waasi wanaounga mkono Urusi wamekubaliana kusitisha vita.

 

10 years ago

BBCSwahili

Makubaliano ya amani yaafikiwa Mali

Maafikiano ya amani yametiwa sahihi yakiwa na lengo la kumaliza mzozo wa miaka mingi kati ya serikali na waasi wa Tuareg.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wapinzani Syria wataka amani

Makundi ya upinzani nchini Syria wamekubaliana kuwa na tamko moja kwa serikali juu ya suala la Amani .

 

10 years ago

BBCSwahili

Walinda amani wasambazwa-Syria

Umoja wa mataifa imesambaza maelfu ya walinda amani huko Syria katika eneo la Golan ambalo linamilikiwa na Israel.

 

11 years ago

BBCSwahili

Syria:Hali yatokota amani ikisubiriwa

Wajumbe wa Marekani na Urusi wanatarajiwa kujiunga na mazungumzo ya amani yanayolenga kusitisha vita huku mapigano yakichacha

 

9 years ago

BBCSwahili

Papa Francis aombea amani Syria na Libya

Papa Francis ameombea kufanikiwa kwa juhudi za Umoja wa Mataifa za kutafuta amani nchini Syria na Libya kwenye ujumbe wake wa Krismasi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hukumu ya kifo ya yatekelezwa Misri

Misri imetekeleza hukumu ya kifo ya mwanzo, iliyotolewa baada ya kupinduliwa kwa serikali ya rais muislamu, Mohammed Morsi,

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani