Makubaliano ya amani yaheshimiwa Ukraine
Baada ya miezi kadhaa ya mapigano nchini Ukraine,Serikali na waasi wanaounga mkono Urusi wamekubaliana kusitisha vita.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili07 Sep
Makubaliano ya amani yakiukwa Ukraine.
Milipuko mikali imesikika katika mji wa Bandari wa Mariupol mashariki mwa Ukraine.
11 years ago
BBCSwahili21 Feb
Ukraine:Hatimaye makubaliano yapatikana
Taarifa kutoka Ikulu ya Rais inasema kuwa makubaliano yamefikiwa katika mazungumzo ya usiku kucha kati ya serikali ,upinzani na wawakilishi wa Muungano wa Ulaya
10 years ago
BBCSwahili21 Jun
Makubaliano ya amani yaafikiwa Mali
Maafikiano ya amani yametiwa sahihi yakiwa na lengo la kumaliza mzozo wa miaka mingi kati ya serikali na waasi wa Tuareg.
10 years ago
BBCSwahili12 Aug
Syria:Makubaliano ya amani yatekelezwa
Makubaliano ya kusitisha mapigano kwa saa 48 yameanza kufanya kazi kati ya muungano wa waasi Syria na vikosi vinavyoiunga serikali mkono katika miji mitatu.
10 years ago
BBCSwahili12 Feb
Wakubaliana mpango wa amani Ukraine
Viongozi waliokuwa wakikutana nchini Belarus wamekubaliana mpango wa amani na kusitisha mapigano nchini Ukraine.
10 years ago
BBCSwahili15 Feb
Amani yadumishwa mashariki mwa Ukraine
Usitishwaji mapigano unaonekana kudumishwa kati ya wanajeshi wa serikali na waasi wanaongwa mkono na Urusi mashariki mwa Ukrain.
11 years ago
BBCSwahili20 Jan
Rais wa Ukraine kuanzisha mazungumzo ya amani
Rais wa Ukraine asema ataunda tume maalum ya kushirikisha pande zote zinazozozana nchini humo kusuluhisha ghasia za kisiasa
9 years ago
Raia Mwema07 Oct
Tufanye yote, wimbo wetu uwe amani, amani, amani
Wiki hii Raia Mwema lilifanya mahojiano na mwanasheria mkuu wa serikali mstaafu, Jaji Mark Bomani
Mwandishi Wetu
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FPB20Vn_wS4/VFagXo5QG8I/AAAAAAAGvIA/pSmz81E0fBk/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
Dkt. Kigwangala aongoza Mbio za Amani 2014, ahimiza amani nchini
Wanasiasa wameaswa kudumisha amani, upendo na mshikamano wa Tanzania, ili kuepuka vurugu zinazoweza kujitokeza ambazo kwa kiasi kikubwa zimekuwa zikisababishwa na makundi ya wanasiasa, kwa kutoa ujumbe kwa wananchi unao chochea kuvurugukika kwa amani ya Tanzania.
Akizungumza na wanamichezo wa vilabu mbalimbali vya kukimbia (Jogging) kutoka Tanzania bara na Zanzibar, katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, Mbunge wa jimbo la Nzega, ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya bunge ya...
Akizungumza na wanamichezo wa vilabu mbalimbali vya kukimbia (Jogging) kutoka Tanzania bara na Zanzibar, katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, Mbunge wa jimbo la Nzega, ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya bunge ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania